Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Niliye naye ni chaguo sahihi, ata ingerudiwa mara 1000 ningemchagua tu, sijutii sababu ndio alienifanya leo kuwa eqn x
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mie nakusikiliza ww tu, hapa nipo kamili gado.. hebu taja mahari nikija huko nakuja kamili,sio mambo ya barua sijui, majibu mwezi ujao, ndoa mwakani..Hebu anza mchakato bwana, acha kunizeveza🤣🤣
Tukikutana usije ukanisalimia kwa kunipa mkono.Nimeoa BabyCare CareSons Touch of Class, ndoa ina miaka 2 sasa, sijutii kumuoa as ananitimizia mahitaji yote ya kimwili
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mie nakusikiliza ww tu, hapa nipo kamili gado.. hebu taja mahari nikija huko nakuja kamili,sio mambo ya barua sijui, majibu mwezi ujao, ndoa mwakani..
Nataka nikija namaliza nakuweka begani,tunarudi nyumbani kuhondomola KISHERIA. 🤣
Umeona sasa unaanza mizevezo.. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mzee mwenzangu umenishinda tabia.
natumia wa kushoto dear, ntakupa wa kuliaTukikutana usije ukanisalimia kwa kunipa mkono.
Kwakweli singeolewa nae tena,5 years na sijawah kufurahia ndoa.Happy Sunday to everyone!
For all who are in marriage, both men and women, despite of human imperfections, did you marry the right person? if we could turn back time, would you still choose the same person you are married to now? and why? kindly share your observations, we might learn something important from it.
Swahili Version:
kwa wanandoa, je umeoa/umeolewa na mtu sahihi? japokua binadamu tunamapungufu, je muda ukirudishwa nyuma ikawa kama ndiyo ile siku ya kufanya uamuzi wa kuoa,kuolewa tena je utamchagua mtu huyu huyu ulienaye sahivi?
Have a nice sunday's evening.
NAKAZIAKATAA NDOA
Ah wapi hauwezi panda mnazi na mkono wa kushoto wewe usidhani mimi sijui.natumia wa kushoto dear, ntakupa wa kulia
🤣kolgate kinaiminya kuanzia katikati
natumia kushoto ku-operate simu, na kupigia nyeto piaAh wapi hauwezi panda mnazi na mkono wa kushoto wewe usidhani mimi sijui.
Na wale wanaume wanaotumia mikono kuchezea mbunye za mademu, nao wakupe?Tukikutana usije ukanisalimia kwa kunipa mkono.
Ingia ndio utajua.Zinatupa moyo kiukweli, kumbe ndoa bado ni raha tu, ngoja tuwaite wakataa ndoa ebu piteni huku muone Liverpool VPN