dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
hug basi itafanyaHapana mimi sitaki kubeti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hug basi itafanyaHapana mimi sitaki kubeti.
natumia kushoto ku-operate simu, na kupigia nyeto pia
hahaha mzeee upo, jibu swali la mtoa mada kule juu
bado sijaoa ila kuna kahatari ka kuja kuoa mtu ambae sio chaguo 100%jibu swali
Hahahaha acha kukatisha watu tamaa.wanapigwa hao, aliyeongea ukweli na kufunguka ni Ellie pekee
noma sana, kama Biko vile, upigwe sana au kidogobado sijaoa ila kuna kahatari ka kuja kuoa mtu ambae sio chaguo 100%
Taja mahari basi,ndio unataka nije na buku mbili yangu,kumbe mahari ya sanchi 🤣, sitaki fedheha.Kwahiyo mimi ndio mzushi huh!!
Haya njoo nakusubiri.
Njoo tuzungumze mzee mwenzangu🤣🤣🤣Taja mahari basi,ndio unataka nije na buku mbili yangu,kumbe mahari ya sanchi 🤣, sitaki fedheha.
Ooh pole dear ila tafuteni suluhisho myamalize, thread ilikua inaenda vizuri comment hii tena kutoka kwa mdada dah😌 polee. Ila before si mmeshawahi kuenjoy sana tu? Binadamu hatujakamilika, utakua tayari kuanza upya na mwingine au bora huyo atleast unamjua jua kidogo🤭Nitoe mchango wangu sasa.
Mimi huku kwangu kuna waka moto tuna siku tatu hatusemeshani. Kwahiyo kwa namna alivyonikera siku zikirudi nyuma kama mada inavyosema sio tu sitamchagua bali siku tu akija kunitongoza atajuta.
Kuna msemo unasema:noma sana, kama Biko vile, upigwe sana au kidogo
😀😀 hamna hata kuulizwa babe umeamkaje? Aah maisha gani hayoTuliopo single tunyanyue glass zetu juu na wote tuseme cheers,
bila kusahau kulike comment hii maana hakuna anayetuuliza kila tukiamka nakujiaanda kwenda kazini leo tutapika nini
we took out the regular one but the inverted one got awayKuna msemo unasema:
By any means marry, if you get the right one you will become happy
If you get the bad one you will become a philosopher.
(chonde chonde, oa, ukipata mtu sahihi utafurahi, ukipata ambae sie utakuwa mwana FA)
Atakufa usimshauri avumilie.Ooh pole dear ila tafuteni suluhisho myamalize, thread ilikua inaenda vizuri comment hii tena kutoka kwa mdada dah[emoji18] polee. Ila before si mmeshawahi kuenjoy sana tu? Binadamu hatujakamilika, utakua tayari kuanza upya na mwingine au bora huyo atleast unamjua jua kidogo[emoji2960]
NAKAZIA 2XTENAKataa ndoa.
Enheee [emoji1][emoji1][emoji1]Hii kampeni ife. Watu wana enjooooy.
MmhAtakufa usimshauri avumilie.
Kataa ndoa.
Mtakuja kufa halafu tusijue.