Dida kufunga ndoa tena?

Dida kufunga ndoa tena?

Aiseee dida noma kwa hiyo kamtafutia bibi mume?Halafu nasikia kipindi chake kinaingiza hela kuliko vipindi vyote vya redio

Ukitembea na muuza marashi shurti unukie...Kamuambukiza bahati ya ndoaa...Chezea Dida...
Kile kipindi kina matangazo mengi na ndo kipindi cha times fm chenye wasikilizaji wengi...
 
Yan binamu yangu Dinazarde alivyokuwa mpana yan anataka awe na kituntuni na abdala msogot kwa wakat mmoja, mmh anayaweza kwa kweli

Bina usiamini kila nachopost Jf mimi dume kabisa nakojoa huku nimesimama
 
Last edited by a moderator:
Dida ana bahat ya ndoa nyie, yan ndoa tatu na bado anataka kuolewa tena wakat kuna watu wanataman ata wafanyiwe kitchen party ila hawapat hyo bahat, we muache tu mungu atamchoma

Mbna hao mashemeji wamechoka hawafanani hata na 1m kwel mwez w 10 umekua n maajabu,kwahiyo anasubiria gari y 26m mwee ndoa zote alizofunga hakupata zawadi ya mana eti birthday ndio gari ya 26m tutaskia mengi 2014
 
Mbna hao mashemeji wamechoka hawafanani hata na 1m kwel mwez w 10 umekua n maajabu,kwahiyo anasubiria gari y 26m mwee ndoa zote alizofunga hakupata zawadi ya mana eti birthday ndio gari ya 26m tutaskia mengi 2014

Anatak kumpiku wema madai, ila dida yuko njema vby kimkwanja mm ubay anasubir
 
Anatak kumpiku wema madai, ila dida yuko njema vby kimkwanja mm ubay anasubir

Hivi angekua safi angejiajiri hyo kazi y kumbwelabwela salary yke haiwezi zidi laki 5.,hiyo 26m anatafuta kiki tu
 
Hivi angekua safi angejiajiri hyo kazi y kumbwelabwela salary yke haiwezi zidi laki 5.,hiyo 26m anatafuta kiki tu

Binamu dida yupo vzur sana, ana pesa chafu yule, ana majumba na magar kama uchafu, yule ni habr nyingine
 
Binamu dida yupo vzur sana, ana pesa chafu yule, ana majumba na magar kama uchafu, yule ni habr nyingine

Binamu nyumba c m.a.p.umbu hizo ni stori 2 mtu kapanga mwananyamala kua n noah na verosa c kua yuko vizuri maisha yke fekero 2
 
Sitti kavua tajii wera weraaaaaaaaaaaaaaaaaa,ana roho ndogo
 
Binamu nyumba c m.a.p.umbu hizo ni stori 2 mtu kapanga mwananyamala kua n noah na verosa c kua yuko vizuri maisha yke fekero 2

Dida anamiliki mijengo miwili ,magar 6 na biashara zake nyingine kibao, yule ni level nyingine , kwa mtu ambae n form four leaver kama dida maisha yake ni tajir toshaa
 
Hivi angekua safi angejiajiri hyo kazi y kumbwelabwela salary yke haiwezi zidi laki 5.,hiyo 26m anatafuta kiki tu

Dida anaingiza hela nyingi na usidhani pale kaajiriwa anachofanya yeye analipa airtime ya kipindi chake so hela zote za matangazo zinazobaki zinaenda kwake
 
Back
Top Bottom