Edo kissy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2022
- 2,802
- 7,551
😂😂Wanaishia tu kusema eti vijana tufanye kazi maendeleo hayaji hivi hivi
Waulize Sasa njia walizopita wao Hadi wakatoboa
Ogopaaa!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂Wanaishia tu kusema eti vijana tufanye kazi maendeleo hayaji hivi hivi
Waulize Sasa njia walizopita wao Hadi wakatoboa
Ogopaaa!!
We Jamaa vipi🤣🤣, sisi weusi- sio ma nusu albinoooooo ka wewe😄😂😂 asithubutu
Tatizo ni nusu albinoooooo 🤣😂, Wana hisi uta sumbua watu walio kamilika🤣😂🤒Hizo nimezikosa sana dah
Mie nilikuwa napiga kidebe kwenye miradi mbali mbali ya ujenzi...hasa bara barani vyema halali
lakini kwa usawa huu weka lolote tuone nafuu ikowapi
Ndyo wanakopwaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah ila wewe[emoji23][emoji1787][emoji1787], ko maslay Wana kopwa[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Bora niende pale kcmc Moshi, Kuna visu dunia hii🤒Ndyo wanakopwaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sitasahau biashara ya affiliate marketing kwenye kampuni za kasino na sports betting ilivyonipa pesa, daah!!!
Ukiingiza kama skrepa halafu ukaiasembo ile registration unaipataje hapa kutoka tra? Hebu tujuze mdau.Tafuta $3000 nenda Zimbabwe (Harare pande za Norton) au Zambia (Nakonde) au Malawi tafuta trekta used kule , peleka gereji zao Nakonde upande wa Zambia, Harare, wanazi furbish au wanaisambua inaingia kama Spea (Screpa) bongo hii, ukifikisha una assemble tena unapata trekta inaibwenga chap pesa ndefu au unauza spea (Parting), unapata pesa chap unazama tena chimbo. Ushuru wa trekta pesa ya nyanya.
Nenda Tunduma boda ya Zambia au Kasumulu boda ya Malawi utajifunza kitu kuhusu utafutaji. Gari na Trekta zinaingizwa kama Screpa na Kadi na Chesesi namba inatafutwa kwa Chinjachinja na zipo barabarani. Nenda Tunduma utakutana na Benz Masharubu namba T XXX AAB ila gari ni mpya. 😁
Kusoma sio kazi bwana mdogo, kazi ni kubadilisha kisomo kuwa hela.
Angalizo: Uzijue trekta, uzijue boda na taratibu zake.
Nina miaka 2 nimetoka kule ...Sema sa ivi mzigo adimu
Ni dalili za ulimbukeni uliokubuhu.Wanaboa sana
Hongera sana MkuuNilianza kwenye machimbo ya madini ya dhahabu Lubumbashi sio powa wazee yaani full kunguni na kushinda njaaa maana congo vyakula vingi ni vya ajaaabu hadi ikapelekea kupata vidonda vya tumbo nilikuwa napiga zile mishe za kuwa apolo yaani unavaa zako tochi unaingia shimoni sasa Kuna siku tukaona mzigo mzito kule chini yaani full mawe yanang'aa sana aisee na Mimi si nikasema fursa hii hapa tulikuwa watu 6 tukachukuwa dhahabu zote maana ndo ilikuwa mara ya kwanza ule mgodi wa mkongoman kutoa dhahabu maana ulikuwa mpya tulivotoka yule bosi wetu alifurahi sana yaani siku hiyo sisi ndo tulipata dhahabu nyingi sana katika kugawana yule bosi aliiuza ile dhahabu bilioni 5 ila alivyagawa pesa aisee nilimuachia mungu maana alitupa Kila mtu milioni 50 ila sio mbaya maana nilitoka Tz kusaka pesa nikasema kuanzia Leo naacha hii kazi basi nikaanza kufungua mgahawa na sehemu ya kuonesha mpira pale Lubumbashi ilini ingizia sana pesa ila wale wenzangu walienda zao Paris France kuendelea kutafuta nikarudi zangu bongo na pesa kibao na nikarudi mererani kama bosi wa mgodi hapa nipo zangu home kigamboni na wife
We unaishije kama miaka nenda miaka rudi still ni jobless nimewaza kauli yako naona kama unadanganya hivi.Mimi ni jobless pro max 😀, ma shangazi zako kina Joannah na Tayana-wog Wana jua🤣😂😀🤒
Sijakuelewa. Umesema wamegawana pasu lakini wakageukana.
""Badala ya kugawana pasu kwa pasu WAKAZUNGUKANA""
Hapo hapo unasema "Kama mmepiga deal hakikisha mnagawana mtonyo pasupasu kuepusha kuuana na kuchomeana"
Kwa ushauri "ukipiga dili na wenzako gawaneni pasu kwa pasu""
Which is which?
#YNWA
Huyo bi mkubwa saizi maisha yake yapojeHili Dili kuna Mama alinipaga Mchongo nikamtolea nje, kikubwa uwe bingwa wa kukariri vifungu vya biblia tu na kuvitolea ufafanuzi na uweze kua na uwezo wa kuwachota watu akili waweze kukusikiliza kwa uaminifu kwisha habari unakua Pastor mmoja mzuri haraka sana, kanisa unapewa, gari unapewa wahudumu unapewa nyumba unapewa kazi kwako kuuza maneno ya biblia alafu mnaokota Sadaka kwenye Lipa Namba na akaunti za Bank maisha yanaendelea ikinoga sana tunawauzia mpaka unga wa Sembe kwa bei ya juu unakua unga wa upako na mazombi watanunua,
dili nene hili changamoto yupi nitaanza nae mwenye uzoefuTafuta $3000 nenda Zimbabwe (Harare pande za Norton) au Zambia (Nakonde) au Malawi tafuta trekta used kule , peleka gereji zao Nakonde upande wa Zambia, Harare, wanazi furbish au wanaisambua inaingia kama Spea (Screpa) bongo hii, ukifikisha una assemble tena unapata trekta inaibwenga chap pesa ndefu au unauza spea (Parting), unapata pesa chap unazama tena chimbo. Ushuru wa trekta pesa ya nyanya.
Nenda Tunduma boda ya Zambia au Kasumulu boda ya Malawi utajifunza kitu kuhusu utafutaji. Gari na Trekta zinaingizwa kama Screpa na Kadi na Chesesi namba inatafutwa kwa Chinjachinja na zipo barabarani. Nenda Tunduma utakutana na Benz Masharubu namba T XXX AAB ila gari ni mpya. 😁
Kusoma sio kazi bwana mdogo, kazi ni kubadilisha kisomo kuwa hela.
Angalizo: Uzijue trekta, uzijue boda na taratibu zake.
watu tunasaka experience za utajiri,watu wanakuja na contents tofauti kabisaWe jamaa na wenzako mbona mnavamia uzi wa maana mnaanza kuujazia comments zisizo na maana. Simuende kwenye minyuzi yenu ya ajabu ajabu huko.
Unaona sifa kutajataja tu sio? Unadhani hayo hatuyajui?Wewe hujui deals haramu? Kauze/kabebe unga utatajirika haraka sana, kaibe benki kuna mabilioni kule pigo moja tu ushatoka,nenda mbugani Kaue tembo utatoka haraka sana.
Vijana njoeni liwale tulime bangi ina pesa mno