Did you marry the right person? If asked to remarry, would you still choose the same person?

Did you marry the right person? If asked to remarry, would you still choose the same person?

Dah but why na mlioana mkipendana?
Alikudanganya nani kuwa wamependana? U marry first then love grows🤣🤣🤣🤣
Alafu katika kila mahusiano kuna mmoja anajipendekeza tuu, hasahsa sie wanaume tunakuwaga vinganganizi kwa mademu
 
Relationships and marriage are about sex, mambk ya goals achia halland. By the way jana kaweka kambani goli tano. Namuonea huruma gelofrend wako kama anapiga goli hivi ata kwenye uwanja wa sita kwa sita sii balaaa🤣🤣🤣🤣

Gud morning mwananchiiii
🤣🤣
 
Nilikutana nae siku ambayo niliachika kutoka kwa ex wangu Angel. Huyu angel nilimpenda sana. Siku ananiacha naelekea posta chuo nikawa namuomba Mungu njia nzima. Nikashuka kwenye daladala posta, sikusitisha maombi mpaka naingia chuo mlangoni IFM bado nilikuw naomba nasali rozari. .

Kwa waliosoma IFM ukipandisha njia ya function hall. Nikiwa ghorofa ya kwanza nikakutana nae (mke wangu) aisee moyo ulipiga sana just watching her passing me by. Nilielekea ghorof ya nne, moyo unanambia huyu dada ndie chaguo lako ila siamini amini. Nikiwa nashuka ngazi nikasema tena kama nikikutana nae she again she is the one. Nilishuka and I net her again on stairs aisee niliona mazingaombwe hata sasa. .

Nilivyofika chini nikaa kama dakika tano hivi nikasema na mama Maria. If I meet her this time I will believe she is the one. Yesu wangu naapa I met her again tena nae yuko as if she was waiting for me. I just went close to her and get lost in her eyes. She just stared back at me and I was just looking at her without saying anything. .

I said Hi, I am Gilbert. She just smiled at me[emoji846] Can I have your number? I handed her my phone. She held my phone without typing anything just thinking. Then she gave me her phone to type my number. Nikafiri perhaps hataki kutoa number zake. Ila that night she called me and there started the beautiful friendship. .

Next day I met her and told her I am crazy about her. She didn't say anything. I kissed her lips surprisingly she just look at me. Hakuwa mtu wa kuongea wala maneno. But nimemchangamsha now sio kama back them..Aisee mimi ninaongea kama charahani I can't help it. .

In a month she offered me her virginity. Never thought msichana yuko chuo awe virgin. All I say the next day akinicall alilia sana. She was so scared that I will run away. She was worried I wouldn't marry her. But my word is my life. I was already commuted to her by blood. .

Amekuwa mshauri mkubwa sana kwangu. In 2016 for the first time alinishauri nijenge na nilimbeza. I told her " Niache kwenda zangu China nijenge? wanaojenga ni waoga, ngoja niende China twice nanunua nyumba ya huyo anayejenga sasa". Usiku moyo uliniuma sana nikikumbuka nilivyomjibu.


To make the story short nimejenga nyumba moja ya familia ndogo. Nimejenga nyumba nyingine very very big apartment ya watu wanna. Ila sijaimalizia. Wale ambao walikuwa wanaenda China wote walifilisika kipindi cha magu nikawaza kama nisingemsikiliza je. Nina heka 20 pwani, kiwanja kibaha. Ila hapa sijahesabu vya kupewa. .

How do I know she is the right person for me. Ukiona mapenzi yako hayana maendeleo yani hayakui ujue hauko na mtu sahihi. Binafsi naamini amenikuza sana kwa sababu si mtu mwenye makuu. .

She has given me a very beautiful daughter. This month in two weeks I will have another child with her. Mungu kanibariki sana na maisha yangu sihisi kama nimepungukiwa na kitu. Hata nikipoteza something will even out. .

Kuna mda nawaza was she someone I knew from the past. Maana naweza waza jambo tukiwa pamoja na yeye akawa anawaza (hii imetokea mara nyingi). I dream about things na yeye anakuwa anaviota (hii imetokea sana). Kuna mambo sihitaji kuandika hapa ila nayaweka moyoni ila ni juu ya uweza wangu sisemi kwa sababu I swore I will never tell a soul. Naweza onekana chini. .

