Diblo Dibala katika Siasa za Tanzania ndiyo nani?

Diblo Dibala katika Siasa za Tanzania ndiyo nani?

Tafuta picha ya Diblo then utalijua jina lake
 
mjue kwanza Diblo Dibala ni nani ndiyo utoe jibu! hadi sasa ni mmoja tu kapatia
 
.... ni mzima wa afya,mnataka aende Kariakoo kununua vitu.... aliwahi kunukuliwa akinena maneno yafananayo na hayo kabla ya kumachi ile sevenitiini tuenti wani,kuelekea kwa mzee na tocha kwenye poti moja ya prisisheni ea kubwa kijijini kwake ambapo yupo yeye aliyesemekana kwa nusu ya wote waliopita.
 
Tafuta picha ya Diblo then utalijua jina lake
tumsaidie labda
👇👇👇👇👇👇👇👇👇
Screenshot_20230404-191732.jpg
 
Mwanasiasa anayeweza kupiga gita katika mziki wowote ule, uwe kwasa kwasa (haraka haraka) yumo na anapiga vizuri, kwenye rhumba (taratibu) anapiga gitaa vizuri. Anajua kwenda na kujibadilisha na nyakati na huyu si mwingine ni aliye vaa jezi Namba 3 mgongoni.
 
Mwanasiasa anayeweza kupiga gita katika mziki wowote ule, uwe kwasa kwasa (haraka haraka) yumo na anapiga vizuri, kwenye rhumba (taratibu) anapiga gitaa vizuri. Anajua kwenda na kujibadilisha na nyakati na huyu si mwingine ni aliye vaa jezi Namba 3 mgongoni.
,,
Screenshot_20230405-072301.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom