Dikteta Captain Traore wa Burkina Faso ana maajabu gani kumfanya kukubalika sana na Waafrika wengi?

Dikteta Captain Traore wa Burkina Faso ana maajabu gani kumfanya kukubalika sana na Waafrika wengi?

Hangaya anadhid kuleta wajomba zake Tanzania..na anadhid kuimarisha ufisadi Tanzania...huoni mkuu? Hivi kweli utamlinganisha Hangaya na Traore....acha masihara banaaa....Traore balaaa ....ni mwamba
'dhi'
 
Kwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani?
Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
View attachment 3208451
Yuko sahihi asilimia 💯. Mabeberu wametunyonya, wamefadhili vita, mamilioni ya vifo vya waafrica vimesababishwa na wao wazungu
 
Hali ya uchumi Bukinabe ikoje? kilimo, viwanda ana biashara? Wabukinabe wanafuraha, wafanyakazi bado wanapokea mishahara kwa wakati? Wakulima wananeema ya pembejeo? Hali ikoje kiuchumi?
 
Anauza matumaini kwa vitendo, hafanyi business as usual, ni disruptor kama alivyokuwa JPM. Mambo hayo yanafanya watu wawe na matumaini ya kupiga hatua.
 
We anakuhusu nini kapambane na mama dulla mzee
 
Ni muendelezo wa upuuzi,ujinga na akili za sisi waafrika huyu bwana mdogo naye ni mtu mjinga mjinga anavaa combat kila siku kama vile yupo vitani

Akili ndogo huyu na wafuasi wake
Kabisa ukisha soma sana vitabu vya historia na siasa ndo utagundua cc wa Africa hatuna akili kabisa kila mtu Yupo kwa ajili ya matumbo yako
 
Kolichofanya Waafrika kutawalika na kutawaliwa hata leo kwa Ukoloni wa kisasa ni MIAFRIKA kama wewe, yaani watu kama nyie mnajivunia sana hata kuitwa jina la kizubgu au kiarabu. Nenda huko wazungu wakakuachie seat nzima ya bus au kukurushia ganda la ndizi kukuonyesha wewe ni Mfalme wanayekupenda
 
Jamaa kapambana kuwaondoa waxeng£ wote wanaojifanya wanajihadi na waasi wa msituni.. Dhahabu ya burkinafaso haichakachuliwi tena na france hivyo kupelekea mapato kuongezeka maradufu kupitia sekta ya madini. Nafasi za watu kuajiriwa zinaongezeka ukilinganisha na huko nyuma... amani ilitoweka kwa kipindi kirefu sana burkinafaso lakini sasa imerejea. Alaf anakuja **** la mbweha km mleta huu uzi analeta usomi wa university of mburahati anasemaa....... dah nitakupiga kibao wewee
 
Kwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani?
Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
View attachment 3208451
He is very right. Huyu ndiye rais anayetamaniwa na kila mwafrika aje kutawala nchi yake.Tunahitaji viongozi wa maana Afrika si dizaini ya kina Kikwete ama Museveni na Tshishekedi
 
Kolichofanya Waafrika kutawalika na kutawaliwa hata leo kwa Ukoloni wa kisasa ni MIAFRIKA kama wewe, yaani watu kama nyie mnajivunia sana hata kuitwa jina la kizubgu au kiarabu. Nenda huko wazungu wakakuachie seat nzima ya bus au kukurushia ganda la ndizi kukuonyesha wewe ni Mfalme wanayekupenda
Hawa watu wanatakiwa kukamatwa na kuwinda Afrika nzima na kuuliwa tu, hawana faida na Afrika yetu.
 
Back
Top Bottom