Mis powers
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 2,737
- 3,534
Nitaolewa na huyu huyu sibadilishi, hadi hapa tulipofika sipo tayari kuanza moja na jitu jingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sina haraka, ila kuna scenarios mtu unaweza anguka ambapo sio...Haa why? Una haraka gani si usubiri hadi ukipata chaguo sahihi? Wanasema better being late ila ufike salama
Mara nyingi bar na marafiki na jamaa wengi wao wanauza pombe.Niwe na hela au sina ,vyombo vinatandikwa tu ila ntaacha maana kila nikikutana na bahasha za maombi.Nakuta namuombea baba G aache pombe na ajenge.Hee unakua wapi muda wote? Kuweka heshima bar utumie pesa zote huko? Mmh hapo mimi mwenyewe kesho mapema nakuacha😀😀
Sio kwamba ukiwa na jazba yai ndio linatoka kama mlevi 😁Mkuu umejua kunifurahisha, lakini kiongozi analyse amesema Ukiwa na jazba misamiati ya kizungu ina evaporate!!
Yuz gugo transleta 😄Sijaelewa😀
Sina gugo😂😂Yuz gugo transleta 😄
Ooh see how your wife loves you na anapenda ubadilike, jitathimini mkuu atafurahi sana, thank you for sharing.Mara nyingi bar na marafiki na jamaa wengi wao wanauza pombe.Niwe na hela au sina ,vyombo vinatandikwa tu ila ntaacha maana kila nikikutana na bahasha za maombi.Nakuta namuombea baba G aache pombe na ajenge.
Asante babe.Ooh pole dear ila tafuteni suluhisho myamalize, thread ilikua inaenda vizuri comment hii tena kutoka kwa mdada dah[emoji18] polee. Ila before si mmeshawahi kuenjoy sana tu? Binadamu hatujakamilika, utakua tayari kuanza upya na mwingine au bora huyo atleast unamjua jua kidogo[emoji2960]
Hilo yai ulilotutemea ni ngumu kujua ndiyo umelewa ama uko tu fresh?😀Sio kwamba ukiwa na jazba yai ndio linatoka kama mlevi 😁
Sikuhiz unaongea na kizungu😂There is no such thing as a perfect marriage because it's made of imperfect people
A perfect marriage is just two imperfect people who refuse to give up on each other
😀😀 mnapatana soon tena asilimia za kuzidi kupendana zitaongezeka maradufu. Ngoja sisi tushike jembe tukalime zetuAsante babe.
Kuenjoy sana tu dear na hiki kisirani ni cha juzi tu nahisi tukiyasolve uamuzi unaweza kubadilika pengine nitamchagua.
Hi Jane, any comment from you regarding the thread? Are you enjoying a married life au bado hata hujaolewa pia?🤪Waooo
Hongera Sana
OkayHilo yai ulilotutemea ni ngumu kujua ndiyo umelewa ama uko tu fresh?😀
Palina mamboooo mbona hujanistua huku leo 😁Ushaanza kuharibu nyuzi za watu 😃😃
Haa utakua tayari kuanza upya? Shauri yakoOkay
Nilikuwa namaanisha kwamba hata kama ningekuwa nimeoa nikiletewa mtu mwingine nikiona kuna vitu kutoka kwake vinanivutia zaidi ya niliyenae nitambeba
Gat mi nau 😄
Safi mnazidi kutufarijiNitaolewa na huyu huyu sibadilishi, hadi hapa tulipofika sipo tayari kuanza moja na jitu jingine
😂😂Nitoe mchango wangu sasa.
Mimi huku kwangu kuna waka moto tuna siku tatu hatusemeshani. Kwahiyo kwa namna alivyonikera siku zikirudi nyuma kama mada inavyosema sio tu sitamchagua bali siku tu akija kunitongoza atajuta.
Kwahiyo anamwambia hiyo siku ili iweje, angekausha amwache kaka wa watuThe right one wa mtu ashachukuliwa huku (tena leo hii)
View attachment 2547963
😂😂😂Bora chiz unaemjua kuliko kuleta kichaa mpya😀Okay
Nilikuwa namaanisha kwamba hata kama ningekuwa nimeoa nikiletewa mtu mwingine nikiona kuna vitu kutoka kwake vinanivutia zaidi ya niliyenae nitambeba
Gat mi nau 😄