Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana

Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha

Mfano diaspora wengi wa tanzania wanaoishi south afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
Ni bora ukakose lolote la maana abroad kuliko bongo hii ya sisiemu asee ni fedheha, me sina shida nao wanangu wananiinspire.
 
Ukianza kwa wanigeria utawaona kwenye michezo, kwenye academics, in short diaspora wa nigeria wanafanya vitu kweli vinaonekana

Wakenya nao wanajitahidi hawako nyuma ila njoo kwa ndugu zetu wa-tanzania hawasikiki au kwa sababu ni wachache sana
Kikubwa wanachokifanya ni kuturingishia picha

Mfano diaspora wengi wa tanzania wanaoishi south afrika wanajihushisha na uhalifu hawana sifa nzuri wengi wao sio wote wanapuyanga huko abroad
kwetu sisi ambao tumeishi na kusoma huko, wanatia huruma sana hasa wale walioenda bila kisomo. ila wale walio waliosoma na kuajiriwa wana maisha mazuri.
 
Kama wao wanakuringishia picha wewe huna vya kuwaringishia kwani?

Waringishie mgao wa umeme, maji kutokuwepo wiki nzima, viongozi wezi wanatajwa wameiba kwenye report ya CAG ila wanapeta na ulinzi mmewapa.

Waringishie chawa wanaolipa $3 kumsifia rais na viongozi wengine, waringishie kuandamana ni kosa ila kwenye katiba maandamano yameandikwa ni ruhusa.

Waringishie treni ambayo wengine wanajenga kwa miaka 2 nyie mnaenda 7 na bado haijulikani lini itaisha ili nanyi mkapige picha.

Yapo mengi sana ya wewe kuwaringishia.

[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hii ni forum ungejua maana ya forum usingeongea huu ujinga
Nani akufuatilie maisha yako mtu unayetumia jina bandia

Nikikumbeshe huna maisha yako ndo maana ukizaliwa wakati hujitambui kuna watu wanakuudumua na hata ukifa unazikwa na watu hata usiowajua
Kwa mantiki hii sina shaka wewe utakuwa unapiga mpaka chabo majirani zako wakiwa wanabanduana.

Haya Bw. Forum endelea kuumia na picha za watu ambao maumivu yako hayana athari yeyote kwao.
 
Back
Top Bottom