mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Wazo zuri, lakini hakuna kitu kibaya kama kuanzisha biashara/mradi halafu umwachie mtu mwingine asimamie. Lazima kuna kupigwa.
Mkuu, team work ni nzuri sana kama utapata watu wa maana na waaminifu ambao siku hizi ni wachache mno kwa sababu wengi wanaendekeza tamaa na kujifanya wana akili nyingi kuzidi wenzao katika hiyo team.Mie natafuta watanzania 30 tu, tuwekeze laki 200,000 kila mwez kwa miaka 2! Tufungue biashara nzuri ya maana! Basi...sijui kwann naamini katika team work sana!
Huku niliko nilikuwa na watu tunasave mwaka ulivyoisha kila mtu anamajanga anataka hela yake,,tukagawana ndo ikaishia hapo.
Hahahahahaaaaa mkuu umenichekesha sana lakini ulichosema ni sahihi kabisa wabongo ujanja wingiHili jambo linawezekana sema tatizo la wabongo ni wababaishaji in nature Mradi ukianza zitaanza dana dana mpaka zitazuka ngumi
Msitegemee huyo dictator uchwara atarudisha mtandao na huku mnataka kuandamana, tunzeni VPN Zenu vizuri. Na 2025 Anagombea tena tusipomfunga brake now.Diaspora mkiweza kuwekeza kwa mfano muweke $100 kila mwezi kila mmoja. Muunde kamati, muamue kujenga kitu mfano Mall.
Inategemea idadi yenu, mkiwa 20+ mtamaliza haraka. Mkimaliza kila mtu aingiziwe faida yake kila mwezi.
Hata mkichoka kubeba mabox faida itakua inaingia kila mwezi kama kiinua mgongo cha ziada.
Una mawazo mazuri sanaDiaspora mkiweza kuwekeza kwa mfano muweke $100 kila mwezi kila mmoja. Muunde kamati, muamue kujenga kitu mfano Mall.
Inategemea idadi yenu, mkiwa 20+ mtamaliza haraka. Mkimaliza kila mtu aingiziwe faida yake kila mwezi.
Hata mkichoka kubeba mabox faida itakua inaingia kila mwezi kama kiinua mgongo cha ziada.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Kila kitu wanakijua waoDiaspora wengi wamechoka mno, ni wanaona aibu tu kurejea nyumbani ila unakuta wanamiliki iPhone tu na kidhungu.
Ni mahodari wa kusoma vitabu tu, hovyo kabisa.... ni takataka na hazina umoja ni ujuaji tu!
Sio lazima wafanye kitu nyumbani, hata wakifanya kitu huko huko walipo kama hawa wanao Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo?Diaspora mkiweza kuwekeza kwa mfano muweke $100 kila mwezi kila mmoja. Muunde kamati, muamue kujenga kitu mfano Mall.
Inategemea idadi yenu, mkiwa 20+ mtamaliza haraka. Mkimaliza kila mtu aingiziwe faida yake kila mwezi.
Hata mkichoka kubeba mabox faida itakua inaingia kila mwezi kama kiinua mgongo cha ziada.
Ukiona nchi inakimbia diaspora wake ujue viongozi wake wanamatatizo ya afya ya akili.Sio lazima wafanye kitu nyumbani, hata wakifanya kitu huko huko walipo kama hawa wanao Diaspora wa Kenya wafanya makubwa Marekani. Sisi Diaspora Wetu wanafanya nini cha kuonekana huko walipo?
Wataipaisha Tanzania
P
Diaspora wa kibongo huko ughaibuni wanatafuta pesa ya kuja kutupora wake zetu ambao walikuwa ni ma x girl friend zao, wengi wao wana laana ndio maana hawafanyi mambo tangible, ni mwendo wa boa na ngono zembe tuDiaspora mkiweza kuwekeza kwa mfano muweke $100 kila mwezi kila mmoja. Muunde kamati, muamue kujenga kitu mfano Mall.
Inategemea idadi yenu, mkiwa 20+ mtamaliza haraka. Mkimaliza kila mtu aingiziwe faida yake kila mwezi.
Hata mkichoka kubeba mabox faida itakua inaingia kila mwezi kama kiinua mgongo cha ziada.
Manager mbongo (mweusi mwenzetu) sio?Mnafanya kama team work, hela ikitosha mnatafuta contractor wa kujenga. Mall ikiisha mnatafuta manager.