Dida Shaibu, paka urimbo mwanaume anase, usimvute kwa uzi wa buibui

Hapana aisee yani sio kwa kuchoka huko yani amekua ka wale wa sudani walioko vitani nilimhurumia na vichambo vya kichwa panzi vina mtouch mno hafu yuko depressed bora kubaki madongo kuinama ule hata miogo sio chips za kuhesabiwa
Tatizo aliingia Marekani kwa fujo sana, akajifanya kila kitu anajua yeye. Mara dream house, Mara designer basi kufanya mashauzi tu yasiyokuwa na maana.
 
Tatizo aliingia Marekani kwa fujo sana, akajifanya kila kitu anajua yeye. Mara dream house, Mara designer basi kufanya mashauzi tu yasiyokuwa na maana.
Kwakweli tabia ya kichwapanzi mbaya mno...anampa tabu sana Mange...nadhani anatamani kuhama IG ila anaogopa mzomeo yani anapata shida
Mange jifunze kupuuzia mama utagombana na dunia nzima utaweza?? shetani mwenyewe alimuomba Mungu apate walau kibali cha kuwarubuni wanadamu ili awe na mashost we mwenzetu kutwa kutibuana na watu aaah vibaya hivyo mwali we
 
Hapana aisee yani sio kwa kuchoka huko yani amekua ka wale wa sudani walioko vitani nilimhurumia na vichambo vya kichwa panzi vina mtouch mno hafu yuko depressed bora kubaki madongo kuinama ule hata miogo sio chips za kuhesabiwa
Hakuna mtu alie weza kumnyoosha mange kama kichwapanzi,duuh yaani nime mpigia salut maskini mange kila mtu hampendi
 
Da jane leta habari ingine ya hawa supastaa wa bongo naskia raha sana ukiwachana.
 
Tatizo aliingia Marekani kwa fujo sana, akajifanya kila kitu anajua yeye. Mara dream house, Mara designer basi kufanya mashauzi tu yasiyokuwa na maana.
Hahaaaa huyu alikua anawaumiza ma shosti Mara kajifungulia hospital expensive ya Kim kardashian. Sasa na huyu mange Ku handle hali ya mashosti wake kumemshinda fekero life la insta litajawaua watu kwa mawazo
 
Mange asipokuwa kichaa mwaka huh kafubaa hat are hyo marekani bora hata madongo kuinama
Mwenzangu mimi ni mwembamba lakini wembamba ule wa Mange....
Mhhhhh hizo diet zitamfanya kitu mbaya one day.
Halafu kuna wale wasukule wake wanamsifu eti kawa mrembo kama mtoto wa miaka 22!
 
Mwenzangu mimi ni mwembamba lakini wembamba ule wa Mange....
Mhhhhh hizo diet zitamfanya kitu mbaya one day.
Halafu kuna wale wasukule wake wanamsifu eti kawa mrembo kama mtoto wa miaka 22!
Hahahahahahahahaha ukimwambia ukweli unakulablock ya haja na vile vinguo anavyovyaa vya Bokhe
 
Mwenzangu mimi ni mwembamba lakini wembamba ule wa Mange....
Mhhhhh hizo diet zitamfanya kitu mbaya one day.
Halafu kuna wale wasukule wake wanamsifu eti kawa mrembo kama mtoto wa miaka 22!
Ule wembamba wa stress kakonda macho yameingia ndani uso hauna Nuru ya kawaida anatisha kwa kweli hao wanamsifia uongo mno kawa kituko yani utafikiri huwa hali. Hyo diet geresha ana stress na mawazo katisha
Yani kawa had kama mzee loh
 
Hivi kichwapanzi alikuwa house girl wake eeh?
Sio yule Zenat anayetumia mapya2 ndo alikua house girl wake? Mana at first Mange alikua anachamba kua Zenat(Mapya2) anaandikiwa uwezo wa kucheza na smart phone hana eti ha ha haaa
Saivi kapatikana Mange walahi ata madada wa mjini watakua wanacheka huko na simu zao balaa
 
Hahahahaaa tena usishangae akina Shamimu kumfollow Kichwapanzi...
Mjini hapa raha tupu.
 
Ule wembamba wa stress kakonda macho yameingia ndani uso hauna Nuru ya kawaida anatisha kwa kweli hao wanamsifia uongo mno kawa kituko yani utafikiri huwa hali. Hyo diet geresha ana stress na mawazo katisha
Yani kawa had kama mzee loh
Hahahahahaa Diva umenichekeshaje?
Kweli ule wembamba utakuwa wa stress,tena za kichwapanzi...lol
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…