Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawarutumusha wafaransa wanyonyaji wakubwa wa west afrika.Kwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani?
Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
View attachment 3208451
Huu ni uzushi! Si ajabu Trump hajui kabisa uwepo wa huyo dogo.Kwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani?
Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
View attachment 3208451
Hangaya kafanya nini kwani kumzidi?Kafanya nini kumzidi Hangaya?
Kipofu ndio anauliza swali ambalo jibu lake ni wenye macho pekee ndio wanaweza kulithibitishaKwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani?
Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
View attachment 3208451
Kwa hiyo wewe una akili kubwa kuliko wananchi wote wa Bukinafaso.Ni muendelezo wa upuuzi,ujinga na akili za sisi waafrika huyu bwana mdogo naye ni mtu mjinga mjinga anavaa combat kila siku kama vile yupo vitani
Akili ndogo huyu na wafuasi wake
NdioKwa hiyo wewe una akili kubwa kuliko wananchi wote wa Bukinafaso.
"Dictotor" kazi ipoKuna waxeng€ humu kila mtu wanamuita dictotor. hivi unajua hlo neno ni nan wanapaswa kulitumia na ni kwa manufaa gani? aya Gadafi aliitwa dictotor unajua kwanini? aya JPM aliitwa dictotor unajua kwann? aya uyu dogo wa burkina anaitwa dictotor unajua kwanini. nyambafu sasa ni bora hii mitaala mipya ya elimu ingeletwa mapema watu wakasomee hata kulima viazi mana hamna walichokipata kwenye elimu iliyokuwepo..
Hana lolote huenda anataka kumfalurahisha putinKwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani?
Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
View attachment 3208451