Tunduma: Mbunge Frank Mwakajoka akamatwa kwa amri ya mkuu wa wilayaSasa weka na point zako! Umeng'ang'ana na sifuri na zero kwa wachangiaji wenzako! Labda wewe ndio sifuri na zero, wenzako wanadai Magu anainyoosha nchi, tuishi tokana na kipato chetu, tuache wizi, ubadhirifu wa mali, uvivu, uzembe, vyeti feki, kupenda vya mkato n.k. Wewe wasema zero/sifuri, elezea unashauri nini kifanyike?!
Askofu Bagonza aivaa Serikali, asema tulipokubali kuingia mfumo wa vyama vingi tulikubali kupingana kwa hojaSasa weka na point zako! Umeng'ang'ana na sifuri na zero kwa wachangiaji wenzako! Labda wewe ndio sifuri na zero, wenzako wanadai Magu anainyoosha nchi, tuishi tokana na kipato chetu, tuache wizi, ubadhirifu wa mali, uvivu, uzembe, vyeti feki, kupenda vya mkato n.k. Wewe wasema zero/sifuri, elezea unashauri nini kifanyike?!
Lofa...Sikuwa nawaza kuwa Diaspora kuwa wapumbavu wengi na wajinga wengi na marofa... (Napenda kutumia maneno haya kwakuwa ni maneno yaliyo wahi kutumiwa na viongozi wa juu wa nchi hii, Marofa, Wajinga, Wapumbavu)
na kwakuwa Mpumbavu hana jina lingine la kumuita tofauti na Mpumbavu na upumbavu wake, mjinga na ujinga wake, rofa na urofa wake...
Shukrani kwa kuni sahihisha...Lofa...
Karibu..Shukrani kwa kuni sahihisha...
Je gharama state na vibali mbongo gani anaviwezaMkuu, uchumi wa bongo ulikuwa wa ajabu sana! Yaani kuna jamaa yangu yeye alijenga nyumba yenye uwanja mkubwa sana kule kigamboni. Kuna kipindi mtu alimu offer million 200 akakataa. Sasahivi, anajuta akitaka uza ata million 70 hapati mtu.
Kwa mtu unayeishi nje huu ndiyo wakati waku invest lakini with caution. Vinginevyo, bora kununue nyumba zako huko ugaibuni utakuwa na usalama zaidi kiuchumi kuliko huku kwetu. Huku hakueleweki kwa kweli.
Hamna maana kununua mali TZ wakati unaishi states! Kwa mtazamo wangu, bora kuji establish vizuri kule unapoishi na ikiwezekana nunua property zako hata mbili pangisha kuliko kusumbuka na bongo. Wivu wa kwanini huyu anacho anajifanya katoka ulaya ni too much.
Kwahiyo shida yako nini mzee wa sifuri?Sikuwa nawaza kuwa Diaspora kuwa wapumbavu wengi na wajinga wengi na marofa... (Napenda kutumia maneno haya kwakuwa ni maneno yaliyo wahi kutumiwa na viongozi wa juu wa nchi hii, Marofa, Wajinga, Wapumbavu)
na kwakuwa Mpumbavu hana jina lingine la kumuita tofauti na Mpumbavu na upumbavu wake, mjinga na ujinga wake, rofa na urofa wake...
Wabongo wapo wengi states na wamejifanyia mambo mazuri kiuchumi. Kwa mfano, nina jamaa yangu ni dreva wa malori hivi sasa ana nyumba mbili, kwa sababu alifanya kazi kwa bidii na pesa yake yote aka invest kwenye property, badala kuhangaika na bongo kuishia kuibiwa.Je gharama state na vibali mbongo gani anaviweza
Hakuna kitu kama hichoHivi uko nako wanawake wanatafunaga udongo?
Mkuu ulaya na states siyo kama bongo kununua nyumba cash au ujenge mwenyewe, au uchukuwe mkopo wa benki wenye riba kubwa ambayo hamna duniani kote!Je gharama state na vibali mbongo gani anaviweza
Kurudi lazima turudi, baridi siyo zuri dada yangu, hasa umri ukipanda. Ila Kujijenga huku kwanza ni muhimu! Baadaye ndiyo bongo nyumbani.Nawashauri msirudi aisee huku jua kali
Mkuu ulaya na states siyo kama bongo kununua nyumba cash au ujenge mwenyewe, au uchukuwe mkopo wa benki wenye riba kubwa ambayo hamna duniani kote!
Ulaya kwa mfano pale uingereza, kama credit history yako ni nzuri na unafanya kazi ambayo una earn £1200 per month kupata mortgage ya nyumba ni rahisi sana. Kwa mwezi rent ni sawa na kulipa mortgage kwa mwezi.
Mbona mkuu, mimi nina nyumba ya vyumba vitatu UK ambayo nilinunua 10years ago kwa £58000. Sasahivi hiyo nyumba nikitaka kuuza sikosi £250000. Na nimenunua nyingine one bedroom flat namempangisha Mnaijeria natengeneza £100 Kwa wiki.
Kwahiyo, kufanikiwa, kunawezekana kwa wabongo kama uko focused na kazi siyo kutuma tuma pesa bongo kwa project zakuibiwa.
Ata siku nikiamua ku resettle nyumbani, at least na income kutoka Europe ya nyumba zangu pamoja na pension. No worries!
Sasa mkuu, siwezi kumwaga mchele kwenye kuku wengi! Nimetoa dondoo kidogo tu, inatosha.Mkoa gani?
you must be geniousMkuu ulaya na states siyo kama bongo kununua nyumba cash au ujenge mwenyewe, au uchukuwe mkopo wa benki wenye riba kubwa ambayo hamna duniani kote!
Ulaya kwa mfano pale uingereza, kama credit history yako ni nzuri na unafanya kazi ambayo una earn £1200 per month kupata mortgage ya nyumba ni rahisi sana. Kwa mwezi rent ni sawa na kulipa mortgage kwa mwezi.
Mbona mkuu, mimi nina nyumba ya vyumba vitatu UK ambayo nilinunua 10years ago kwa £58000. Sasahivi hiyo nyumba nikitaka kuuza sikosi £250000. Na nimenunua nyingine one bedroom flat namempangisha Mnaijeria natengeneza £100 Kwa wiki.
Kwahiyo, kufanikiwa, kunawezekana kwa wabongo kama uko focused na kazi siyo kutuma tuma pesa bongo kwa project zakuibiwa.
Ata siku nikiamua ku resettle nyumbani, at least na income kutoka Europe ya nyumba zangu pamoja na pension. No worries!
kuna kitu nimefaidika kutoka kwakoKurudi lazima turudi, baridi siyo zuri dada yangu, hasa umri ukipanda. Ila Kujijenga huku kwanza ni muhimu! Baadaye ndiyo bongo nyumbani.