Diaspora Marekani mmetenda haki kwa Rais Samia, dunia imeona

Umejionea mwenyewe Mmawia
 
Nahisi ungeweza kuandika cha maana zaidi ya haya. Rais siyo kiumbe wa kusifiwa tu kama mbwa wa Polisi. Mabaya atendayo lazima yatajwe.
 
Mzee Mohamed Said acha udini. Kipindi Cha Magufuli ID yako hii ulikuwa huitumii, umeona ameingia rais Muislam ukaanza tena udini wako. Unayo-post kwenye kwenye lile jukwaa la historia umeona hayatoshi? Mzee mzima hovyo kabisa.
 
Mzee Mohamed Said acha ujinga wako. Udini umekujaa mpaka kisogoni. Tunajua sana hii ID ni yako na ushahidi tunao.
 
Wakati wa giant mwendazake ulikunja mkia ndani kama mbwa Koko, ukawa unaingia JF kwa kujificha. Sasa unaongea hovyo, shen.zi kabisa.
 
Mzee Mohamed Said acha udini. Kipindi Cha Magufuli ID yako hii ulikuwa huitumii, umeona ameingia rais Muislam ukaanza tena udini wako. Unayo-post kwenye kwenye lile jukwaa la historia umeona hayatoshi? Mzee mzima hovyo kabisa.
Macho...
Hapana si mimi huyo kama nilivyokwisha kutanabaisha.
 
Walevi hawa watoto wa vigogo walioiba mabilioni yetu na kwenda kuyatafunia marekani.
 

Yote yanaweza kuwa sawa kuna diaspora ambao kitu kikubwa kwao ni haki na demokrasia na wengine ni kuweka support kwa Mama. Kila mtu ana uzito wake lakini si kweli kwamba kuna upande mmoja. USA ni nchi ya kidemokrasia
 
Kiongozi hata awe mbaya vipi wapo watakaomuunga mkono sababu wananufaika nae, na kiongozi hata awe mzuri vipi wapo watakaompinga sababu hawanufaiki naye, hao ni wanufaika wa yanayoendelea......!!!!
 
🀣🀣🀣🀣🀣 pale unapotia
Akili KUNAKO V.i.m.a......πŸ˜πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
roho mbaya ni sifa kuu ya maskini na wewe ni mmoja wao, kula uwembe
Idiot mkumbwa. Tunataka kumuunga mtu mkono kwa hoja and not huu ujinga wa kumsifia mtu bila kuwa na hoja. Ndiyo haya haya baadhi ya pimbi walikuwa wanampamba Dkt Magufuli leo hii hayupo wanaanza kumtukana na kumdhihaki simply because hayupo duniani. Hatutaki huu ujinga ujirudie kwa Mama, wanafiki wote wakae pembeni tunataka watu wanaotoa sifa za kihoja.
 
Lov Loveness Mamuya wenye Chako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…