Diaspora wengi wa Tanzania hakuna cha maana wanachofanya zaidi ya kuturingishia picha

Wewe pamoja na huyo Mungu wako una maisha gani bora uliyonayo?

Zaidi ya chuki, mihemko,hasira, maneno ya shombo na Stress zako unazo kuja kuzimalizia huku JF.

Ungekuwa umefanikiwa uzingeleta chuki zako hapa JF.

Umaskini na Ukapuku unakusumbua hadi unapata wivu.

Kaa bongo ukamuliwe Tozo.
 
Wewe umeonyesha ulichofanya?

Kwa nini unadhani Diaspora tu wanapaswa kuonyesha walichofanya?

Je wewe una chochote cha kuonyesha ulichofanya?
Mimi sina-nilichofanya wala siwezi ficha huo ndo ukweli na sina cha kuonyesha
Sasa nyie mliokimbiliwa huko abroad kwa kisingizio kuna opportunity miaka inaenda mnakua hamna tofauti na aliyebaki hapa Tanzania
 
Kumbe vita yako na jamaa ni kuhusu Mungu .
 
Wewe ni kichaa period
 
Achievement kubwa niliyoona kwako ni kupinga uwepo wa Mungu
 
Mimi sina-nilichofanya wala siwezi ficha huo ndo ukweli na sina cha kuonyesha
Sasa nyie mliokimbiliwa huko abroad kwa kisingizio kuna opportunity miaka inaenda mnakua hamna tofauti na aliyebaki hapa Tanzania
Duh unahasira sana mkuu , sasa utaonea wap mafanikio ya watu humu, au unataka watu wafanye mbwembwe na majigambo humu yakuonyesha mafanikio?

Yani bado sijaelewa lengo lako [emoji848][emoji848].
 
Wacha makasiriko we muoheshaji na mchambishaji wamama wa kizungu huko nje. Jibu nini cha maana ulichofanya huko nje. Usiwatishe wenzako
 
[emoji16][emoji16] wa njee mnapigwa vita sana na hawa chawa wa ccm ,hizo pini mnazowapiga kutokea huko C.H ndio zinaleta haya[emoji1787]
Kiangazi na njaa za januari zinasumbua.

Watu hawana pesa Stress zao wanakuja kuzimaliza JF.

Na ukiwa majuu wabongo wanataka uwatumie hela za kusomesha watoto wao.

Sasa wasipo tumiwa Stress zao wanaleta JF...πŸ˜„πŸ˜„
 
Wacha makasiriko we muoheshaji na mchambishaji wamama wa kizungu huko nje. Jibu nini cha maana ulichofanya huko nje. Usiwatishe wenzako
We maskini Umbwa takataka Kafie mbele qmmmk.

Mama yako bora angetoa kizazi kuliko kuzaa mbwa kapuku takataka kama wewe.

Find someone of your league to parallel your mediocrity.
 
Sasa tupicha picha twenyewe tuko wapiπŸ€”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…