Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Bora sasa umetaja na wambea wezako. Wanawake wa Dar vs Wanaume wa Dar
 
Asante Nifaaaaaa naomba uchukue fanta bariiddddiiiiii ile kubwa nakuja kulipa. Weraaaa weraaaa Nifah umempatia kweli
 
Haaa haaa haaaa Da Jane umetishaaa. Nimekupendaje sasa.
 
Da jen, shikamoo kubwa, hivi haya maneno ya kuchamba unatoa kwenye kamusi gani??
 
Hahahaha nifah weeeeee,loh unataka mwenzio afe pressure? Ila mchambe shoga angu muosha huoshwa yeye si anajifanya mzee wa kuchamba kila siku anachamba wenzie.
 
We ndo aisha nin mbona umeandka kutoka moyon au ndugu yake huu mchambo si wa kawaida
 
Sura kama airbag hahhahaahaahhaha dah mjini sihami da Jane asante
 
Hahahahaaaa huyu bibie nilikuwa na hamu nae sana.
Anichambe ananijuaaaa?
Heheheheee huko Insta nimemfollow kama zombie namchora tu.
Sijawahi kulike wala kucomment.
Na achambe bwana,nishamtapika mie.
Hahaaa Nifah umemchamba mi nilisha mu unfollow kisa cha kujua ujini kashikashi wake nilitagakaa kumchamba nikaona ataniblock. I love jf huku unajimwaga tu
 
Kumbe huwa wanapitia jf eeh hahaaaaa dida kazidi huyu na anaendaga kwa waganga morogoro huyo tudawa twamsaidia
 
Mange asipokuwa kichaa mwaka huh kafubaa hat are hyo marekani bora hata madongo kuinama
hahaha kama mange alipo ni marekani basi mi sitaki kwenda jamaniiii kila anapokanyaga ni nyufa tu vipi marekani huko ni tsunami tu mda wote au[emoji15] [emoji15]
 
hahaha kama mange alipo ni marekani basi mi sitaki kwenda jamaniiii kila anapokanyaga ni nyufa tu vipi marekani huko ni tsunami tu mda wote au[emoji15] [emoji15]
Hapana aisee yani sio kwa kuchoka huko yani amekua ka wale wa sudani walioko vitani nilimhurumia na vichambo vya kichwa panzi vina mtouch mno hafu yuko depressed bora kubaki madongo kuinama ule hata miogo sio chips za kuhesabiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…