Rais anayezungumza uwongo hatakiwi kwenye jamii na hata dunianiWanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
Watanzania wa Diaspora ndio nani bwashee?Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
Mmebakia porojo tu tumeishawazoe.Rais anayezungumza uwongo hatakiwi kwenye jamii na hata duniani
Duniani hakuna rais wa nchi anayeongea ukwel ktk kila jamboRais anayezungumza uwongo hatakiwi kwenye jamii na hata duniani
Labda kati ya hao "wajaimaica" kuna mmewe.Eti Wajamaica. Wewe upo Nangulukuru umejuaje ni Wajamaica?
Acha ushabiki maandazi katika mambo yenye maslahi mapana kwa taifa.na sii yale yenye maslahi kwa wachache.Yapi ni yauonga katika yanayolalamikiwa tangu nyumbani hata ughaibuni.Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
Wewe hujielewi mkuu. Kubali hilo.Angalia walivyochoka najua uwezi kukubali.
Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
What????You are not serious !Wameshindwa kuleta meaningful protest in UN,Ni hivi hata wewe umeleta Uzi huu ili kuzima mabango yaliyoenda UN !!ukweli kuwa ujumbe umeshamfikia SHS na kuanzia hivi sasa tegemea chochote kutokeaMmebakia porojo tu tumeishawazoe.
Diaspora Mangekimambi alone aliisimamisha nchi nzima Na Sherehe za Muungano zikafutwa.
Mange alifanya maandamano ubalozi wa Tanzania Washington na wengine UK wakamuunga mkono.
Leo Chadema na Space mmeshindwa kuleta meaningful protest in UN
Hii ndio tabia ya kichawi, kujipendekeza, kujikomba na kufuta viatu vya wahalifu kwa makalio.Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
Kaongea uongo gani?Rais anayezungumza uwongo hatakiwi kwenye jamii na hata duniani
Limekula maharage sijui wa wapiWatanzania wa Diaspora ndio nani bwashee?