Dida kufunga ndoa tena?

Amen , ila nasikia padre kiwembe huyo anawagonga masista kihama, anajishaua tu apa tumsifu yesu kristo wakat mzinzi , anipishe mie apa, kwanza sadaka yenyew sitoi

Umeenda kuungama hapo hapo unamfanyia umbea padri,wewe maombi hayakusaidii labda ufanyiwe operesheni ya kuondolewa kichwa.
 
Amen , ila nasikia padre kiwembe huyo anawagonga masista kihama, anajishaua tu apa tumsifu yesu kristo wakat mzinzi , anipishe mie apa, kwanza sadaka yenyew sitoi

Ungemchukua na zezeta mwenzio dinazande.
 
Ungemchukua na zezeta mwenzio dinazande.

Dinazarde njoo umsikie jiran yako uku anatuita matahira, sijui tulikuwa nae milembe mwenzetu, halafu Dinazarde nimekuomeombea binamu upate bwana mwenye mihela kama CK, sema inabdi unilipe elfu hamsin maana kuna mafuta ya upako nimenunua inabid uipake kwenye papuchi na usoni, utaona matunda yake utakuwa unafuatwa na mapedeshee tu sio hao wakina matonya kama lolowapi
 
Last edited by a moderator:

Binam mimi nishakuambia Musukuma wangu ana pesa chafu unanishusha kuniambia about mapedeshee wakati pedeshee ninae hapa home,huyo lolowapi mwenyewe ananibebea pochiii kila napoenda analooo atajibebaaa
 
Last edited by a moderator:
Amen , ila nasikia padre kiwembe huyo anawagonga masista kihama, anajishaua tu apa tumsifu yesu kristo wakat mzinzi , anipishe mie apa, kwanza sadaka yenyew sitoi

Hhhhhhaaaaa umbea kanisani huoo mwaya jiombee mwenyeweee
 
Hhhhhhaaaaa umbea kanisani huoo mwaya jiombee mwenyeweee

Naomba nikuombee binamu? Kidogo tu jaman, halafu kuna lodge nimeona inaitwa binam nikasema ni ya binam yangu dinazarde nn au yako?
 
Binam mimi nishakuambia Musukuma wangu ana pesa chafu unanishusha kuniambia about mapedeshee wakati pedeshee ninae hapa home,huyo lolowapi mwenyewe ananibebea pochiii kila napoenda analooo atajibebaaa

Msukuma wako mwambie akununulie galaxy kama ya lucy komba, maana kila siku umbea wa insta unakupita, siku iz shoga ako mama ubaya anajifanya expensive mwenyew insta, siku iz anajifany n yy mjasiriamal et
 
Last edited by a moderator:
Binam mimi nishakuambia Musukuma wangu ana pesa chafu unanishusha kuniambia about mapedeshee wakati pedeshee ninae hapa home,huyo lolowapi mwenyewe ananibebea pochiii kila napoenda analooo atajibebaaa

Binamu nataka kuja mwanza sina pa kufikia si utanipokea kwako? Au ndo ubinam mwisho jf , nitakaa miez sita tu ila napenda sana maziwa fresh, so mwambie shemej mniwekee bill kabisa ya maziwa, na chumban mniwekee AC kabisa kama hamna
 
Last edited by a moderator:
Umeenda kuungama hapo hapo unamfanyia umbea padri,wewe maombi hayakusaidii labda ufanyiwe operesheni ya kuondolewa kichwa.

Vyote vyote nimevifata, si bora mimi namkumbuk mungu we sijui dini gan au ndo ya matahira kama ulivyosema
 
huyu demu anapaishwa tu wala si mzuri kivile, mchek figa vzr hajabalance, hana hipa na back iliyo proportional na huku juu, hamna namba 8 kabisa!!! ila yule mshkaj ezden alidhalilisha wanaume maana alikua analilia ovyo kwa waandishi kama mwehu!!!!

Kupenda upofu ndg yangu,wakati ww unasubiri mwanamke mwny hips wenzio wanaenjoy na mabapa upo hapo. Muulize vzr Edzen mkiwa wawili tu, alichokua anakililia kweny media ni nini akwambie na ww ukajaribu
 
Binamu nataka kuja mwanza sina pa kufikia si utanipokea kwako? Au ndo ubinam mwisho jf , nitakaa miez sita tu ila napenda sana maziwa fresh, so mwambie shemej mniwekee bill kabisa ya maziwa, na chumban mniwekee AC kabisa kama hamna

Hhhhhhhhaaa uje tu bina ukae mwaka kabisaa,ila sharti nakupa nyumba ina kila kitu ya pekee ni ya wageni maana sebuleni kwangu sitaki utushangae shangae sebuleni utatunyima uhuru
Ntakupokea bina sawaaa ila musukuma hapend umbea sijui itakuwaje tutakua tunaupiga akiwa hayupoo etiii
 
Msukuma wako mwambie akununulie galaxy kama ya lucy komba, maana kila siku umbea wa insta unakupita, siku iz shoga ako mama ubaya anajifanya expensive mwenyew insta, siku iz anajifany n yy mjasiriamal et

Kaninunulia ipad,galaxy ninayo na Tecno ninayo pia kasoro huawei ndio sina,
Anarusha ninii huko insta mi insta sipendi kuingia kule
 

Jaman huyo msukuma mueleweshe tu kuwa kwetu umbea ndo kipaji chetu, si utakuwa unaniruhus kupiga umbea kwa majirani?
 
Kaninunulia ipad,galaxy ninayo na Tecno ninayo pia kasoro huawei ndio sina,
Anarusha ninii huko insta mi insta sipendi kuingia kule

Duh insta ndo habar ya mjini, siku nikitaj jina langu la insta humu folllowers watamiminika mno kwangu, ila tu sipend umaarufu maana nitafuatiliwa mno.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…