Freed Freed
JF-Expert Member
- Jun 27, 2017
- 6,547
- 7,167
Nimekuwa nikisikia hili jina la utani kwa mwanasiasa fulani. Sijajua kalengwa nani. Namaanisha hili jina la utani kabatizwa nani? Ongea kwa code usitaje jina moja kwa moja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaahaaa
🤩🤩Aaaahaaa
Mkuu pole Kwa swaumu ya kwarezima!?
AaaahaaTAL = Shimo ShangaziPita Kisu
Ahsante mkuu!Mkuu pole Kwa swaumu ya kwarezima!?
Wengine TAL, nishike lipi?Post-Meridian (PM).
Uzi unakosa jibu, niamini kipi?atakua mzee wa ubwabwa mheshimiwa rungwe
Hii TAL nimeshindwa kuifungua. Nilainishie mkuuWengine TAL, nishike lipi?
itakua Belgium labda.Hii TAL nimeshindwa kuifungua. Nilainishie mkuu
Wakati utatuambiaitakua Belgium labda.
ZAMBI hizo😃😃😃😃TAL = Shimo ShangaziPita Kisu
Yupo ubeligiji, anarudi anaondoka tena. Fanya TLHii TAL nimeshindwa kuifungua. Nilainishie mkuu
Shukrani mzee. "Anakuja anaondoka"😅Yupo ubeligiji, anarudi anaondoka tena. Fanya TL