Diaspora tunadharaulika sana awamu hii

Diaspora tunadharaulika sana awamu hii

aisee kama hamtaki kutushirikisha hatuwabembelezi, endeleeni kutumbuana tu si wacha tupige midolari tu huku.
 
yaani huyo miss wenu ameniacha hoi sana ukachia hicho kitambaa alichoveshwa hakuna alama yoyote inayoonyesha vivutio vya Tanzania. Hawa ndo madayaspora tunaowatetea kwa mate meeeengiii
 
Magufuli si yule mliyezoea mnabembea naye kisha mnamwandalia sherehe feki za kutunukiwa vyeti vya mtawala bora.
Kweli watu wa Diaspora uzalendo mdogo saa nyingine. Wenzetu wa India na Ethiopia wanauzalendo wa hali ya juu sana.
Safari hii sijui itakuwaje hata mikutano yao ya Diaspora wamefanya nini. Zaidi ni kama sherehe tu. Sasa MAGU hana muda wa mchezo ila kazi tu.
 
kama mambo yenyewe ndo hayo kwenye picha wacha mdharaulike zaidi awamu hii labda mtanyoosha maelezo.
 
View attachment 337329 View attachment 337331 View attachment 337328 View attachment 337329 Awamu hii ya 5 imekuja kauli mbiu ya HAPA KAZI TU hata sijui waliitoa wapi hii kitu, haya sasa wameingia madarakani vurugu mechi kila mtu na wake FUKUZA FUKUZA kila kona, ukiangalia watueuliwa wote hakuna Diaspora hata mmoja. Jamani hii nchi ni ya kwetu wote mbona awamu ya 4 walitushirikisha kikamilifu? Hata ukienda Ubalozini (Washington DC) haupati ushirikaiano wa enzi zile za Awamu ya 4 maana kila mtu anatetemeka tu sijui ndo kuogopa fukuza fukuza! Tuajirini sisi Diaspora muone damu mpya na mawazo mapya katika utendaji wa serikalini nchi itanyooka.

Mhhh sijui ngoja tuwasikilize na wengine ! Enzi ya awamu ya 4 kama ulipata ushirikiano basi lazima ulikuwa jipu..

Hii its too childish kusema eti uteuzi wa awamu hii hakuna diaspora, yaani unategemea uteuliwe basi tu kwa kuwa diaspora ??
Usinikumbushe mabo ya akina Nyalandu ya kusifia watu na vimiradi mbuzi vya kununua ndege ktk mafungu E bay then tundege huko tukanasa ktk mibuyu safari za kwanza tuu.... Jamaa alipofukunyuliwa na fbi kumbe alikuwa anakwiba na kupunja wafanyakai wake mishahara ktk dili za kutunza wazee, mzee wa kujichubua akamruka kimanga...!!

Kuwa diaspora sio nongwa, rudi uonyeshe una mavituz gani kwa mkichwa then kama nafasi zipo utapewa tuu
 
kuna nafasi shinyanga lakini mjue kukamata ghost workers si mnakuja na story za kujua mtaa anaoishi Beyonce
 
Huko mliko ndiko mnajenga nhi, em mtuwache na Tanzania yetu ya viwanda wachuuzi nyie...... Mimi huwa spendi kuwasikia kabisaaaa
 
mkuu punguza jazba tujenge Tanzania mpya yenye kujali utu wa mTanzania. Iyo kuosha vyombo unayodharau wanaume wenye masters maphd wanakuvukia Mediterranean kwa mitumbwi wengine wanapoteza maisha walau wafike waoshe vyombo
Kaa hukohuko muoshe chupi sisi tunajenga Tanzania, mlizoea JK alivokuwa anakuja kula bata sio.

Imekula kwenu
 
Wabongo walioko nje wamegawanyika kwenye makundi.Kuna kundi la wabongo wanafunzi,wafanyakazi wa ofisi za kibalozi,walopata uraia kwenye nchi wanazoishi,maninja(hawana sheria za kuishi kwenye nchi waliopo)nk.Makundi mawili makubwa ni kundi la wazanzibar na wabara.Diaspora ziliundwa ili kuwaunganisha wabongo hawa ingawa baadhi ya diaspora bado zinafanya kazi chini ya mwevuli wa kibalozi yaani utakuta mwenyekiti wa diaspora ni informer wa ubalozi na hata mikakati yeyote ya kimaendeleo zaidi ya kuorganize party.Muamko wa diaspora ulianza wakati wa awamu ya JK.Wakati wa awamu ya JK ndio wabongo walioko nje walianza kuwa kifua mbele kuringia nchi yao,hiki ndio kipindi umuhimu wa diaspora ulianza kuonekana.Hapa kenya,serikali ya kenya huingiza mamilioni ya dola za kimarekani kwa kupitia diaspora,sisi tumeanza vizuri wakati wa JK lakini Mr JPM asipoona umuhimu wa diaspora basi diaspora zitarudi enzi za nyuma kuwa vilabu vya pombe na ufuska.
Kenya,Nigeria,Ghana,Uganda nk huandaa mikakati thabiti kwa ajili ya diaspora mfano huwaandalia watu wao mazingira mazuri ya kuwekeza kwenye nchi zao.
Ni kweli kabisa Raisi asipoona umuhimu wa diaspora na waziri wa mambo ya nje nae pia asipokuwa na interest ya kuendeleza diaspora kimaendeleo basi kwa mara nyingine tena tutashuhudia diaspora zetu kuwa vilabu vya ulevi na umalaya.
Nakubaliana na Mr Pombe kubana matumizi kwa kupunguza safari lakini teleconference na diaspora moja kwa muda wa saa moja haitogharimu dola za kimarekani ishirini
Lipi la maendeleo lilifanyika na diaspora wa Tanzania zaidi ya ku organize visherehe huko ugaibuni
 
