Diaspora tunadharaulika sana awamu hii

Diaspora tunadharaulika sana awamu hii

Hamna mchango wowote. Ninyi endeleeni kufanya kazi za usafi huko kwa wazungu. Sisi kwa sasa tunachapa kazi. Hatuna muda wa story na kuangalia picha za maghorofa mnazotuma.So stupid, mlidhan ndo kama utawala ule dhaifu?utawala wa facebook na instagram? Mnataka mkumbukwe kwa lipi sasa?watu hawana muda wa show off kwa sasa.watu wanapiga kazi tu

Zinaitwa kazi za kusafisha "Masaburi" ya wazee wasiojiweza...
 
ni kweli ovyo ila kwa wanaojielewa na wamekuja kutafuta maisha kiukweli siyo ovyo

Utayapata maisha huko? angalia mkuu, utaishia kuunga bili mwezi kwa mwezi mpaka utazeeka. Tumeshaona mifano ya namna hiyo mingi sana. Ushauri tu.
 
Utayapata maisha huko? angalia mkuu, utaishia kuunga bili mwezi kwa mwezi mpaka utazeeka. Tumeshaona mifano ya namna hiyo mingi sana. Ushauri tu.
mkuu niko makini sana na mambo ya bills. Nilikuja hapa 2009 system sokuijua vizuri nikachukua instant loans hawA washenz riba yao mara 2. Niljituma nikaimLiza Chin ya miez 10. Yani sitaki kusikia tena mambo ya online instant loans. Mimi niko very discipline in financial matters. Napata hela nreasonable kwasabab nafanyA masaa mengi. Naish kwenye student share apartment tuko wanne rent nimesevu hapo. Benki wameniomba nichukue mortgage nimesita. Nimeombwa nichukue mkopo nimesita. Ninahela hata kuliko wadeni wengi. Kwasababbu nasevu
 
mkuu niko makini sana na mambo ya bills. Nilikuja hapa 2009 system sokuijua vizuri nikachukua instant loans hawA washenz riba yao mara 2. Niljituma nikaimLiza Chin ya miez 10. Yani sitaki kusikia tena mambo ya online instant loans. Mimi niko very discipline in financial matters. Napata hela nreasonable kwasabab nafanyA masaa mengi. Naish kwenye student share apartment tuko wanne rent nimesevu hapo. Benki wameniomba nichukue mortgage nimesita. Nimeombwa nichukue mkopo nimesita. Ninahela hata kuliko wadeni wengi. Kwasababbu nasevu

Piga kazi bro. lkn wekeza home. Asikudanganye mtu, home is always the best....
 
Diaspora DICOTA 2016 mtoke na azimio la maana. Sio kupiga picha na kutuma Instagram!
 
Diaspora DICOTA 2016 mtoke na azimio la maana. Sio kupiga picha na kutuma Instagram!
DICOTA ni poa ila baada Ya convention sioni anything sustainable
Kila kitu kinakufa hadi the next convention.
Imekuwa ni kama zile parties za Columbus au DC miaka ileeee
 
subirini JK arudi madarakani awamu ya lala salama awateue kama ada ilivyokuwa!
 
DICOTA ni poa ila baada Ya convention sioni anything sustainable
Kila kitu kinakufa hadi the next convention.
Imekuwa ni kama zile parties za Columbus au DC miaka ileeee
Kweli tupu hamna jipya hapo. Yale Yale na MAGU hana muda wa mchezo.
 
Kweli tupu hamna jipya hapo. Yale Yale na MAGU hana muda wa mchezo.
Mtakutana pale Dallas.speeches zitatotolewa. Waliokula per diems zao toka bongo watafanya shopping baada Ya convention kuisha basi hakuna jipya
Dicota imekuwa kama just a partying event Ya kuku yana na old friends and that's it
 
Nataarifiwa hapa kuwa kuna kitengo cha DIASPORA (ama ofisi ya waziri mkuu au mambo ya nje) je kina kazi gani? na lipi limefanyika mpaka sasa?
 
Nataarifiwa hapa kuwa kuna kitengo cha DIASPORA (ama ofisi ya waziri mkuu au mambo ya nje) je kina kazi gani? na lipi limefanyika mpaka sasa?
Mkuu hata mimi nimewahi kusikia hicho kitengo lakini sijui ofisi zao na kitu gani wanafanya
 
Daah kwa hiyo tuseme kitengo ni JIPU sio? Mama Tanzania unaangamia kwa wana-Diaspora kukosa maarifa endelevu. Huko ughaibuni mnajifunza nini cha kuendeleza nchi yetu pendwa (Mama Tanzania)
 
diaspora ni mzigo kama mizigo mingine tu. jitu limekaa ughaibuni miaka na miaka lakini halina mchango kwa taifa halafu linaibuka ooh nataka uraia pacha! kwa kipi?
 
Back
Top Bottom