Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Ni kibaraka wa Putin. Hana jipya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🙆♀️Hawa watu wanatakiwa kukamatwa na kuwinda Afrika nzima na kuuliwa tu, hawana faida na Afrika yetu.
Ulitaka awe kibaraka wa nani?Ni kibaraka wa Putin. Hana jipya
Unafikiri kufukuza wanajeshi wa Kifaransa kwenda kwao ni kazi rahisi. Hujui jinsi Mfaransa alivyokuwa akiendeleza ukolonui katika nchi makoloni yake. Kimsingi hazikuwa huru na ndio kwanza zinajitambua.Kwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani?
Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
View attachment 3208451
Mzalendo wa AfricaUlitaka awe kibaraka wa nani?
Madikteta wengi sana hapa duniani huwa wanatawala nchi zao kwa njia za kueneza Propaganda za Vitisho, Ghiriba na Ulaghai. Hiyo ni kawaida kabisa.Kwa nini huyu Rais dikteta wa Burkina Faso Waafrika wanapenda kumpamba sana kwa taarifa za uongo na propaganda? Ana maajabu gani?
Hapa wanasema alialikwa katika uapisho wa Trump akakataa!🤣
View attachment 3208451
Endeleeni kumeza propoganda za kipuuzi na kijuha, mwaka jana huko kwenye mji Barsalogho magaidi walifanya shambulizi na kuua watu 600, mashambulizi ya kigaidi yameshika kasi zaidi mwaka 2024, nusu ya nchi ya Burkina Faso haina udhibiti wa serikali mpaka sasa, maelfu ya shule zimefungwa na malaki ya watoto wako wamejifungia makwao kwa kukosekana usalama.Jamaa kapambana kuwaondoa waxeng£ wote wanaojifanya wanajihadi na waasi wa msituni.. Dhahabu ya burkinafaso haichakachuliwi tena na france hivyo kupelekea mapato kuongezeka maradufu kupitia sekta ya madini. Nafasi za watu kuajiriwa zinaongezeka ukilinganisha na huko nyuma... amani ilitoweka kwa kipindi kirefu sana burkinafaso lakini sasa imerejea. Alaf anakuja **** la mbweha km mleta huu uzi analeta usomi wa university of mburahati anasemaa....... dah nitakupiga kibao wewee
Ni mambo ya hovyo sana, mamilioni ya Waafrika vilaza wameaminishwa Burkina Faso sasa hivi mambo ni mazuri sana wakati ni kinyume chake.Madikteta wengi sana hapa duniani huwa wanatawala nchi zao kwa njia za kueneza Propaganda za Vitisho, Ghiriba na Ulaghai. Hiyo ni kawaida kabisa.
Vigezo vya demokrasia