Nashengena
JF-Expert Member
- Apr 20, 2013
- 2,913
- 5,318
Ni kweli kabisa.Wewe umekariri hizi za msaada! Nina dada yangu anameza tangu miaka ya tisini na moja. Alipewa na mzungu mmoja hivi akaamua awe anamlipia hizo dawa mpaka leo anapata za bure na anadunda
Apumzike kwa amani
Kasha pita.Jamaa wa RIp classmate hajapita hapa ππ
Baba wa huyu binti yake yupo hai?Kabisa amepambana akaishi maisha mazuri.....na alikua anajua kujipenda, anajipeleka kutalii sehemu mbalimbali.
Apumzike kwa amani, namuonea huruma binti yake π₯Ή
Sina uhakika na hilo, sifahamu kwakweli....Baba wa huyu binti yake yupo hai?
Pamoja na comment yako kuwa ya kiutani zaidi lakini huo ndio ukweli wenyewe.Mkuu kuna species nyiing sana za hawa viumbe. Ukiwa kwenye grid na ukaanza kutumia dozi huwa wadudu wanakua neutralized harakati zao kwenye mfumo wa damu, sasa ikiishaonje tena ukaingiza wengine maana yake unaanzisha harakat mpyaaaaa hapo gaza kama za hezobollah , wakat hamas walishatulizwa so Israel hakuachi hakyanani kaz inaanza upya, mtifuano kwenda mbele lazima ukate moto
Ni kweli hainisadii chochote ila najua lingeletwa nawe ungependa kulisomaπ« π«Itakusaidia nini akija na faili lake? Inasikitisha kwa kweli.
Nimekaa na wagonjwa tajwa woote tena nyumbani kwangu,Ah wapi..... kitu unapewa dawa bure na serikali then the rest is on you.
Hujakaa na wagonjwa wa kisukari na cancer, kisukari tu dawa gharama na kumantain afya pia gharama....
Cancer ndo usiseme... tiba yake inakutesa kimwili, kiakili na kiuchumi
Baba yake yupoBaba wa huyu binti yake yupo hai?
Kurithi pia, km ukoo wako una hili tatizo ni rahisi sana kupataH
Wala sio. Wapo ambao wamenyonyesha vizuri tu na wamepata. Hili dude hata halina formula
Siku hizi hakuna cha kurithi wala nini.Kurithi pia, km ukoo wako una hili tatizo ni rahisi sana kupata
RIP Dida. Gone so young and still beatiful. We'll miss you so much dear.
Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili.
Amefariki usiku wa leo.
---
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM, Khadija 'Dida' Shaibu, amefariki dunia usiku wa leo Oktoba 4, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Muhimbili
Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtangazaji mwenzake, Maulid Kitenge, kupitia mtandao wa X, Dida alikuwa amelazwa Hospitalini hapo baada ya kuugua.
Haya Maisha Katili Sana Mkuu kuna kabinti ka 2000 ukimuona alivyonawiri huwezi Amini kama Anameza pipi Alizaliwa Nao So SadUko sahihi kabisa na huyo kijana yuko sahihi mno ni kazi inayohitaji π―kujitolea Cha msingi asiache maana kufanya hivyo ni kujipa death sentence
Ni kweli ukitumia kwa utaratibu hufika sehem na kuona vidudu havipo na Dr wake wakijiridhisha nadhani huwa wanarekebishiwa dozi Kuna namna huwa inarahisisha mambo
Ondoa mawazo hayo mkuu. Hizo pension wanazifaidi watoto Wazee Tushajichokea Mda wowote unasikia flani R.I.PMungu atusaidie sana tufike kupokea pension za kikokotooπ₯
Siku hizi ni M.A.P , karibu minjingu tuchome mkaa.Siku hizi uandiki APEPE mzee wa mkaa minjungu
Yupi alikua na hali tete..Nimekaa na wagonjwa tajwa woote tena nyumbani kwangu,
Hatari huu ugonjwa.Steve Nyerere nae anaishi asante kwa ARV.Bongo entertainment nzima imeoza:
1. Kibonde kaenda kwa gridi
2. Gadner kaenda kwa gridi
3. Ruge kaenda kwa gridi
4. CPwaa kaenda kwa gridi
5. Dida kaend akwa gridi
Hizi za kila mwezi ni huku kwetu Mkuu wangu, sasa hivi kuna dozi unapewa inakaa miezi 6 na baadae wameambiwa watakuwa wanapata sindano moja kwa mwaka, lakini ni kwa watu waliofanyiwa vipimo na ikaonekana wako vizuri kiafya pamoja na kuwa waathilika.Na zitakuja za kila mwezi tena sindano. Zitasaidia watu kuacha dawa. Ila kuna wengine wanaacha na kuugua ila hata hawafi. Kuna wa 2 hao wanakunywa pombe , wanaacha dawa, wanazidiwa baada ya wiki wapo sawa.
Wabishi hao.
Haya sawa. Harusi ni tarehe 30 βOktombaβ.
Zingatia mwezi hapo π.