makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
🤣🤣 acha kunipakaza ubaya mzee mwenzangu.🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ndio unaleta kiwingu bwana.
Mie naleta kiwingu gani?🙄🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣 acha kunipakaza ubaya mzee mwenzangu.🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe ndio unaleta kiwingu bwana.
kitu gani hichi wewe reciprocating pump ?ngenge
Hebu fanya mambo bwana kabla sijaghairi.🤣🤣 acha kunipakaza ubaya mzee mwenzangu.
Mie naleta kiwingu gani?🙄🤣
Mie mbona nipo kamili gado mzee mwenzangu, toa hicho kiwingu basi,jambo liwe jepesi.Hebu fanya mambo bwana kabla sijaghairi.
Yani Unataman kumnyonga, lakini hapo hapo hutaki kumbadilisha .
🤣🤣🤣🤣🤣Mie mbona nipo kamili gado mzee mwenzangu, toa hicho kiwingu basi,jambo liwe jepesi.
Ugairi uede kwa nani nawe umeumbwa uwe mke wangu wa 2,3 ba wa4.
Nimekuzimikia kia,nimekufia fia, mtoto wa geti kali..Hebu fanya mambo bwana kabla sijaghairi.
Fanya wepesi basi, kesho uamkie nyumbani. 🥰🤣🤣🤣🤣🤣
Ama kweli nimepatikana!!
Huh!!🤣🤣🤣🤣🤣Fanya wepesi basi, kesho uamkie nyumbani. 🥰
Umeona sasa.. 🤣Huh!!🤣🤣🤣🤣🤣
Mkuu umejua kunifurahisha, lakini kiongozi analyse amesema Ukiwa na jazba misamiati ya kizungu ina evaporate!!Ai hev not marid bat iven if i did ail kontinyo tu chuz ze aza andi ze aza wan agen 🍻
Hebu anza mchakato bwana, acha kunizeveza🤣🤣Umeona sasa.. 🤣
Eeeh beeeeh yaani makelele yotee humu mi najuaga we ni MKE WA MTU.Bado niponipo kwanza
Three years sio ndoa changa? 😃😳😳😳😳😳