Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

Diaspora tukutane hapa: Tupeane ushauri wa kuanza maisha mapya Tanzania

This is fact
Kuna bwana mi natumia gharama zangu kudownload movies na series ye ashanigeuza mi studio kila weekend a nakuja Kwang kunyonya
Halafu Anafanya kazi sehem yenye WiFi

Namuelekeza jins ya kudownload et anasema inachukua muda mrefu

Hiyo shida ya Mtanzania mnayejuana.......
 
Oh yeah. Tena wenzio unakuta wanakula tu chipsi vumbi zao [zinaitwa chipsi vumbi kweli] au kiti moto na mikachumbari na mazagazaga mengine around hiyo harufu na wala hawastuki!

Been to Malaika beach resort in Mwanza? That place is on point. If you’ve never been there next time you’re in town make an effort to check it out. Beautiful lakeside hotel....

View attachment 665354
Hapa ukifika reception tu unakaribishwa na glasi ya juice ya entertainment, hawa jamaa wako vizuri.
 
Maisha popote au warudi bongo?

Excuse me Sir, but you are contradicting yourself. Kama maisha popote usiwaambie warudi Bongo!

Msemo maarufu sana wa diaspora huo, "maisha popote," msemo wa kukata tamaa na wa uongo, masikini ya Mungu.

Sasa kama huyu Copenhagen yuko humu bila aibu anasema anaishi kwa kulipiwa renti na kanisa! Nani Tanzania analipiwa renti na kanisa zaidi ya Mzee wa Upako na Mama Rwakatare?

Namfahamu ni mchangiaji maarufu kwenye thread za immigration, anasema yuko Scandinavian countries lakini siku moja alianzisha mada hapa tukakuta hajui kuandika maneno Denmark wala Finland, yani yuko Scandinavia na darasa la saba la Afrika, he is definatelly gonna be shut out of even touching the bottom rung of the economic ladder. Mtu kama huyo atakueleza nini kuhusu maisha ya Ulaya zaidi ya kukushauri ukawe omba-omba wa makanisani?

Halafu anakuja mtu hapa anasema diaspora wakirudi wanataka kuishi standard za juu, nimemuuliza standard gani hizo ambazo walizoea Ulaya, kunywa Heineken? Kakimbia.



off course I am right, I know what I am talking about. Si wapo humu, kama naongopa watasema.

Na hilo la "kama huna shughuli ya kufanya ughaibuni..." hapo pia unawapotosha.

Sio shughuli mradi shughuli. A more helpful question is "Ulaya unafanya shughuli gani?" Kama ni odd job, "kazi za ajabu ajabu," mustakabali na hiyo kazi ni nini, utalea wazee mpaka lini, uta stock Wallmart aisles mpaka lini, utakaa kwenye kibanda cha security nje kwenye sub zero degrees mpaka lini? Au kama hujioni ukitoka humo, okay, unapata nini out of it, umefanya miaka 5, 10, do you have anything to show for it? Au unapokea tu subsistence paycheck, umelala umeamka, maisha popote!

Vast majority of the diaspora exist on subsistence compensation, mdomo uende kinywani. Na si wao tu, nanukuu, "...approximately 62% of Americans have less than $1,000 in their savings accounts and 21% don't even have a savings account..." Nenda google andika "USA Savings..."

Hawa ndugu zetu msiwadanganye eti wakija bongo tatizo wanapenda kuishi standard za juu, standard za juu zipi?
Tema cheche mkuu, tema cheche...
Eti standard za juu?! Standard za juu utazipata hapa TZ na elimu yako (kama unayo)..
Kama ni swala la maji kutiririka ndani hata hapa lipo, kama umeme upo, hata kama ni mangumashi, kama vyakula wanavyotaka vipo TZ, tena fresh, sio vile vya kupiga sindano na viko frozen miezi 6..
Standard za juu wanazozungumzia labda ni uhakika wa elimu, malazi na afya, na kwa watoto wao, ambalo wengine watasema kweli, maana hakuna utajiri mzuri na wa uhakika utakaomuachia mtoto kama elimu...Hapo tumekubali kwa hilo...
Ila ukumbuke mpaka umefika huko ina maana hata wewe ulipata elimu fulani huku, je haikutosha kwa wewe kuajiriwa kwenye fanu yako? Je ulijiendeleza tena uwe sawa na standard zao za elimu?..
Haya , baada ya watoto kukuwa itakuaje? Maana unazeeka, unalinda magodown, factories etc, labda unafanya kazi za Care, mpaka lini? Au umeajiriwa kwenye Food Factories, kuna baridi kufa, kwa kazi za usiku mwili lazima uchoke tu...
Bado mbishi, je utaendelea kuwepo huko na ulipwe Pension kwenye nyumba kama za NHC huku kila wiki au ungependa uwe hapa na kajumba kako, kagari kako, mradi wako, uwape ajira Watz wafaidike na Mtz mwenzao aliyepata ujuzi huko..
Kwa kweli ni uamuzi wa mtu kweli, ila lazima ufike muda useme, tayari future ya watoto iko sorted, ya kwako je?!

