Tetesi: Dili la Mayele kwenda Pyramid lina asilimia kubwa ya kubuma, huenda akaungana na Feitoto Azam

Tetesi: Dili la Mayele kwenda Pyramid lina asilimia kubwa ya kubuma, huenda akaungana na Feitoto Azam

Hawa waarabu wana agenda chafu na club za kusini ya jangwa la Sahara. Niliwahi kulisema hili wakati anaondoka Luis na Chama kuwa siyo kama walikuwa wanawahitaji kivile bali waliogopeshwa na kasi ya Simba mwaka ule na kweli walifanikiwa kwani tangu kipindi kile Simba haijawahi tena kufikia ubora ule. Na mafanikio ya Yanga hadi kufikia fainali ya CAF CC pia wame mind hivyo suala la kumtaka Mayele ni moja ya mbinu zao chafu kuzidhoofisha club zetu.
Umeongea kitaalamu sana
 
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda inaonekana hao Pyramid hawana hata shida na Mayele kihivyo. Ni hivi za nyuma ya kapeti kutoka mitaa ya jangwani ni kwamba:

1. Mpaka sasa Pyramid bado hawajaingiza hata senti tano kwenye akaunti ya Yanga kwa ajili ya malipo ya kumnunua Mayele.

2. Yanga wamewapa Pyramid siku tatu kutoka jana wawe wamesha ingiza pesa or else Yanga watafanya maamuzi mengine.

3. Pamoja na Yanga kutoa hiyo ultimaltum lakini Pyramid bado wapo kimya wala hawajafanya movement yoyote (Wanasuasua).

4. Yanga wamesha mleta Dar striker wa mabao (Emmanuel Mahop kutoka Cameroon/ ambae ndio mfungaji bora wa ligi ya Cameroon msimu ulio pita akifunga magoli kumi na tano Kati ya mechi ishirini alizo cheza plus assist tatu)

5. Pamoja na kumleta Mahop ili awe mrithi wa Mayele lakini Yanga bado hawajamsainisha Mahop kwa sababu bado hawana uhakika na dili la Mayele. Wanahofia kwamba endapo watamsaini Mahop watakuwa wamekamilisha idadi ya wachezaji wa kigeni. Ikitokea Pyramid wasipo weka mkwanja kwa ajili ya kumnunua Mayele dili la Mayele litakufa na Mayele atakosa nafasi ya kucheza Yanga so Yanga ima watalazimika kumuuza Mayele kwenye timu ambayo itakuwa na nafasi ya mchezaji wa kigeni (Azam wanatajwa kuwa tayari kumnunua Mayele endapo dili lake litabuma) au kumtoa Azizi Ki kwa Mkopo kwenda Singida FG ili wamsaini Mahop ampe changamoto Mayele au wasitishe mpango wa kumsajili Mahop.

6. Inasemekana Wakili Jasmini ambae ni msimamizi wa Mayele anataka Mayele aende Azam kuungana na Fei Toto.

Let's wait and see hii sinema inaishia wapi.

Ushauri wangu kwa uongozi wa Yanga: Msainisheni Mahop, ni mtu na nusu. Dili la Mayele kwenda Pyramid hata likibuma muuzeni Azam akaungane na Fei Toto. Endeleeni na spirit yenu ya kutomnyenyekea mchezaji kwa sababu hata hivyo hachezi bure analipwa.

Muacheni Mayele akacheze na Fei Toto kama alivyopiga kijembe kwenye instagram live juzi kwamba amemiss sana kucheza na Fei na atatamani sana kucheza na Fei plus kijembe alichopiga wiki kadhaa zilizopita kwamba eti wacongo wanapenda sana hela (kwani watu wa nchi gani ndio hawapendi hela)

Mashabiki wa Yanga wamesha move on na tayari nafsi zao zimeshakubali kuishi bila Mayele.

Ushirikiano wake na Fei na taarifa kwamba alikuwa anaidengulia Yanga kusaini mkataba mpya vimewafanya mashabiki wa Yanga waanze kumtoa taratibu kwenye nafsi zao.

Wakili Jasmini hayupo tena loyal kwa Yanga, suala la Fei bado analichukulia personal dhidi ya Hersi. Anacho kitaka yeye ni kuona Hersi anafeli hivyo sio busara kuendelea kuwa na mchezaji ambae anasimamiwa na Jasmini.

Yanga will always be Yanga with or without Mayele.
Eduche Edwin
 
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda inaonekana hao Pyramid hawana hata shida na Mayele kihivyo. Ni hivi za nyuma ya kapeti kutoka mitaa ya jangwani ni kwamba:

1. Mpaka sasa Pyramid bado hawajaingiza hata senti tano kwenye akaunti ya Yanga kwa ajili ya malipo ya kumnunua Mayele.

2. Yanga wamewapa Pyramid siku tatu kutoka jana wawe wamesha ingiza pesa or else Yanga watafanya maamuzi mengine.

3. Pamoja na Yanga kutoa hiyo ultimaltum lakini Pyramid bado wapo kimya wala hawajafanya movement yoyote (Wanasuasua).

4. Yanga wamesha mleta Dar striker wa mabao (Emmanuel Mahop kutoka Cameroon/ ambae ndio mfungaji bora wa ligi ya Cameroon msimu ulio pita akifunga magoli kumi na tano Kati ya mechi ishirini alizo cheza plus assist tatu)

