Diaspora Marekani mmetenda haki kwa Rais Samia, dunia imeona

Mnajitekenya na kucheka wenyewe tulieni dawa iwaingie
Nasikia baada ya vile vibango Us wanatuma drones kuipiga tz ili kumuokoa Mbowe!

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao unaouzungumza wameandaliwa na ubalozi wa Marekani na wengi ni wafanyakazi ndani ya ubalozi huo !Idiot
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Utasikia tulikuwa elfu 6 kwenye space ya maria
 
Huo ndio upumbavu wenu. Wamepewe pesa na nani? Nani asiyejua habari za Mbowe duniani? Naomba usiniudhi na ujinga ujinga wenu hapa.
Sasa si uende ukajilipue umtoe kwa nguvu kuliko kujibaraguza hapa?
 
Nani anateswa?
 
Angalia walivyochoka najua uwezi kukubali.
Kumbuka hata sisi huku tumechoka ,hata waliotuwakilisha Ni Wachovia wenzetu hakuna shida!Keanu kuna CCM aliyechoka??Kwani kuna CCM asiye na hela hapa Tanzania?Waliochoka ni wapinzani!
 
Sasa si uende ukajilipue umtoe kwa nguvu kuliko kujibaraguza hapa?
Kwani wewe kinacho kuuma ni kipi?MBOWE amefungwa Kama ulivyo tarajia furahi na familia kwakuwa MBOWE kufungua kwake kumemuondolea Mama yako kansa ya kizazi
 
Hata wasiposhika mabango. Mama ni mtu wa huruma soon atamwachia mbowe. Kuweni na uvumilivu wazee.
 
Kwani wewe kinacho kuuma ni kipi?MBOWE amefungwa Kama ulivyo tarajia furahi na familia kwakuwa MBOWE kufungua kwake kumemuondolea Mama yako kansa ya kizazi
[emoji23][emoji23]Manka hizi hasira nenda kazioneshe pale mahakamani ili ujumbe ufike duniani kote.

Hivi hamjajifunza hata kwa wafuasi wa zuma?

Siyo mnakuja humu mnatikisa mikia eti tulikuwa elfu 6 kwenye space ya maria, alafu hata kusogeza pua zenu tu pale hamthubutu.
 
Haha akina Mange jana wametukana leo marafiki, nimeona wale wengi watu wa SACCOS ambao wakati wa mwendazake walikuwa ndio mstari wa mbele kumpinga leo hii nawaona na vibendera vya kumkaribisha mama, kama huu si unafika sijui tuuiteje.Ni kama vile mama balozi kapiga PR ya nguvu kwa Diaspora wenzake ili kujitokeza kwa nguvu na vifulana vyao vya kuonyesha mageuzi mapya, sijui mama balozi kawa ahidi nini hao akina Mange
 
Mbona hukuwahi kutoa hayo mapongezi yako wakati w a Magufuli?
 
Visandarusi bado vipo?
 
Idiot ndiyo maana nchi haiendelei. Kumpenda mtu is not a problem. Waje na issue za kumuunga mkono siyo kujishebedua kujipendekeza tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…