TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

Dah! Kansa na kisukari naviogopa sana
 
Wanakua na maambukizi mapya ndo changamoto ya watu wengi- muathirika ambaye hana maambukizi mapya ataishi mda mrefu sana
 
Bongo entertainment nzima imeoza:

1. Kibonde kaenda kwa gridi

2. Gadner kaenda kwa gridi

3. Ruge kaenda kwa gridi

4. CPwaa kaenda kwa gridi

5. Dida kaend akwa gridi

6. Mez B

7. DJ Steve B

8. Sam wa Ukweli

9. Nisher Bybeee


Kiukweli Bongo watu wengi wameungua na hawa wasanii wanareflect jamii zetu zilivyo! Watu maarufu wengi Bongo Dawa zinawasaidia. Na hivi wanavyopenda kubadilisha wapenzi kama sifa. Watapukutika kama kuku wakiendekeza mauzinzi.
 

10. Elisha Elia wa TBC.

11. Bikira wa Kisukuma.

Aisee! Ngoma inalamba vichwa Bongo hatariiii.
 
Cancer achana nayo. Unapitia maumivu makali we acha tu. Tuliuguza dada na shemeji yangu. Ukiona mtu mzima analia kama mtoto jua anapitia maumivu makali. Inafikia stage hakuna dawa yoyote ya maumivu inasaidia.
 
Kijiji gani hicho
 
Hatari huu ugonjwa.Steve Nyerere nae anaishi asante kwa ARV.

Bongo entertainment nzima imeoza:

1. Kibonde kaenda kwa gridi

2. Gadner kaenda kwa gridi

3. Ruge kaenda kwa gridi

4. CPwaa kaenda kwa gridi

5. Dida kaend akwa gridi
Kama ruge amekwenda na Ukimwi maana yake nandy na billnass ni waathirika?
 
View attachment 3116262
UPDATES:
Mzee kasema kweli
Fungus kupanda kwenye ubongo ni HIV Stage 4
Zamani nikiona mtu anaandika speech yake kwenye kikaratasi hata kama ni ya dakika 1 nilikuwa sielewi maana yake....
Kaka wa marehemu kavunja 'code' anyway, ugonjwa ni ugonjwa tu hata fungus za kooni ni ugonjwa!
 
Zamani nikiona mtu anaandika speech yake...
Kuna Mwandishi wa gazeti moja la nchi Jirani...alinibananisha mahali nifanye naye interview kavukavu....niliruka ....nilimwambia alete Maswali yake nitayajibu kwa maandishi na nitayatuma kwake kwa njia ya email! Lengo akipotosha niwe na ushahidi lakini kikubwa ni kuepuka kujibu Maswali kwa mihemko mambo mazito!!! Waandishi Wana mbinu Fulani hivi za kukutia mihemko inategemea na speed yako kudhibiti hiyo mihemko
===
R.I.P Ms. Shaibu (Dida)
 
Vijana wengi wamepuputika kwa madhara ya hizi chanjo. Stroke kutokana na vibonge vya damu iliyoganda kugota katika mishipa ya ubongo inayosababisha upande wa pili wa ubongo kukosa oxygen.
Kwa hiyo zenye madhara ni hizi zilizoletwa kwetu. Maana sisi tulichomwa hizo sindano na balozi zote karibia kila mtu alichomwa ila zilitoka nje. Na hakuna mtu kapoteza maisha kwa sababu hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…