lady in red10
JF-Expert Member
- Apr 5, 2016
- 209
- 222
Hapana sijui hata ni nani Ila mfanyakazi wa mange ni mama ake mdogo mange ndugu na mama ake kabisa imagn na alikua halipwi mshahara insta ana tumia mapya1Hivi kichwapanzi alikuwa house girl wake eeh?
Uwiii da Jane mlete lulu fastaa plsTena shoga nina file zima la kisa cha huyo Seki na kifo chake.
Hilo nitalitoa exclusively siku ya kichambo chake.
Mtabaki midomo wazi,mimi nilipoambiwa nililia kutwa nzima.
Mtoto mbaya yule?
Hivi hujawasikia wanawake wa Rombo wanavyo 'import' wanaume kutoka Kenya?Wee watake radhi warombo, mrombo gani wa kumkojolesha huyu mwanamke anaebadili mwanaume kila kukicha? Kina mama clareee wenyewe wanalilia hawapati, aje ampe mzaramo Dida?! hapana huyu issa lazima ni wa bagammoyo huko huko.
Ila kanipaisha....naamini wapambe wake wako humu, lah!, kaperuzi.Limechoma haswa. Anavyomsifia huyo mwanaume na Edzen alimsifia hivyo hivyo lkn ndoa haikumaliza hata mwaka. Let us wait and see.
Andaeni mafaili shoga,huyu akitoa hili na yule anatoa lile.Duu jamani!!!! Hebu zamu yake ifike haraka tushughulike na hilo faili. Mweee mtoto mdogo lkn mambo yake mazito kama kontena .
Heheeeee halafu watu wanamsifu kwa kichambo!Ila kanipaisha....naamini wapambe wake wako humu, lah!, kaperuzi.
Chezea DaJane mie, rais wa wasasambuaji kwa Manjunju!!!
nsalu, nilisema mie, wapambe wake wako humu.
Naona wamemfikishia ujumbe nyakanga wao, mwenye sura chachu kama anakamuliwa jipu la kinena.
Hahaaaaaaaa....Dida, hata hujanikera bado.
Huyo baba Abuu kitombi dunia nzima,
afu nasikia ni ngumbalu, ila wote mmekutana.....pwagu na pwaguzi.
Issa, mzee wa kitonga.
Dume zima unalelewa ndo mwanzo wa kuliwa tigo.
Yaani wewe sijui mchaga wa wapi aisee babaangu.
Mchaga analelewa?
Mwisho wake utakuja kupakatwa.
Muulize Idriss yanayomkuta sa hivi, siri hadharani.
Issa, afu nakutuma kwa Dida, mwambie aache kumuuza mtotowamama.
Uchoko bila viwalo na mvuto havinogi.
HUU UMBEA NIMEKUTA UMEPOA JAMAN!! KHAA MJI HUU UNA MAMBO NYAKUNYAKU KILA KONAShkamoo DaJane....
Sio kwa kichambo hiki,ngoja nikatoe tongotongo nirudi tupige umbea vizuri.
Nina mengi ya kujazia kuhusu Dida.
Charity Ms.Lincoln Diva Beyonce piteni huku.
Umenikeraje cuzoo?HUU UMBEA NIMEKUTA UMEPOA JAMAN!! KHAA MJI HUU UNA MAMBO NYAKUNYAKU KILA KONA
ASANTE SANA CUZOO..!!NGOJA NISOME NENO MOJAMOJA HUKU NASHUSHIA KAHAWA
Jamanii cuzooo nisamehee si unajua tena mambo ya weekend!! sikuchungulia humu....naomba siku wa ubuyu wa lulu upige simu kabisa nisipopokea niibukie job...hahahah raha ya ubuyu ule ukiwa ma motrooooooooooooooo!! hahahhaUmenikeraje cuzoo?
Nakuita tokea jana sikuoni.....
Siku ya ubuyu wa Lulu nitakutafuta kwa panga hadi nikulete ukiwa wa moto.
Enjoy mam,na hiki kiubaridi cha leo basi burudani tupu.
Ila Dida jamani ndio nini kujiolesha?
Au kisa unaitwa Hadija basi ndio unajiolesha kama Bi. Hadija alivyojiozesha kwa Mtume?
Wenzio ndoa yao ilikuwa ya baraka na mapenzi tele,ila wewe kazi kuachwa hii ndoa ya 4/5!
Halafu bado unajisifu?
Na huyu unayetaka kujiozesha safari hii tunakupa mwaka tu,chaliiiiiiiiii!
Yetu macho.
Huna cha kumkeep mwanaume.
Nao wana roho ngumu!
Sijui ukivua nguo unakuwaje,kama na nguo zako hizo na makeup juu bado unatisha.
Japo ni dhambi ila kafanye surgery ya uso,sio kwa kuvimbiana huko kama kiboko dume!
Umenikeraje cuzoo?
Nakuita tokea jana sikuoni.....
Siku ya ubuyu wa Lulu nitakutafuta kwa panga hadi nikulete ukiwa wa moto.
Enjoy mam,na hiki kiubaridi cha leo basi burudani tupu.
Jamanii cuzooo nisamehee si unajua tena mambo ya weekend!! sikuchungulia humu....naomba siku wa ubuyu wa lulu upige simu kabisa nisipopokea niibukie job...hahahah raha ya ubuyu ule ukiwa ma motrooooooooooooooo!! hahahha
Snura nae ana balaa jamani.naona amepanikije huko insta, kumbe yupo huku eeh....da jen hebu tuletee kichambo cha mange kimambo bhana, siku hiyo ntakuwa nasoma kichambo huku nakata uno kama chura wa snura.
Haligusijwe shoga angu?Snura nae ana balaa jamani.
Hivi lile kalio haliguswi kweli lile?
Maana naona kama silielewi