Diaspora tunadharaulika sana awamu hii

Diaspora tunadharaulika sana awamu hii

Tatizo la nchi hii watu wana wivu.Hata kuishi nje kuna watu walitamani wakakosa Sasa wanasumbuliwa na wivu wa kike.Sasa Kama wewe huku fanikiwa kwenda who knows mwanao au hata mjukuu wako akaenda. Diaspora ni wenzetu.Baba zetu,kaka au dada zetu,wajomba au Shangazi hata Jirani basi. Wanao mchango mkubwa Sana katika Jamii wanapotoka .Wengi husomesha ,hutuma Pesa nyumbani ambazo zinamchango mkubwa Sana .Wengine hufanya maendeleo nyumbani Kama kujenga nyumba na kufanya biashara mbali mbali.Ni muhimu wathaminiwe na kupewa kipaumbele kuliko hata hawa waweke zako tunaowalamba miguu.Ni watz na watabaki Kuwa wa Tz .Ndo maana kuna Umuhimu wa kuwepo uraia pacha.Tukubali Kwamba tutalazimika kuunga mkono mambo yenye tija na si lazima hayo mambo yatufaidishe Wenyewe moja Kwa moja Ndo tuyaunge mkono.
 
WIVU WIVU WIVU ni kitu kibaya sana hasa miongoni mwa watanzania badala ya kushirikiana na kusaidiana watu wamekaa kuponda wenzao. Kwani mlio kua ndani ya nchi hamuwezi kuleta mabadiliko pia, au roho mbaya tu.
Nchi hii itaendelea endapo tutacha uwivu , uvivu na uchoyo...
Watu wa Diaspora baadhi yao wanasaidia sana.
Kunao waliojenga nyumba za kulelea mayatima huko umasaini, waliovuta maji vijijini moshi huko na waliosaidia kujenga hospital ILA watu humu ndani hamuyaoni haya ni kuwadharau tu. EBU TUBADILIKE JAMANI
TUACHE KUONGOZWA NA HISIA
TUTUMIEGE AKILI.

Asilimia kubwa mnakesha instagram kufuatilia ishu za WEMA badala ya kufanya kazi.

ACHA WIVUUUUUU !
 
Dayaspora wamejenga hospital Tanzania? Shule za mayatima? ZIPI?
 
Sasa mmeanza MIPASHO badala ya hoja nyie diaspora vipi.
 
Hamna lolote mini diaspora wababaishe tu na wapiga dili ninaofanya nao kazi walioletwa na mzee wa msoga sijao chaa ajabu walichofanya
 
mbona tuko radhi hata kutawadha mee-koo-ndoo. Great thinker ebu nikufungue akili kidogo. Angalia economic migrants wanavyorisk maisha yao kuvuka Sahara Mediterranean name aegean sea ugirik kufika ulaya. Hili jambo linakuonyesha jinsi walivyo desperate na ufukara uliokithiri kwao
Hapo unanifungua akili au unanifunga?
Mungu amekupa ufahamu ili uweze kuyaendesha mazingira sio kuzubaa na kutegemea hisani, na sio kila wanachofanya hao ni sahihi au kinakufaa.
Toka huko ndani ya box pambana na mazingira, kwani wanaofanikiwa katika mazingira hayo wameumbwa na nani?
 
Wana-diaspora changeni mumsafirishe marehemu Sanga
Inasemekana marehemu alikuwa safi sana kiuchumi na alikuwa anatamba sana huko Houston kwa matanuzi na kusaidia wanajamii wenzake. Iweje tena wewe unasema eti achangiwe? Unamfahamu au umejikurupukia tu? Watakosa kweli $10,000 za kusafirisha mwili kuja nyumbani?

Isitoshe wanadayaspora wengi at least ninaowafahamu mimi wana bima kwa mambo kama haya. Wanadayaspora wote siyo wabeba maboksi kama unavyodhani. Ni kama vile huko nyumbani wote si wenye maisha ya juu.
 
Shimba ya Bunyenze wanadiaspora wamepewa mpaka akaunti kuchangia mwili kusafirisha mwili. Daah
Nilikuwa sijui kama wametoa mpaka account. Kuna ndugu yake kabisa humu humu JF jana alikuwa anasema kuwa marehemu alikuwa safi sana kiuchumi kiasi kuwa jamii nzima ya Houston walikuwa wanamfahamu. Iweje tena leo waanze kuchangisha watu ili kusafirisha mwili?
 
Dayaspora wamejenga hospital Tanzania? Shule za mayatima? ZIPI?
Dayaspora muwe na lengo la kurudi nyumbani .mmepata opportunity wekezeni nyumbani mlete ajira kwa wenzenu wasiobahatika.undeni vikundi kuchangia mitaji. Matunda yenu yakionekana mtaheshimika tuu.Nani hamheshimu mwajiri wake?
 
je nikirudi kuna qengeh yeyote atanilipa elf 47 kwa saa
Ndugu huo mshahara wako ni sawa na Tsh 6.5M(per month) kwa mtu anayefanya kazi masaa 7 kwa siku so ni pesa ya kawaida sana kama kwa muajiri wako utaweza kumzalishia zaidi ya Tsh 65Million kwa mwezi
 
Wakenya wanatangaza bivutio vya utalii vya Tanzania kama vile viko kwao Kenya lakini Diaspora wa kibongp mpo,wala hatusikii mkikanusha,sasa mnataka tuwaheshimu kwa lipi?
 
Back
Top Bottom