Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
'dhi'Hangaya anadhid kuleta wajomba zake Tanzania..na anadhid kuimarisha ufisadi Tanzania...huoni mkuu? Hivi kweli utamlinganisha Hangaya na Traore....acha masihara banaaa....Traore balaaa ....ni mwamba
Yuko sahihi asilimia 💯. Mabeberu wametunyonya, wamefadhili vita, mamilioni ya vifo vya waafrica vimesababishwa na wao wazunguKwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani?
Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
View attachment 3208451
KmmmkoNi kama walivyokuwa wanampenda diktekta uchwara😏
Anatakiwa kuvaa suti na tai sio ili asionekane kua ni Mjinga Mjinga?Ni muendelezo wa upuuzi,ujinga na akili za sisi waafrika huyu bwana mdogo naye ni mtu mjinga mjinga anavaa combat kila siku kama vile yupo vitani
Akili ndogo huyu na wafuasi wake
Au alitakiwa kumfurahisha Biden na trump TU?Hana lolote huenda anataka kumfalurahisha putin
Na wewe piaKmmmko
Kabisa ukisha soma sana vitabu vya historia na siasa ndo utagundua cc wa Africa hatuna akili kabisa kila mtu Yupo kwa ajili ya matumbo yakoNi muendelezo wa upuuzi,ujinga na akili za sisi waafrika huyu bwana mdogo naye ni mtu mjinga mjinga anavaa combat kila siku kama vile yupo vitani
Akili ndogo huyu na wafuasi wake
taja hayo maendeleoMwamba sio mnafiki kama viongozi wako.. maendeleo anayoyafanya yanaonekana waziwazi. Amekataa ukoloni maomboleo
Ya mama yako sample Kariakoo.Kmmmko
He is very right. Huyu ndiye rais anayetamaniwa na kila mwafrika aje kutawala nchi yake.Tunahitaji viongozi wa maana Afrika si dizaini ya kina Kikwete ama Museveni na TshishekediKwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani?
Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
View attachment 3208451
Hawa watu wanatakiwa kukamatwa na kuwinda Afrika nzima na kuuliwa tu, hawana faida na Afrika yetu.Kolichofanya Waafrika kutawalika na kutawaliwa hata leo kwa Ukoloni wa kisasa ni MIAFRIKA kama wewe, yaani watu kama nyie mnajivunia sana hata kuitwa jina la kizubgu au kiarabu. Nenda huko wazungu wakakuachie seat nzima ya bus au kukurushia ganda la ndizi kukuonyesha wewe ni Mfalme wanayekupenda