Umejionea mwenyewe MmawiaWanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
View attachment 1950403
Nahisi ungeweza kuandika cha maana zaidi ya haya. Rais siyo kiumbe wa kusifiwa tu kama mbwa wa Polisi. Mabaya atendayo lazima yatajwe.Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
View attachment 1950403
Mzee Mohamed Said acha udini. Kipindi Cha Magufuli ID yako hii ulikuwa huitumii, umeona ameingia rais Muislam ukaanza tena udini wako. Unayo-post kwenye kwenye lile jukwaa la historia umeona hayatoshi? Mzee mzima hovyo kabisa.Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
View attachment 1950403
Mzee Mohamed Said acha ujinga wako. Udini umekujaa mpaka kisogoni. Tunajua sana hii ID ni yako na ushahidi tunao.Mmebakia porojo tu tumeishawazoe.
Diaspora Mangekimambi alone aliisimamisha nchi nzima Na Sherehe za Muungano zikafutwa.
Mange alifanya maandamano ubalozi wa Tanzania Washington na wengine UK wakamuunga mkono.
Leo Chadema na Space mmeshindwa kuleta meaningful protest in UN
Wakati wa giant mwendazake ulikunja mkia ndani kama mbwa Koko, ukawa unaingia JF kwa kujificha. Sasa unaongea hovyo, shen.zi kabisa.Mmebakia porojo tu tumeishawazoe.
Diaspora Mangekimambi alone aliisimamisha nchi nzima Na Sherehe za Muungano zikafutwa.
Mange alifanya maandamano ubalozi wa Tanzania Washington na wengine UK wakamuunga mkono.
Leo Chadema na Space mmeshindwa kuleta meaningful protest in UN
Macho...Mzee Mohamed Said acha ujinga wako. Udini umekujaa mpaka kisogoni. Tunajua sana hii ID ni yako na ushahidi tunao.
Macho...Mzee Mohamed Said acha udini. Kipindi Cha Magufuli ID yako hii ulikuwa huitumii, umeona ameingia rais Muislam ukaanza tena udini wako. Unayo-post kwenye kwenye lile jukwaa la historia umeona hayatoshi? Mzee mzima hovyo kabisa.
"Tanzania tupo uchumi wa Tumbo" By SamiaAngalia walivyochoka najua uwezi kukubali.
Walevi hawa watoto wa vigogo walioiba mabilioni yetu na kwenda kuyatafunia marekani.Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
View attachment 1950403
Usinge kumuua jiwe!Maana alikunyosha kweli ukapotea humu.Bavicha bana mnasema Tanzania hamna uhuru wa habari wewe tena haitaki mimi niongee daaah.
Usinge kumuua jiwe!Maana alikunyosha kweli ukapotea humu.Bavicha bana mnasema Tanzania hamna uhuru wa habari wewe tena haitaki mimi niongee daaah.
Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
View attachment 1950403
Mkuu kuna uzi wa balile anamtetea Mbowe asee, cjapenda kbs mkuu π€£π€£π€£π€£π€£Kaongea uongo gani?
Akili KUNAKO V.i.m.a......ππ€£π€£π€£ππWanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
View attachment 1950403
Idiot mkumbwa. Tunataka kumuunga mtu mkono kwa hoja and not huu ujinga wa kumsifia mtu bila kuwa na hoja. Ndiyo haya haya baadhi ya pimbi walikuwa wanampamba Dkt Magufuli leo hii hayupo wanaanza kumtukana na kumdhihaki simply because hayupo duniani. Hatutaki huu ujinga ujirudie kwa Mama, wanafiki wote wakae pembeni tunataka watu wanaotoa sifa za kihoja.roho mbaya ni sifa kuu ya maskini na wewe ni mmoja wao, kula uwembe
Kajinyonge basiIdiot ndiyo maana nchi haiendelei. Kumpenda mtu is not a problem. Waje na issue za kumuunga mkono siyo kujishebedua kujipendekeza tu
Huyo ni kati ya waramba viatu wa lumumbaKumbe Unasikia [emoji15] Acha kuamini kila unachoambiwa lumumba
Loveness Mamuya wenye Chako.Wanaukumbi.
Watanzania wa Diaspora wakisindikizwa na friends of Tanzania waliofika kumpa sapoti Raisi wetu wakati alitoa speech huko UN.
Kuna kikundi cha watu kama watatu inasemekana ni Wajamaica wapewa pesa kubeba mabango ya Mbowe kimehangaika sana kuwarubuni lengo ni kumwondolea Rais Suluhu Samia uhalali wa kuongelea Demokrasia lakini bahati mbaya walikosa uungwaji mkono.
View attachment 1950403