Samaritan Nemesis
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 239
- 284
KANASA Liverpool VPN.......kwakuwa hadi sasa hakuna koment iliyonikatisha tamaa, basi ngoja nikaoe ili nipate uhalali wa kuchangia....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KANASA Liverpool VPN.......kwakuwa hadi sasa hakuna koment iliyonikatisha tamaa, basi ngoja nikaoe ili nipate uhalali wa kuchangia....
Kweli mmbeshibana mnasaidiana mpk comments. Msalimie sana.. nMiaka 12 sasa
Tena kanishtua hapa nimekosea ni 14 maana first born wetu ana 13 na alizaliwa ndani ya ndoa!!
Ahsante kwa chai GilyTo answer your question yes I Will still marry her.
Sijawahi msaliti wala kutembea na wanawake wengine. Amekuwa mshahuri wangu mkubwa n hata tumepata maendeleo makubwa sana. 9 years together 😊
I am 32 years old now, she is 29 years old this month. Ushauri wangu vijana wajifunze kufurahi pamoja. Yani naweza enda hata posta nikatamani kula nyama choma ugali ila siwezi kula mwenyewe nitakula kwa shida sana. Nikirudi na msosi (take away) basi tukala mezani nitafarijika sana. .
Nashangaa sana hawa watu na kampeni ya kataa ndoa. Nawaza tu wanakumbwa na vitu gani. .
Kweli mmbeshibana mnasaidiana mpk comments. Msalimie sana.. n
hahaha me sipendi unafiki that's why.Mkuu hutaki kuitwa babe/honey and the like? Kuulizwa umeshakula? Ok👍
AFC BOURNAMOUTHEeeh beeeeh yaani makelele yotee humu mi najuaga we ni MKE WA MTU.
#YNWA
Mzee kama Ed Sheeran 😁There is no such thing as a perfect marriage because it's made of imperfect people
A perfect marriage is just two imperfect people who refuse to give up on each other
Ana deal vip na simu yako bruh 😄 kila akiishika anachomoa betri sio 😆Mke wangu sijui kama ni mtu sahihi au la ila tunashare vitu vingi sana,chemistry yetu ipo high sana.
Hata nikipata mcheouko,utakuta mchepuko yupo poa sehem moja tu,lakini sehemu nyingi anaachwa.kuna muda wife ananikera sana lakini mwisho wa siku yeye ndio mtu pekee huwa ananijulia na kunipa furaha ya juu sana.
Wife tunachambua nae hip hop vizuri kabisa,anamkubali dizasta,conboi,p mawenge, na nash mc,mimi ndio nipo addicted na hip hop kabisa. Sasa hiki kitu kinamfanya credit iwe juu sana kwangu hasa akiwa ananichania ngoma ya kanisa by dizasta
Ana gud positive interaction anapokutana na watu wangu,anawapenda ndugu zangu,she cares for me and love me so much,
Kero yake ipo kwenye kudeal na simu yangu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii comment imenisismua.. sjui umalaya unanisumbua!!!Eeh kwani mbunye zetu zina shida gani. Hao wanipe tu.
We umeanzisha uzi afu tayari ushachagua upande 😁🤸♀🙆♀️Ooh pole dear ila tafuteni suluhisho myamalize, thread ilikua inaenda vizuri comment hii tena kutoka kwa mdada dah😌 polee. Ila before si mmeshawahi kuenjoy sana tu? Binadamu hatujakamilika, utakua tayari kuanza upya na mwingine au bora huyo atleast unamjua jua kidogo🤭
Mpk umetumia neno JITU. Inaonekana ndoa yako ina makasiriko sana!!!Nitaolewa na huyu huyu sibadilishi, hadi hapa tulipofika sipo tayari kuanza moja na jitu jingine
Happy Sunday to everyone!
For all who are in marriage, both men and women, despite of human imperfections, did you marry the right person? if we could turn back time, would you still choose the same person you are married to now? and why? kindly share your observations, we might learn something important from it.
Swahili Version:
kwa wanandoa, je umeoa/umeolewa na mtu sahihi? japokua binadamu tunamapungufu, je muda ukirudishwa nyuma ikawa kama ndiyo ile siku ya kufanya uamuzi wa kuoa,kuolewa tena je utamchagua mtu huyu huyu ulienaye sahivi?
Have a nice sunday's evening.
[emoji1787][emoji1787]Huu Uzi utakuwa na mayowe yakutosha [emoji28]
Mzee wa fantasy ya NNYA🤣🤮Ahsante kwa chai Gily
Sasa mtu humpendi inakuaje mnazaa mpaka watoto wawiliMke nipo naye kwa sababu ya huruma yangu
Ila baada ya kuwa nimempa mimba sikuwez kukataa ila sikuwahi kuwa na lengo naye na ni mtumishi
Ni jeuri sana mbishi mpaka kero
Inafika mahala hata kuingea naye sitak hata kujihangaisha hata nisafir mwezi mzima
Kinachofanya nashindwa kufanya maamuzi magumu
Ni watoto tu ambao kwa sasa ni wawili
Nikiwaangalia watoto sitamani walelewe na mama mwingine n hapo ndipo inanigharimu
Kwa sasa kifupi ni vile tu basi
Very true.Tatizo hata option ya pili, tatu.....mpaka kumi bado mambo yanaweza kuwa hovyo, ngoja nikomae na mnyakyusa wangu