TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

TANZIA Dida Shaibu, mtangazaji wa Wasafi FM afariki Dunia

Mimi wiki iliyopita nimezika jamaa yangu niliokuloa nae, yeye alilala vizuri tu wala hakuwa anaumwa kuamka asubuhi mpk saa 5 tunastuka mbona jamaa hatoki leo kuna nini kuja kufatilia bado kalala ile kwenda kumuamsha mtu kashakuwa wa baridi kitambo tu.
Kumbe mambo hayo yashafika huko kwenu, uwii tumekwisha !! Huku mpaka kuna muda watu hawalali
 
Meza njugu, hutakii.

We mtu una CD4 30 unategemea utatoboa?

Bongo, entertainment industry nzima ni imeoza, nusu yao ni marehemu wanaotembea.

"Kizaa zaa gumzo gumzo kwa mabronzo ,masista du ,machizi,walimu na wanafunzi ni kazeze ni kazeze ni kazeze" -OCG

"Kusalimika ni ngumu kama hamtoacha zinaa kumantain ni kazi kama hauna stamina backstage haina ulinzi wanapita kama counter" - Joh Makini
 
Hahaha watu mna maneno 😅
sasa wewe dini gani hiyo, mwanaume akifa anapata mabikira 72, ila mwanamke akifa hapati six park 72, yeye ni motoni moja kwa moja? au anapata nini? wanawake wanaohukumiwa kunyongwa wakiwa bikira, wanatakiwa kubakwa ili wakapelekwe motoni wasije wakaingia ahera. mood muongo kuliko hata shetani mwenyewe.
 
sasa wewe dini gani hiyo, mwanaume akifa anapata mabikira 72, ila mwanamke akifa hapati six park 72, yeye ni motoni moja kwa moja? au anapata nini? wanawake wanaohukumiwa kunyongwa wakiwa bikira, wanatakiwa kubakwa ili wakapelekwe motoni wasije wakaingia ahera. mood muongo kuliko hata shetani mwenyewe.
Wewe choko,mchukue mumeo mkabarikiwe,naona una hasira ya kupewa talaka na yule bwana yako aliyekufumua marinda.
 

Attachments

  • Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20241005_010637_WhatsAppBusiness.jpg
    324.7 KB · Views: 3
Poleni ndugu ,jamaa na marafiki....Bwana ametoa ,bwana ametwaa jina lake lihimidiwe ,inna lilai waina ilai rajiun....M.A.P Dida wa Mchops.
Mara ya mwisho alifungua kipub
Mtaa ufipa, nyumban kwa rafiki yake remind...hiyo kipub kilikuwa kinajaza mashg aise balaa
Ila kwa sasa kimefuka kipub
Anyway ndiyo hivyo tena...kifo ni kifo

Ova
 
maneno yako kama haya yanareflect dini chafu iliyo moyoni mwako. kumbe huwa hawakosei wanaposema dini yako ni ya shetani. mtu mwenye moyo safi hawezi kuongea kama ndugu gaidi unavyoongea hivi.
Wewe punga huna akili kabisa kumbe,hayo maneno uliyoongea wewe ni maneno masafi?

Halafu nyie mapunga hua hamjifichi kabisa siku hizi na wala hamuoni aibu,wewe ni maarufu hapa kua unapakuliwa,hilo lipo wazi.
 

Attachments

  • Screenshot_20241005_010653_WhatsAppBusiness.jpg
    Screenshot_20241005_010653_WhatsAppBusiness.jpg
    464.1 KB · Views: 3

Inadaiwa alikuwa amelazwa kwa Matibabu Muhimbili.

Amefariki usiku wa leo.
---
TANZIA: Aliyekuwa Mtangazaji wa Kipindi cha Mashamsham cha Wasafi FM, Khadija 'Dida' Shaibu, amefariki dunia usiku wa leo Oktoba 4, 2024 wakati akipata matibabu katika Hospitali ya Muhimbili

Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa na mtangazaji mwenzake, Maulid Kitenge, kupitia mtandao wa X, Dida alikuwa amelazwa Hospitalini hapo baada ya kuugua.
Nlifikiri utani mpaka nilipoingia insta nikaona Millard ayo kapost Ni kama ndoto jamaniii
 
Wewe punga huna akili kabisa kumbe,hayo maneno uliyoongea wewe ni maneno masafi?

Halafu nyie mapunga hua hamjifichi kabisa siku hizi na wala hamuoni aibu,wewe ni maarufu hapa kua unapakuliwa,hilo lipo wazi.
pole naona unatoa povu, actually ukiona mtu anaongelea ushoga zaidi jua hayo ndio yamemjaa moyoni, wewe utakua shoga, ila sishangai manake pwani na zanzibar mmejaa. vipi, utaenda kumsaidia ndugu yako ayatolah kamenei au na wewe umejificha nyuma ya keyboard tu kama wasaudia.
 
pole naona unatoa povu, actually ukiona mtu anaongelea ushoga zaidi jua hayo ndio yamemjaa moyoni, wewe utakua shoga, ila sishangai manake pwani na zanzibar mmejaa.
Naona kumbe ulijitangaza hapa kua wewe sio riziki bila kujijua,au ulijisahau? Angalia comment yako 267# wewe ni punga acha kuvunga sasa hivi,
vipi, utaenda kumsaidia ndugu yako ayatolah kamenei au na wewe umejificha nyuma ya keyboard tu kama wasaudia.
Mimi nitamsaidia babako kwa mamako.
 
Back
Top Bottom