Post hii inasikitisha. Mtanzania aliyebakia nyumbani anamwonea wivu/anamdharau mwenzake aliyeenda kutafuta maisha nje. Kumbe wote ni victims wa mfumo na lengo lao lapaswa kuwa moja - kuikomboa Tanzania kutoka katika umasikini wake. This real made me sad.

Hata tulioko huku nyumbani nadhani wakati wa kutanua umekwisha. Hakuna safari za nje wala posho za kijinga jinga. Ni nani atakayeweza kwenda vacation London au USA kwa pesa yake ya mshahara? Ptu!
 
Watu wanaojiona wazalendo hapa nchini ndio hao hao wakipata pesa wanaenda kufanya shopping abroad

-Ndio hao hao wanaiba pesa na kuficha ughaibuni

-Ndio hao hao wanaomba misaada ughaibuni hata wa kutengeneza vijiko

-Ndio hao hao wanatamani kwenda kusoma huko ughaibuni huku wakiiponda elimu ya bongo.

-Ndio hao hao wengi ni wana maneno meeeengi na majungu.

Tusipobadilika Watz na kuacha unafiki tuna hatari sana.
 
Kaa hukohuko muoshe chupi sisi tunajenga Tanzania, mlizoea JK alivokuwa anakuja kula bata sio.

Imekula kwenu
mbona tuko radhi hata kutawadha mee-koo-ndoo. Great thinker ebu nikufungue akili kidogo. Angalia economic migrants wanavyorisk maisha yao kuvuka Sahara Mediterranean name aegean sea ugirik kufika ulaya. Hili jambo linakuonyesha jinsi walivyo desperate na ufukara uliokithiri kwao
 
Kwa hiyo unalipwa kama dola $21 kwa saa? Poa basi mambo yako siyo mabaya.
ndio mkuu. Denmark na Norway they pay high wages. Ila mkuu it's very expensive to live in CPH. House rent ni kubwa sana. Kodi unayokatwa ni balaa. Mimi nalimwa 36% tuseme nalipa Kodi kama 3m TZS but it's worth it the more hours u work and earn the more they heavily tax you. Sasa hivi landlords wengi wanataka six months deposit ukitaka kurent nyumba many have to seek loan just to pay the deposit. Nikuish kiujanja tu ila kiuhalali kwasababu hapa hamna sanaa.

Ila Mimi mjanja na mgumu siyo hapa toka nikiwa bongo najua kuish kigumu na kubana matumiz. I really believe in working hard and savings. Tunashare apartment na masela wanne tena ni student apartment yani hapo nimesAve

Benny Raimundo
 
ndio mkuu. Denmark na Norway they pay high wages. Ila mkuu it's very expensive to live in CPH. House rent ni kubwa sana. Kodi unayokatwa ni balaa. Mimi nalimwa 36% tuseme nalipa Kodi kama 3m TZS but it's worth it the more hours u work and earn the more they heavily tax you. Sasa hivi landlords wengi wanataka six months deposit ukitaka kurent nyumba many have to seek loan just to pay the deposit. Nikuish kiujanja tu ila kiuhalali kwasababu hapa hamna sanaa.

Ila Mimi mjanja na mgumu siyo hapa toka nikiwa bongo najua kuish kigumu na kubana matumiz. I really believe in working hard and savings. Tunashare apartment na masela wanne tena ni student apartment yani hapo nimesAve

Benny Raimundo
Nimekupata najua sana unachoeleza maana na mimi naishi Marekani mambo ya rent kwa kweli ni ghari sana. Kwa hapa USA inategemea pia miji gani unaishi kama unaishi miji mikubwa kama New York City, Los Angeles, Chicago, San Francisco na kwingineko itakuwa kasheshe lakini kwa majimbo kama ya Nebraska, Iowa, Kansas basically Midwest cities are cheaper.
 
je nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa

Zamani watumwa walikuwa wanakamatwa kwa nguvu, saa hivi mnaenda wenyewe. We baki huko huko, sisi huku tunajenga nchi. Wenzio wenye aelimu ya kweli wanarudi kushiriki nasi, nyie wa degree moja miaka tisa, endeleeni kuzunguka tu huko. Au unataka uzeeke kama lemutuz ndo urudi?
 
Zamani watumwa walikuwa wanakamatwa kwa nguvu, saa hivi mnaenda wenyewe. We baki huko huko, sisi huku tunajenga nchi. Wenzio wenye aelimu ya kweli wanarudi kushiriki nasi, nyie wa degree moja miaka tisa, endeleeni kuzunguka tu huko. Au unataka uzeeke kama lemutuz ndo urudi?
tutakomaa tuu hapa sirudi kula vumbi huko
 
Jamaa anaongea kama vile diaspora nao ni disadvantaged group?
 
Back
Top Bottom