Die Glockie: Je, ni kweli chombo hiki chenye nguvu ya ajabu, Hitler alikitumia kuunda silaha za ajabu na kufanya time traveling?

Hizi ni Ngano kama Ngano nyingine tu. Sema kwa wengine huwa mnazibeba kama zilivyo bila kuchanganya na zenu. Msiwe na akili kama za mbayuwayu. Akili za kuambiwa unachanganya na zako. HAKUNA TIME TRAVELLING. haikuwahi kuwepo na haitakuwepo. Ukiangalia movies wewe unaamini kila kitu. Ukisimuliwa nawe unakuja tafuta wa kuwasimulia. Huchanganyi na akili zako. Hakuna hilo Kengele ya maajabu... NARUDIA. HIZO NI NGANO TU NA VIGANO katika field mbalimbali. Katika sayansi kuna masimulizi yake, katika imani nako utakuta habari za dragons n.k
 
Kweli hili ni jukwaa la watu wenye intelijensia ya hali ya juu
Heeeh.... Basi wewe utakuwa ni very abnormal. Kila kilichopo humu ni normal hakuna watu walichovumbua. Wana copy na kuja paste humu. Au wana translate na kuleta humu. Sasa hiyo intellejencia yao ipo wapi? Yaani unakuwa amazed na vitu vidogo sana mpaka you abuse the word intelligence
 
Vya kwako vikubwa ulivyogundua hapa duniani ni kipi? Peleka uchoko wako huko
 
Mbona unakuja na kinyume nyume huku unatokwa povu? Hizi IDs zote huwa zinakusaidia nini? Unatoka povu sehemu zako za mwili za wazi zote.....
Vya kwako vikubwa ulivyogundua hapa duniani ni kipi? Peleka uchoko wako huko
 
Wageni wanaweza kuja kwa ajili yakuchungulia na si kuishi!

Wao watakuona, wewe hautawaona.
Mfano mtu aliye time travel miaka 5000 iliyopita na leo ndiyo kawasili, utamuonaje?

Au leo mtu a'time travel miaka 1000 mbele unadhani kinadharia atakaowakuta huko wataweza kumuona?

Time ttaveller ndiye muonaji wa wengine katika safari zake, lakini wengine hawawezi kumuona.
 
Time Travel ni Nini? Na ni kwa namna gani tutasema kwamba time travel imetokea. Na unapo fanya time travel unaifanya kuelekea wapi? Mwisho wa siku mechanism of time travel ni impossible.
 
Hapa unanikumbusha Yule jamaa aliyenaswa AirPort za Japana
Akasema anatokea nchi ya Taured, na akapewa Raman kuonyesha Nchi yake Ilipo

Hapa ni kwamba polisi na Hata yeye mwenyewe waliweza kuongea ,na Claims zikawa huenda jamaa kutoka nchi ya Taured ni Traveller kwa maana Hata Nchi ,mahali alipoonyesha hiyo Nchi haikuwepo
 
Time Travel ni Nini? Na ni kwa namna gani tutasema kwamba time travel imetokea. Na unapo fanya time travel unaifanya kuelekea wapi? Mwisho wa siku mechanism of time travel ni impossible.
Uzuri wa Sayansi imejipambanua na Iko dhahiri,.
Hata stephen Hawkin alipoitisha party,kwa ajili ya Matravellers Kutoka nyakati zote (future & Past) kuja pale lakini hakuna hata Mmoja Aliefika
Kikawaida mechanism zote za kufanya Time Travellin .,hazijapata Proof

Nakumbuka siku mboja Proffesa wangu wa Fizikia aliniuliza, ikiwa Physically kutoka nyakati moja kwenda nyingine haiwezekani je ushawaza kuhusu kufanya hivyo Spiritually.
 
Embu elezea kwa upana hiki kisa
 
Tazama hizi Mkuu


 
Hivi mna uhakika Wazungu ni binadamu wenzetu wa kawaida? I dont think so, imagine haya mavitu hawa jamaa waliyatengeneza miaka hiyo wakati sisi kipindi hiki bado tunafikiria habari za mashimo ya vyo vya shule, aise!
Vitu vigani walitengeneza wakati wamevipata hapo. Part kubwa ya Historia shuleni ni kwenye runinga ni uongo mtupu.
Ramani za 1500-1750 zinaonyesha Africa imejaa miji mikubwa Tena bila jangwa la Kalahari, Namib na Sahara. Jangwa Kwa kawaida huletwa na nukes/nyuklia bombs na other high energy weapons.
Je uko na picha za kuundwa Kwa Reli ya Tanzania Zambia na Mabeberu?
 
 
Ubishi mwingine wala huaga hauna maana yeyote; chombo tunacho tumia kuwasilia hapa kimetengenezwa na wao, chupi uliovaa imetengenezwa na wao, miwani (kama una vaa miwani ) imetengenezwa na wao, ugonjwa wa malaria, typhod nk kule kwao hakuna, yapo huku kwetu lakini dawa wanatengeneza wao. Unaanza kuleta story za kabla ya ukoloni ukijua hata wewe huna uwezo wa kuzithibitisha kama kweli au uongo. Anyway, kwani kabla ya ukoloni kuja, hawa jamaa waliwezaje kututawala? Walitumia bunduki na mabomu wakati sisi tulitumia mikuki, huoni hadi hapo wao walikua mbele ya muda mbali zaidi kuliko sisi!? Enzi za Yesu (kama unaamini katika Biblia) walikua wanalima mashamba yao kwa kutumia ng'ombe, wakati sisi hadi sasa hivi tunatumia jembe la mkono, umeufikiria huo muda wa enzi za Yesu todate ni miaka mingapi imepita mkuu? Haya, bado unapinga kwamba sisi bado tunajadiri kuhusu mashimo ya vyoo mashuleni? Hapo ulipo, una nini ambacho kimetengezwa na sisi? Shati, soksi, chupi/boksa, simu etc vyote vimetoka kwao; but you know what? Raw materials za hivyo vyote tunavyo vitumia vimetoka Africa; why tumeshindwa kubadiri hizo raw materials into reality? Bado nina mashaka kama weusi tupo sawa na watu wa rangi nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…