Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

Ok, but how is that any of your concern?

You don’t got your own life and wish to live vicariously through others or what?
Hii sio IPA English Mzee ngabu kama vipi vipi rudi nyumbani uje kufuga chawa wenzako!!

You don't got????!! What?????? Anyway amefikisha ujumbe tu diaspora acheni kumparua mleta mada!
 
Mtoa mada upo sahihi kabisa diaspora wengi wa Tanzania hasa wanaoishi Marekani hawana lolote kwa sababu mambo ni magumu sana huko..

Diaspora wanao fanya vitu vya maana Tz wengi wao ni wale waliopo kwenye chi kama Qatar Bahrain etc but USA hell no bora hata waliopo Mozambique
 
Nimemuuliza kwani waliagana naye? Hajajibu.

Watanzania wengi wanapenda sana kuishi kwa kufuatilia maisha ya watu, wakati yao wenyewe yamewashinda.
Hii ni forum mambo ya kuagana yanatoka wapi
Ulishawahi jiuliza kwanini tunatumia majina bandia jamiiforum
Kama ndo akili za watanzania mnaoishi abroad kazi ipo
 
Hii ni forum ungejua maana ya forum usingeongea huu ujinga
Nani akufuatilie maisha yako mtu unayetumia jina bandia
 
Hii ni forum ungejua maana ya forum usingeongea huu ujinga
Nani akufuatilie maisha yako mtu unayetumia jina bandia

Nikikumbeshe huna maisha yako ndo maana ukizaliwa wakati hujitambui kuna watu wanakuudumua na hata ukifa unazikwa na watu hata usiowajua
 
Huna cha maana ulichofanya umekasirika kwa sababu nimeongea ukweli
 
Hawa watu wanasumbuliwa na wivu tu, pengine bila hata wao kujua. Kwa sababu wana akili ndogo.

Wangependa sana watu wote tubaki hapo kwa bimkubwa tunahesabu mbao za dari na kupigana mizinga.

Mawazo ya kichawichawi tu.
 
Sema ndugu zako wa diaspora hawana wanachofanya zaidi ya kukuringishia hela.
Wenzako sisi ndugu ,etu wako supa nje na hata nyumbani wanafanya jambo. Na wanatupa connection kufanya michongo huko.
Wengine go and return hizi za mara kwa mara. Kwasbabu za hawa jamaa wa diaspora. Hao ndugu zako wanakuzingua. Changamka
 
Huna cha maana ulichofanya umekasirika kwa sababu nimeongea ukweli
Kwani wapi nilikuambia nina cha maana nilichofanya? Cha maana kwa nani? Nani anapanga hiki cha maana na hiki si cha maana katika maisha yangu mwenyewe?

Usifikiri kila mtu anaishi kwa kukariri wewe mburula guluguja usiye na ubongo wala uti wa mgongo.

Watu tushapita hayo maisha ya "status anxiety" unayoyaongelea wewe.

Unaelewa "status anxiety" ni nini?
 
Mara nyingi kikubwa wanachowwza ni kuwa Machawa wa Wapinzani 😁😁
 
Huyo jamaa anasumbuliwa na chuki, wivu na hasira tu.

Hana hoja.
 
Kama huna cha maana tulia kama unachomwa sindano
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…