Diaspora changeni pesa mfanye kitu kikubwa nyumbani

Diaspora changeni pesa mfanye kitu kikubwa nyumbani

Nani aje kuwekeza nchi ambayo usalama Ni mdogo,na pia sio kila aliye nje ana mpango wa kurudi Tz kuishi,wewe pambana na Hali yako
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mie natafuta watanzania 30 tu, tuwekeze laki 200,000 kila mwez kwa miaka 2! Tufungue biashara nzuri ya maana! Basi...sijui kwann naamini katika team work sana!

Huku niliko nilikuwa na watu tunasave mwaka ulivyoisha kila mtu anamajanga anataka hela yake,,tukagawana ndo ikaishia hapo.
Uko wapi?
 
Diaspora mkiweza kuwekeza kwa mfano muweke $100 kila mwezi kila mmoja. Muunde kamati, muamue kujenga kitu mfano Mall.

Inategemea idadi yenu, mkiwa 20+ mtamaliza haraka. Mkimaliza kila mtu aingiziwe faida yake kila mwezi.

Hata mkichoka kubeba mabox faida itakua inaingia kila mwezi kama kiinua mgongo cha ziada.

Natamani ungejua wabongo tulivyo huku diaspora. Yaani hata kwenye jumuiya zetu huku ni uswahili mtupu.

Hatuwezi kuendelea kwa sababu jumuiya zinaendeshwa kwa malengo ya watu binafsi. Hakuna anayewaza kuwekeza kwa pamoja kwasababu hatuaminiani.
 
Natamani ungejua wabongo tulivyo huku diaspora. Yaani hata kwenye jumuiya zetu huku ni uswahili mtupu.

Hatuwezi kuendelea kwa sababu jumuiya zinaendeshwa kwa malengo ya watu binafsi. Hakuna anayewaza kuwekeza kwa pamoja kwasababu hatuaminiani.
Kuna hoteli moja ni ya Mnigeria huko Ughaibuni. Huyu mwenye hoteli alikua afisa mwanamizi wa jeshi nchini kwao. Amestaafu na amewekeza kwenye mgahawa wa vyakula vya kwao lakini upo kwenye hadhi nzuri sana.

Yeye na mke wake wapo pale kila siku tena wanapenda kufahamu wateja wao. Kuna simu nilikuta wahudumu wote ni Wapolish. Nilipo muuliza mke wake aliniambia wahudumu wa Kinigeria wenzao walikua wanatoa chakula bure kwa ndugu na marafiki zao.
 
Diaspora mkiweza kuwekeza kwa mfano muweke $100 kila mwezi kila mmoja. Muunde kamati, muamue kujenga kitu mfano Mall.

Inategemea idadi yenu, mkiwa 20+ mtamaliza haraka. Mkimaliza kila mtu aingiziwe faida yake kila mwezi.

Hata mkichoka kubeba mabox faida itakua inaingia kila mwezi kama kiinua mgongo cha ziada.
👊🏼💰 well said!
 
Well I have done it myself, we were 11 of us and we agreed to collect 1,000 each monthly and is given to one of us. A year you are guaranteed 10,000 of whatever currency. That was the only way I managed to build my first house.


By the way, It must be; Birds of the same feathers flock together, contrary to that it can't be done.
 
Wazo zuri, shida dual citizenship hakuna, inakuwa wekeza upoteze huku ukifahamu. Wawekezaji wenyewe wapo mguu upande, mguu sawa!

Wabadili sheria na taratibu kidogo, watu watafanya mambo.

Everyday is Saturday.............................. 😎
 
Pia ninadhani ni tahisi mkiwa na common values such as you are neighbours or work mates.
Niliwahi ku suggest kitu kama hiki kwa diaspora wa nchi fulani huko majuu. Wazo langu lilipingwa vikali kwa madai kua wao wameshalizwa sana hawataki kabisa kusikia swala linalohusisha kutuma hela Tanzania ni bora hizo investment wafanyie huko huko. Pia kwavile wengi wa diaspora wamezamia nchi za watu na wengine hata makaratasi hawana, walikua wanaogopa kuingia kwenye mikataba au issues zinazohusu mambo ya sheria wakiogopa isije ikawaletea shida.
 
Back
Top Bottom