Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

Dili gani ulipiga likakutoa kimaisha na sisi wengine tujifunze

V
Mkuu kama kweli unamaanisha tujipange kufikia huo mwezi tuingie huko, hatuwezi kosa pa kuanzia tukiisha fika huko.
Nadhani boda ya Kasumulu ni the best, ukiwa na mtaji mdogo unachukua mzigo karonga (km50 toka border) unakuja kuuza border . Muhimu ujue exchange rate,fanya ku-download XE currency converter kwenye simu yako kwa ajili ya mazoezi. Tunduma pia sio kubaya.
 
Wewe hujui deals haramu? Kauze/kabebe unga utatajirika haraka sana, kaibe benki kuna mabilioni kule pigo moja tu ushatoka,nenda mbugani Kaue tembo utatoka haraka sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo mkuu huo mwezi wa nne huwa uko busy sana hapo boda kwa biashara ya nafaka? Na hapo boda ni wanunuzi wapi hasa, vipi kuhusu aina ya ununuzi ni kwa jumla ama reja reja?
V

Nadhani boda ya Kasumulu ni the best, ukiwa na mtaji mdogo unachukua mzigo karonga (km50 toka border) unakuja kuuza border . Muhimu ujue exchange rate,fanya ku-download XE currency converter kwenye simu yako kwa ajili ya mazoezi. Tunduma pia sio kubaya.
 
Moja ya njia za kupata pesa ni hii
Kama una simu kubwa fanya online business pita sehemu wanazouza vitu vya ndani piga picha post kwenye magroup ya WhatsApp na kwenye status zako huwezi kukosa utakuwa unapata cha huu na udalali kutoka kwa wenye Mali zao. Au pita kwenye sehemu wanazo tengeneza vitu vya ndani furniture's piga picha post kwenye magroup ya WhatsApp kitanda cha laki mbili unaandika 250,000 na usafiri ukimpelekea mteja analipia mwenyewe hapo unakuwa umepata cha huu na commission kutoka kwa fundi. Sio kitanda tu furniture's zote.

Unaweza tangaza Biashara za watu nyingi nyingi tu.
Nguo
Perfume
Viatu
Saa na vitu vya nyumbani kama Radios, TV, vyombo vya jikoni nk
Ni jutihada zakk tu.
Kwani yule Jeff Bezos mwenye Amazon naye si ni dalali tu ?
We unaogopa nini. Yaani unakuwa ni Mobile Duka

[emoji122][emoji122]
 
Kwani hili la bangi lina ugumu gani wakuuu? Maana naendeshaga gari Dsm hadi Mza, Arusha hadi Dom, naweza njia nzima nisimamishwe na trafik, ikitokea ni mara moja moja pia tena ukiwatangulizia elf 5 mkononi hawahitaj hata kuendelea kuongea na ww.

Je huo muda ukiwa umejaza bangi kwenye boot si unatamba tu au?

Ila kweli mkuu. Kamavipi tujalibu hii njoo DM
 
Kwahiyo mkuu huo mwezi wa nne huwa uko busy sana hapo boda kwa biashara ya nafaka? Na hapo boda ni wanunuzi wapi hasa, vipi kuhusu aina ya ununuzi ni kwa jumla ama reja reja?
Nimefanya biashara mwaka jana kisha nikasogea South Africa,naongelea fursa nilizo ziona. Upepo ukiwa mgumu huku nitarudi tena,border towns ndiyo mpango mzima kama una mtaji mdogo.
 
Back
Top Bottom