Tetesi: Dili la Mayele kwenda Pyramid lina asilimia kubwa ya kubuma, huenda akaungana na Feitoto Azam

U
Ulianza vizuri kutoa facts..ila umemalizia vibaya mapovu yamekuwa mengi hadi Uzi wako umeloa
 
Bwana mkubwa Azam unaowasema wanamtaka wanayo iyo b.1.8? Kama wanayo wailete ata kesho wauziwe mayele! Otherwise Kama pyramid wakishindwa ataendelea kusalia jangwani mpaka mkataba wake uishe
 
Hawa waarabu wana agenda chafu na club za kusini ya jangwa la Sahara. Niliwahi kulisema hili wakati anaondoka Luis na Chama kuwa siyo kama walikuwa wanawahitaji kivile bali waliogopeshwa na kasi ya Simba mwaka ule na kweli walifanikiwa kwani tangu kipindi kile Simba haijawahi tena kufikia ubora ule. Na mafanikio ya Yanga hadi kufikia fainali ya CAF CC pia wame mind hivyo suala la kumtaka Mayele ni moja ya mbinu zao chafu kuzidhoofisha club zetu.
 
Good point big bravo
 
Good observation
 
Alim
Ferguson atabaki Legend pale United
 
Yanga ni team, Mayele ni mtu! Mtu ni mtu, team ni team! Mayele tunamtakia mema aendako
 
Likud kwa hili nakukatalia na usitegemee litatokea. Mayele ana mkataba wa mwaka mmoja na yanga. Ana ufalme wake ambao tayari ameutengeneza pale. Anaheshimiwa na kiongozi pale. Sio kama hao kina Djuma na Bangala ambao ni wazi walikua wakiongoza kwa utovu wa nidhamu, kutocheza kwa moyo na nafikri uliona hata post ya bangala tena mchezaji professional anasema et ana asilimia ndogo ya kubaki yanga while ana mkataba..... Hii ina maana tayar alikua ashashawishiwaa na timu nyingine tena za hapa hapa bongo. So swala lako ni uwongo na halina mantiki na jasmine hawezi kufanya uo uhuni mana ikitokea basi haweza kuaminiwa na wachezaji wengine hata wa nje. Swala la pyramid tuwaachie sisi halituhusu by the time watamtangaza tu
 
Huyo wakala kichwa maji yanga achaneni nae mfanye kazi na mawakala wengine
Wakala anagomesha wachezaji
Hataki kuheshimu mikataba
 
Inasemekana mayele atacheza mchezo wa mwisho wa kumuaga na yanga dhidi ya as vita fc kabla hajakwea ✈️ kwenda misri kujiunga na pyramid
 
Umeongea point kubwa Sana Mimi kama Yanga naona itakua poa Sana Kama Mayele atasepa kwenda Azam kuliko pyramid. Coz Azam itakua mashndani mzuri lakini pia natamani hao watu wajue ukubwa wa Yanga.
Ndo watajua hata bila wao still Yanga itafanya poa Sana tena zaidi Mayele ni Bora Ila Mahop Kwa statistics zake n Bora zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…