Did Mwalimu die a natural death?


funguka mkuu ni huyu ninaye mjua mm au mwingne,?njoo kwa pm mkuu.,daa inatisha
 

mbona kama una taka ku jastfay kifo cha mwalimu kutokana na maelezo ya ndugu hapo ju,kwa hadhi ya mwalimu hakupaswa kutibiwa hospital ya kawaida kama hyo tena sio prt room,nashawishka kuamin kile wadau wanachosema mwalimu aliuwawa na manyang'au kina mkapa na kampan yake ili watafune nchi kwa uhuru hasa kwa kua mwalimu alipinga sana ubinafsishaji wa mali asili
 

mkuu mwili umesisimka
 
Saluti! Kwako mzee huo ndio ukweli lakini ikumbukwe dawa ya moto ni moto
 

dah Mkapa aisee Siasa hizi
 

Aiseeeee

Behind the scene...
 
Nakumbuka kuwa family ya Julius inaujua ukweli! Vicent nyerere siku moja alisema japo si kwa kauli ya moja kwa moja kwamba kama mkapa ataendelea basi yeye Vicent angesema ukweli. Akatamatisha kwa kusema kwamba Mwalimu aliondoka mzima anatembea kwa miguu, wakamrudisha amelala kwenye jeneza.
Ninachoweza kusema nikwamba Ushahidi mmoja umebaki. Auaye kwa upanga ataondolewa kwa makali kuwili.
BN kama alifanya hivyo ataondoka vibaya saaana!
 

Aiseeeee

Asante kwa taarifa!
 

Mungu ibariki Tanzania Mungu bariki Africa!
 
Ironically, aliyeanzisha uzi huu baada ya kuuweka hewani akaingia mitini. Hajaonekana tena JF hadi leo. What happened to this chap!
 
Kwa mambo yote yaliyotokea baada ya kutangazwa kufa kwa Mwl. Nyerere,some one must be asking if t was a natural death. I am even asking myself if so was it...
 
I have always failed to be convinced that Mwalimu Julius Kambarage Nyerere died "A natural death!"

WHETHER NATURAL OR oTHERWISE. THE TRUTH IS, MWALIMU IS NO MORE.

THOUGH SUPRISINGLY HE'S STILL IN STATE HOUSE PAY ROLL!

ONLY IN TZ!
 
Ukiua kwa upanga nawe utakufa kwa upanga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…