Wanaotaka kurudi jipangeni, anza na sehemu ya kufikia, lete usafiri wako, njoo na ujuzi wako uliosomea huko, kama bado somea sasa, njoo na kamtaji, mambo swafi tu..
 
Dar stinks[emoji16] [emoji16] [emoji16] siku moja nikawa Moshi, nkaona si mbaya nikanyooshe miguu. Sasa nkaenda mpaka maeneo ya kiwanda cha ngozi, nkakuta siku hiyo walikuwa wanatoa maji ya kulowekea ngozi. Palikuwa na harufu kali mbaya ambayo unaisikia kutokea kama kilometa 3. Ajabu watu wanaishi pembeni ya kiwanda hata hawana shida.
Bongo wengi tunaishi na uchafu hata hatuoni shida
 
I’d say true....

Dar stinks....Mwenge smells like sewage. Vingunguti has a nasty smell too. The whole city is dirty. The airport is dirty. A lot of people are dirty. Hahahaaa
Aisee...mbona unatutukana?
 
Babu ushawahi kwenda Mwenge hususan mle wanapotengenezea kucha wadada?

Wana diaspora Leo mmeamua aiseee...hahahahahahshaaha . Ila mtu ukisoma huu uzi tofauti ya exposure iko dhahiri Kabisa!

Kuna Watu bongo wameshazoea uchafu kiasi kwamba (especially pubs) hawawezi kutofautisha uchafu na usafi tena. Bongo ni kawaida bia kuinywea pembeni ya choo na nzi WA kutosha wakiwa wanarukaruka.....kwanza Mimi nadhani wabongo tuna immunity Kali sana.

Maana kuna uchafu mwingine ni beyond imagination ya kawaida.
 
Ni hivi niliaanza Na wa Mormon piga sound Hadi nalia wakanilipia Kodi miezi mitatu Na kunipatia voucher nikawa naenda supermarket kuchukua msosi Na sabuni toiletries ila soda sigara Na bia huruhusiwi. Nikahudhuria ibada Mara mbili tatu nikala Kona.

Nikawaaproach walutheri lakini hawa wako smart Na maswali mengi ila niliwapa bonge la sound amini usiamini Hadi bills walinilipia ukiondoa Kodi kwa miezi mitatu Na nauli ya public transport mwez mmoja. Ila hawa tofauti Na mormon hakushurutishi uhudhurie ibada.

Anglikana Ni kanisa dogo Sana hapa. Tayari nimeshawapanga huenda siku za karibuni ntaweka mambo sawa.

Orthodox nayo iko kwenye list.

Ila Lutheran wajanja wanakuomba I'd halafu wanakugeuzia screen desktop uingize online bank waone transaction Na balance. Sasa Mimi niliwapa account nyingine.

Hata hivyo serikali inawapa ruzuku kubwa mno pia hawa wazungu walitunyonya Na wanazidi kuikamu Africa nasisi pia hatuna budi.
Wewe ni kichwa, tapeli mjanja 😛
 
Wana diaspora Leo mmeamua aiseee...hahahahahahshaaha . Ila mtu ukisoma huu uzi tofauti ya exposure iko dhahiri Kabisa!

Kuna Watu bongo wameshazoea uchafu kiasi kwamba (especially pubs) hawawezi kutofautisha uchafu na usafi tena. Bongo ni kawaida bia kuinywea pembeni ya choo na nzi WA kutosha wakiwa wanarukaruka.....kwanza Mimi nadhani wabongo tuna immunity Kali sana.

Maana kuna uchafu mwingine ni beyond imagination ya kawaida.

Yaani uagize kiti moto halafu nzi wasikidandie? Uagize chipsi vumbi halafu usifukize nzi?

Na ni kweli. Watanzania wengi wana immunity kali sana.

Vi ‘groceries’ na vi ‘pubs’ vilivyopo karibu na uchafu ni vingi mno. Ngoja nitapiga picha nizirushe humu.
 
Yaani uagize kiti moto halafu nzi wasikidandie? Uagize chipsi vumbi halafu usifukize nzi?

Na ni kweli. Watanzania wengi wana immunity kali sana.

Vi ‘groceries’ na vi ‘pubs’ vilivyopo karibu na uchafu ni vingi mno. Ngoja nitapiga picha nizirushe humu.
Ukisema na kuwaza tofauti na wanavyowaza, wanakuona una maringo, oh, unajifanya mzungu n.k.!!!
 
Back
Top Bottom