Diaspora Marekani mmetenda haki kwa Rais Samia, dunia imeona

Nasikia baada ya vile vibango Us wanatuma drones kuipiga tz ili kumuokoa Mbowe!

[emoji23][emoji23][emoji23]

Kumbe Unasikia [emoji15] Acha kuamini kila unachoambiwa lumumba
 
Mleta mada ni vyema ungeacha kuandika kuliko kuandika upuuzi na ujinga huu.
Kwanini hao waliomsindikiza SSH wasiwe ndio wajamaika waliohongwa fedha?
Unajua sio ngumu na haichukui muda kumsoma au kumjua mtu mpuuzi!
 
Mleta mada ni vyema ungeacha kuandika kuliko kuandika upuuzi na ujinga huu.
Kwanini hao waliomsindikiza SSH wasiwe ndio wajamaika waliohongwa fedha?
Unajua sio ngumu na haichukui muda kumsoma au kumjua mtu mpuuzi!
Bavicha bana mnasema Tanzania hamna uhuru wa habari wewe tena haitaki mimi niongee daaah.
 
Bavicha bana mnasema Tanzania hamna uhuru wa habari wewe tena haitaki mimi niongee daaah.
Kwa hili nakuunga mkono Ritz...naweza kuwa sikubaliani na hoja zako lakini nitakuwa tayari kutetea uhuru wako wa kuandika..Bavicha kama ambavyo ninyi mna uhuru wa kuandika muacheni Ritz nae aandike anachoamini!
 
Wanabodi,

Nawasalimu kwa jina la JMT,

||Wasikilizeni vizuri hao wazalendo wenzetu wa diaspora kisha fanyeni yafuatayo||

|| Angalieni uwezo wao wa hoja ( mental capacity ) yao mkiweza fananisheni na ile ya Wale wenzetu||

|| Angalieni hata kiwango cha afya kwa maana ya mwili ( health status) yao na ile ya Wale wenzetu ||

Mungu Ibariki Tanzania na Watanzania
Mungu mbariki Rais Samia,

.........Kazi iendelee .........
 

Attachments

  • VID-20210924-WA0035.mp4
    7.2 MB
Idiot ndiyo maana nchi haiendelei. Kumpenda mtu is not a problem. Waje na issue za kumuunga mkono siyo kujishebedua kujipendekeza tu
roho mbaya ni sifa kuu ya maskini na wewe ni mmoja wao, kula uwembe
 
Hawa nao hawajitambui kabisa......hivi hawajui ndugu zao waliowaacha Tanzania wanapigika vipi na maisha wakati kikundi cha wana CCM wananufaika kwa jasho lao?? Mambo mengine tuwe tunafanya kwa kufanya uchunguzi kwanza.......tunaichekesha Dunia.
 
Kwa Tz wasomi ndo wanaongoza kwa ujinga na ndo maana huyv bibi tozo anasifiwa na walioko mitandaoni na hao diaspora wakati huku mtaani maskini watafutaji wanamwita pimbi. Wengine wakimuona kwenye Tv huzima kabisa, wakimsikia redioni wanazima kabisa. Anafaa kuitwa raisi wa mtandaoni a.k.a tozo lady.
 
Kuwa na vyama tofauti hakutoi idhini ya kuchafua nchi yako. Tunaweza kuwa na tofauti zetu ndogo za ndani lakini Kimataifa Rais wetu anapokwenda sehemu sote tunapaswa kuungana. Ndiyo ukomavu. Ningeshangaa mabango ya kihuni yangeonekana ziara ya Rais kule US. Hongera diaspora kwa nidhamu na uzalendo.
 
Unategemea nini hawa ndiyo viongozi wa Chadema wanataka katiba mpya🤣🤣
 
kaongea kwa mara ya kwanza na kuongea uwongo eti vibrant democracy
vibrant democracy Tanzania-i laughed and laughed and laughed ,bonge la entertainment . Burudani iendeleee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…