Twin Tower
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 2,170
- 3,067
Afande nipo tayari kufatilia vibaka kwenye huu uzi [emoji2955][emoji2955]
Sema unafuatilia na wewe upige deal..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afande nipo tayari kufatilia vibaka kwenye huu uzi [emoji2955][emoji2955]
hata hizo deal haram weka hapa tuone inakuwaje kuwaje
Kumbuka jinai haifiBiashara ya ngozi, kupelekea kenya ilikuwa miaka ya 74. Tukio baya nalokumbuka katika harakati hizo ni kuua askari wa doria mimi na wenzangu.
SureSema unafuatilia na wewe upige deal..
Mimi baada ya kupata kazi ndo nikatusua inshort elimu ndo imenisaidia
Mimi niliwahi piga dili la Ngwair yani dili moja tu lenye akili nikalala maskini na kuamka tajiri.Wakuu nimekua nikipambana bila mafanikio. Nimejaribu fursa mbalimbali lakini mambo bado bilabila.
Nimejaribu kufanya kilimo changamoto yake ipo kwenye umwangiliaji na soko, nimejaribu kutoa boda za mkataba lakini bado napigwa ngumi za pua.
Najua JF pana wengi na hapakosi kuwa na mengi ya kujifunza!
Hivi ulifanyaje fanyaje hadi ukatoboa? Ni vipi ulipatata financial freedom, dili gani ulipiga likakutoa kimaisha!
Inategemea inapatikana kila baada ya muda gani na kwa gharama kiasi gani pia. Even 1 Tsh ni kiasi kikubwa sana, ishu ni inapatikana vipi na kwa muda gani.Mzee try atleast to aim a bit higher....2ml cant make us move anywhere.
Kuingia humu nayo ni kazi ujue 😁Mimi ni jobless pro max 😀, ma shangazi zako kina Joannah na Tayana-wog Wana jua🤣😂😀🤒
Akikujibu nitagPembe za ndovu unaweza kusafirisha?
😂😂😂kuna risk za uchawa hasa kuliwa
Kwani hili la bangi lina ugumu gani wakuuu? Maana naendeshaga gari Dsm hadi Mza, Arusha hadi Dom, naweza njia nzima nisimamishwe na trafik, ikitokea ni mara moja moja pia tena ukiwatangulizia elf 5 mkononi hawahitaj hata kuendelea kuongea na ww.Acha kutamani vitu vikubwa katika level ya uharamu.
[emoji117]Hebu jaribu ku import bangi kutoka morogoro, afu ndo uanze kuji pima level nyingine [emoji855]
Mambo makubwa haya, yanahutaj hustling madame, sio kutafuta wazee wastaaf na madanga.Huu uzi ndio utakaonifanya nijibu pm yako au niiweke pending....[emoji28][emoji28][emoji28]
Ila ningependa sana nione akina dada nao wakija kutoa mawazo na michango yao humu jinsi walivyofanikiwa kimaisha.
Maana naona uzi wote mmejaa wanaume.
Hii Iko poa, kama uko serious tukutane Tunduma hiyo mwezi wa nne tuanze upya kuutafuta huo mtaji uliopotea.Kama una mtaji kiasi hamia border ya tunduma au Kasumulu kuanzia mwezi wa 4,kama una passport itakua poa zaidi . Hata kama huna passport utatumia zile travel permits za muda mfupi. Kunakua biashara za mazao kwenda pande tofauti za border zinakupa faida faster. Mwaka jana karanga,kitunguu saumu na kitunguu maji toka Malawi kuja Tanzania viliniinua sana,leo nipo South Africa japo nimepoteza tena mtaji [emoji41][emoji20]. Sasa hivi kuna upepo wa mahindi kwenda Malawi.
Tunduma huwa kuna mishe za kupeleka mazao kasumbalesa kama mchele,viazi vya chips,maharage,dagaa nk..
Mtaji wa angalau wa kuanzia iwe shi ngapi?Kama una mtaji kiasi hamia border ya tunduma au Kasumulu kuanzia mwezi wa 4,kama una passport itakua poa zaidi . Hata kama huna passport utatumia zile travel permits za muda mfupi. Kunakua biashara za mazao kwenda pande tofauti za border zinakupa faida faster. Mwaka jana karanga,kitunguu saumu na kitunguu maji toka Malawi kuja Tanzania viliniinua sana,leo nipo South Africa japo nimepoteza tena mtaji [emoji41][emoji20]. Sasa hivi kuna upepo wa mahindi kwenda Malawi.
Tunduma huwa kuna mishe za kupeleka mazao kasumbalesa kama mchele,viazi vya chips,maharage,dagaa nk..