Mke wangu sijui kama ni mtu sahihi au la ila tunashare vitu vingi sana,chemistry yetu ipo high sana.
Hata nikipata mcheouko,utakuta mchepuko yupo poa sehem moja tu,lakini sehemu nyingi anaachwa.kuna muda wife ananikera sana lakini mwisho wa siku yeye ndio mtu pekee huwa ananijulia na kunipa furaha ya juu sana.
Wife tunachambua nae hip hop vizuri kabisa,anamkubali dizasta,conboi,p mawenge, na nash mc,mimi ndio nipo addicted na hip hop kabisa. Sasa hiki kitu kinamfanya credit iwe juu sana kwangu hasa akiwa ananichania ngoma ya kanisa by dizasta
Ana gud positive interaction anapokutana na watu wangu,anawapenda ndugu zangu,she cares for me and love me so much,
Kero yake ipo kwenye kudeal na simu yangu,
Sent using
Jamii Forums mobile app