Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] jamaniii nifah nifah niacheni nipike mie....kesho atakuchambia redioni sio kwa mineno hio walahi atakuwa kamind si kidg huko
Hahahahaaaa huyu bibie nilikuwa na hamu nae sana.
Anichambe ananijuaaaa?
Heheheheee huko Insta nimemfollow kama zombie namchora tu.
Sijawahi kulike wala kucomment.
Na achambe bwana,nishamtapika mie.
 
[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] haya wambea wenzangu kichambo kinwanza kuwasha majibu hayo....nacheka hapa
 
daaah SORRY jamani nilikosea tu kupita Hapa kwa Akina MAMA Zetu eeh?/?? maana naona kuna kama mipasho hivi !!!
 
Amesikia, anajitia ufahamu asokuwa nao.
Na hao wanaume zake akina Ommy crazy. ...kuleta mashindano ya michambo.
We Majey, kama Maisha Club pamekushinda usituletee usengerema wako, Ndio nini kutuletea Dida na Riyama ili uwashindanishe mashindano ya kuchamba?
Kama imekushinda tupe wadau tuiendeshe, nasikia unadanganya kuwa Maisha Club yako, nyoooooooooo, kidevu kirefu kama kona ya Magomeni.
Utawapata hao hao akina Lulu, watoa kafara.
Ngoja utolewe kafara, mie, Hamisa na Zuhura lazima tuje na ndizi msibani kuulia ubwabwa wako.
Na kuwadi wako Muna lazima umlale, nakujua wewe.

Nyie ndo mnafanya mvua ilikuwa imesimama.
Haya, nawe Dida unadhani mganga wako hatumjui, kwa taarifa yako tunamjua sana, anaitwa Babu anakaa Magomeni, najua mpaka nyumbani kwake.
Ukifika pale hushuki kwenye gari....nyau we.
kwa taarifa yako, siku unajuja pale....nilikuwa nimekaa chini ya vile vijumba kwenye vile viti vya kukunja
Upo Nyonyo?
 
View attachment 336257[emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] [emoji28] haya wambea wenzangu kichambo kinwanza kuwasha majibu hayo....nacheka hapa
Haahaaa, anajidai mgumu eeeeh?! ajidai kuringishia tu mikono na sura ila ajue hawa hawa anowaringia wanammaliza liquid, maana si kwa mpangano huo ataishiwa mtelezo kabla ya siku zake, bora ukae na mmoja anajua kabisa aguse wapi mambo yawe swafi si kila siku kitwangio kipya.
 
Majey tumuweke kiporo shoga.
Haya huko Magomeni kwa Mganga Magomeni ipi?
Looooooh!
 
hahaha.....uso mwekunduu afu hata haeleweki sipati picha *** utakuaje..ila hawa mamarioo wana roho ngumu haswa si kidg..hapo ni kapaniki hatari mbaya hajui anachambwa na nani basi ndio anazidi kifura teh teh anashindwa hata amtag nani...nimeamini raha ya kichambo uchambwe na watu usiowajua[emoji136] [emoji136] [emoji136]
 
Da Jane long live uendelee kutupa Ubuyu kama huu. Ubuyu wenye vimto na pilipili rahaa tupu
 

Alivyopagawa hapo atajarusha hata akiwa nae kitandani, marioo wana kazi hapo sasa kitachofuata ni kuanikwa Familia ya Issa. Kazi kwake ajiandae na hiyo nyumba iishe kweli asije achwa kabla haijafungwa lenta maana itaanguka.
 
Majey tumuweke kiporo shoga.
Haya huko Magomeni kwa Mganga Magomeni ipi?
Looooooh!
Magomeni ya Bagamoyo shoga, kwa Babu Issa, naona alivyoona mganga wake anaitwa Issa, nae akajiapiza kutafuta bwana mwenye jina hilo.
Unakijua chuo cha Marian, cha ufundi?
Nyuma yake ndo chimbo la babu Issa.
Bagamoyo nzima wanamjua.

Mie naenda sana kwa babu Issa,ila kwa mambo yangu, nataka kupandishwa cheo, maana hamkawii kunigeuzia kibao nikachambwa mimi......hahahah
 
Uso mwekundu kama nyama ya kichanga kilichokutwa tumboni kwa ng'ombe baada ya kuchinjwa.
Na bado,leo atapanic kwelikweli.

Shoga kichwapanzi anatumia ID gani insta sasa hivi?
Simpati jamaniiiii
Namiss umbea wa Mange [emoji25] [emoji25]
 
Uso mwekundu kama nyama ya kichanga kilichokutwa tumboni kwa ng'ombe baada ya kuchinjwa.
Na bado,leo atapanic kwelikweli.

Shoga kichwapanzi anatumia ID gani insta sasa hivi?
Simpati jamaniiiii
Namiss umbea wa Mange [emoji25] [emoji25]
haha jana mimi nilipanic kucheki simuoni nikasema au nimekula block..kumbe anabadili badili majina..mcheki sasahivi karudi kwa kichwapanzi hio hio
 
Nilidhani Magomeni mjini shoga angu.
Akhaaaaaa,naanzia wapi kukuchamba?
Huyu kiboko wa kike ndo tumemuweka jamvini.

Shoga tuwekeepo picha yake ya zamani alipokuwa kama Lupita Nyongo.
Huhuuuuuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…