Let me say one thing tho. Kuna mda nilitaka kumuacha I was so freaked out. Nikiwa Road nilibebwa na gari ndogo mzoba mzoba. Second time I tried to leave her it happen again. Nilikuja notice the third time kuwa there is a pattern. Huyu mwanamke ni mtu wa maombi sana nahisi nikinuacha itakuwa mwisho wa maisha yangu. Nilitaka kumwacha sio kwa sababu simpendi hapana, kwa sababu I was so sick kipindi flan (my body release adrenaline and have some issues with nervous system). Ila si unajua watu wakiumwa wanawafukuza wanaowapenda. .

Its very scary to love someone but for us its mutual. Our first child died. Ningekuwa na watoto watatu sana. She cried there in hospital watu walituzunguka. The doctor said "mimba imeharibika". This broke my heart but to see her crying it torn my heart in pieces. That day I knew how lost I am in her and I will never try to fight it again. I am totally in let them call me crazy coz I am crazy over her. She understands me and my weird sense of humour. .

......

What a story, naombea wengine wapate hitaji la mioyo yao.
One statement nime notice “ukiona hakuna progress kwenye mahusiano basi uko na wrong person” and yes by experience uko right
 
KATAA NDOA


KUNA WATU WANAVUTWA MASHAVU NA WAKE ZAO ILA COMMENTS ZAO .............NITAMUOA TENA !¡!

HAKUNA MTU SAHIHI UKIVUMILIA SIKU HIZI UNATAFUTA KUFA.

KUNA JAMAA KAMNG'OA MKEWE MENO 3 YA MBELE BAADA YA KUGUNDUA KUWA WATOTO 3 SIO WA KWAKE WOTE.

[emoji1][emoji1][emoji1]
,[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Nilikutana nae siku ambayo niliachika kutoka kwa ex wangu Angel. Huyu angel nilimpenda sana. Siku ananiacha naelekea posta chuo nikawa namuomba Mungu njia nzima. Nikashuka kwenye daladala posta, sikusitisha maombi mpaka naingia chuo mlangoni IFM bado nilikuw naomba nasali rozari. .

Kwa waliosoma IFM ukipandisha njia ya function hall. Nikiwa ghorofa ya kwanza nikakutana nae (mke wangu) aisee moyo ulipiga sana just watching her passing me by. Nilielekea ghorof ya nne, moyo unanambia huyu dada ndie chaguo lako ila siamini amini. Nikiwa nashuka ngazi nikasema tena kama nikikutana nae again she is the ONE. Nilishuka and I met her again on stairs aisee niliona mazingaombwe hata sasa. .

Nilivyofika chini nikaa kama dakika tano hivi nikasema na mama Maria. If I meet her this time I will believe she is the one. Yesu wangu naapa I met her again tena nae yuko as if she was waiting for me. I just went close to her and get lost in her eyes. She just stared back at me and I was just looking at her without saying anything. .

I said Hi, I am Gilbert. She just smiled at me🙂 Can I have your number? I handed her my phone. She held my phone without typing anything just thinking. Then she gave me her phone to type my number. Nikafiri perhaps hataki kutoa number zake. Ila that night she called me and there started the beautiful friendship. .

Next day I met her and told her I am crazy about her. She didn't say anything. I kissed her lips surprisingly she just look at me. Hakuwa mtu wa kuongea wala maneno. But nimemchangamsha now sio kama back them..Aisee mimi ninaongea kama charahani I can't help it. .

In a month she offered me her virginity. Never thought msichana yuko chuo awe virgin. All I say the next day akinicall alilia sana. She was so scared that I will run away. She was worried I wouldn't marry her. But my word is my life. I was already committed to her by blood. .

Amekuwa mshauri mkubwa sana kwangu. In 2016 for the first time alinishauri nijenge na nilimbeza. I told her " Niache kwenda zangu China nijenge? wanaojenga ni waoga, ngoja niende China twice nanunua nyumba ya huyo anayejenga sasa". Usiku moyo uliniuma sana nikikumbuka nilivyomjibu.


To make the story short nimejenga nyumba moja ya familia ndogo. Nimejenga nyumba nyingine very very big apartment ya watu wanne. Ila sijaimalizia. Wale ambao walikuwa wanaenda China wote walifilisika kipindi cha magu nikawaza kama nisingemsikiliza je?. Nina heka 21 pwani Chalinze, kiwanja kibaha misugusugu. Ila hapa sijahesabu vya kupewa (vya urithi). .

How do I know she is the right person for me. Ukiona mapenzi yako hayana maendeleo yani hayakui ujue hauko na mtu sahihi. Binafsi naamini amenikuza sana kwa sababu si mtu mwenye makuu. .

She has given me a very beautiful daughter. This month in two weeks I will have another child with her. Mungu kanibariki sana na maisha yangu sihisi kama nimepungukiwa na kitu. Hata nikipoteza something will even out. .

Kuna mda nawaza was she someone I knew from the past. Maana naweza waza jambo tukiwa pamoja na yeye akawa anawaza (hii imetokea mara nyingi). I dream about things na yeye anakuwa anaviota (hii imetokea sana). Kuna mambo sihitaji kuandika hapa ila nayaweka moyoni ila ni juu ya uweza wangu sisemi kwa sababu I swore I will never tell a soul. Naweza onekana chizi.

Let me add one thing tho. Kuna mda nilitaka kumuacha I was so freaked out. Nikiwa Road nilibebwa na gari ndogo mzoba mzoba. Second time I tried to leave her it happen again this time Lori. Nilikuja notice the third time kuwa there is a pattern. Huyu mwanamke ni mtu wa maombi sana nahisi nikimuacha itakuwa mwisho wa maisha yangu. Nilitaka kumwacha sio kwa sababu simpendi hapana, kwa sababu I was so sick kipindi flan (my body release adrenaline and have some issues with nervous system). Ila si unajua watu wakiumwa wanawafukuza wanaowapenda. .

Its very scary to love someone but for us its mutual. Our first child died. Ningekuwa na watoto watatu sana. She cried there in hospital watu walituzunguka. The doctor said "mimba imeharibika". This broke my heart but to see her crying it torn my heart in pieces. That day I knew how lost I am in her and I will never try to fight it again. I am totally in love let them call me crazy coz I am crazy over her. She understands me and my weird sense of humour. .

......
Mkuu,asante kwa kushare,tumejifunza mengi....
 
From Jf insta, hizo comments sasa +ve and -ve😍😁
 

Attachments

  • Screenshot_20230315-190836_Instagram.jpg
    Screenshot_20230315-190836_Instagram.jpg
    155.6 KB · Views: 4
Maisha ya ndoa yanachangamoto zake na pia mazuri ni mengi sana ukiwemo umoja, upendo na kujaliana hasa nyakati ngumu zaidi ya hapo ni kuendekeza tamaa tu huko nje lakini kiukweli ukimuacha mkeo bila sababu kwa kuendekeza tu tamaa kuja kumpata mwanamke wa kuoa huku mitaani ni shida sana utamtamani mdada kwa urembo wake lakini ukimpata mara moja tu unaona kabisa you are wrong.Kwa upande wangu namshukuru mungu kwa kunipa asali wa moyo mama chanja namuelewa sana ni mke kweli kweli.
 
Kwangu Mimi ni tofauti, nilianzisha tu mahusiano kimasihara. Sikuwa serious naye kabisa, kumbe yeye yuko serious. Nikataka kumuacha ila walionizunguka wakanionya "oooh hutokaa upate mwanaume kama huyo". Nikaona isiwe taabu, tukafunga ndoa. Tuna Mtoto mmoja na Sina mpango wa kuzaa mwingine. Tupo tunalisongesha hivyo hivyo maana niliambiwa with time nitampenda ila bado sioni dalili.
 
Kwangu Mimi ni tofauti, nilianzisha tu mahusiano kimasihara. Sikuwa serious naye kabisa, kumbe yeye yuko serious. Nikataka kumuacha ila walionizunguka wakanionya "oooh hutokaa update mwanaume kama huyo". Nikaona isiwe taabu, tukafunga ndoa. Tuna Mtoto mmoja na Sina mpango wa kuzaa mwingine. Tupo tunalisongesha hivyo hivyo maana niliambiwa with time nitampenda ila bado sioni dalili.
Duh so mnaishi vizuri tu lkn?, japo wanasema unaweza kujifunza kumpenda mtu 😔
 
Kwangu Mimi ni tofauti, nilianzisha tu mahusiano kimasihara. Sikuwa serious naye kabisa, kumbe yeye yuko serious. Nikataka kumuacha ila walionizunguka wakanionya "oooh hutokaa update mwanaume kama huyo". Nikaona isiwe taabu, tukafunga ndoa. Tuna Mtoto mmoja na Sina mpango wa kuzaa mwingine. Tupo tunalisongesha hivyo hivyo maana niliambiwa with time nitampenda ila bado sioni dalili.

Pole sana
 
Back
Top Bottom