5. Pamoja na kumleta Mahop ili awe mrithi wa Mayele lakini Yanga bado hawajamsainisha Mahop kwa sababu bado hawana uhakika na dili la Mayele. Wanahofia kwamba endapo watamsaini Mahop watakuwa wamekamilisha idadi ya wachezaji wa kigeni. Ikitokea Pyramid wasipo weka mkwanja kwa ajili ya kumnunua Mayele dili la Mayele litakufa na Mayele atakosa nafasi ya kucheza Yanga so Yanga ima watalazimika kumuuza Mayele kwenye timu ambayo itakuwa na nafasi ya mchezaji wa kigeni (Azam wanatajwa kuwa tayari kumnunua Mayele endapo dili lake litabuma) au kumtoa Azizi Ki kwa Mkopo kwenda Singida FG ili wamsaini Mahop ampe changamoto Mayele au wasitishe mpango wa kumsajili Mahop.

6. Inasemekana Wakili Jasmini ambae ni msimamizi wa Mayele anataka Mayele aende Azam kuungana na Fei Toto.

Let's wait and see hii sinema inaishia wapi.

Ushauri wangu kwa uongozi wa Yanga: Msainisheni Mahop, ni mtu na nusu. Dili la Mayele kwenda Pyramid hata likibuma muuzeni Azam akaungane na Fei Toto. Endeleeni na spirit yenu ya kutomnyenyekea mchezaji kwa sababu hata hivyo hachezi bure analipwa.

Muacheni Mayele akacheze na Fei Toto kama alivyopiga kijembe kwenye instagram live juzi kwamba amemiss sana kucheza na Fei na atatamani sana kucheza na Fei plus kijembe alichopiga wiki kadhaa zilizopita kwamba eti wacongo wanapenda sana hela (kwani watu wa nchi gani ndio hawapendi hela)

Mashabiki wa Yanga wamesha move on na tayari nafsi zao zimeshakubali kuishi bila Mayele.

Ushirikiano wake na Fei na taarifa kwamba alikuwa anaidengulia Yanga kusaini mkataba mpya vimewafanya mashabiki wa Yanga waanze kumtoa taratibu kwenye nafsi zao.

Wakili Jasmini hayupo tena loyal kwa Yanga, suala la Fei bado analichukulia personal dhidi ya Hersi. Anacho kitaka yeye ni kuona Hersi anafeli hivyo sio busara kuendelea kuwa na mchezaji ambae anasimamiwa na Jasmini.

Yanga will always be Yanga with or without Mayele.
Isije Kuwa weye ni mnyama mwitu🦁.😂😂🏃😂
 
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda inaonekana hao Pyramid hawana hata shida na Mayele kihivyo. Ni hivi za nyuma ya kapeti kutoka mitaa ya jangwani ni kwamba:

1. Mpaka sasa Pyramid bado hawajaingiza hata senti tano kwenye akaunti ya Yanga kwa ajili ya malipo ya kumnunua Mayele.

2. Yanga wamewapa Pyramid siku tatu kutoka jana wawe wamesha ingiza pesa or else Yanga watafanya maamuzi mengine.

3. Pamoja na Yanga kutoa hiyo ultimaltum lakini Pyramid bado wapo kimya wala hawajafanya movement yoyote (Wanasuasua).

4. Yanga wamesha mleta Dar striker wa mabao (Emmanuel Mahop kutoka Cameroon/ ambae ndio mfungaji bora wa ligi ya Cameroon msimu ulio pita akifunga magoli kumi na tano Kati ya mechi ishirini alizo cheza plus assist tatu)

5. Pamoja na kumleta Mahop ili awe mrithi wa Mayele lakini Yanga bado hawajamsainisha Mahop kwa sababu bado hawana uhakika na dili la Mayele. Wanahofia kwamba endapo watamsaini Mahop watakuwa wamekamilisha idadi ya wachezaji wa kigeni. Ikitokea Pyramid wasipo weka mkwanja kwa ajili ya kumnunua Mayele dili la Mayele litakufa na Mayele atakosa nafasi ya kucheza Yanga so Yanga ima watalazimika kumuuza Mayele kwenye timu ambayo itakuwa na nafasi ya mchezaji wa kigeni (Azam wanatajwa kuwa tayari kumnunua Mayele endapo dili lake litabuma) au kumtoa Azizi Ki kwa Mkopo kwenda Singida FG ili wamsaini Mahop ampe changamoto Mayele au wasitishe mpango wa kumsajili Mahop.

6. Inasemekana Wakili Jasmini ambae ni msimamizi wa Mayele anataka Mayele aende Azam kuungana na Fei Toto.

Let's wait and see hii sinema inaishia wapi.

Ushauri wangu kwa uongozi wa Yanga: Msainisheni Mahop, ni mtu na nusu. Dili la Mayele kwenda Pyramid hata likibuma muuzeni Azam akaungane na Fei Toto. Endeleeni na spirit yenu ya kutomnyenyekea mchezaji kwa sababu hata hivyo hachezi bure analipwa.

Muacheni Mayele akacheze na Fei Toto kama alivyopiga kijembe kwenye instagram live juzi kwamba amemiss sana kucheza na Fei na atatamani sana kucheza na Fei plus kijembe alichopiga wiki kadhaa zilizopita kwamba eti wacongo wanapenda sana hela (kwani watu wa nchi gani ndio hawapendi hela)

Mashabiki wa Yanga wamesha move on na tayari nafsi zao zimeshakubali kuishi bila Mayele.

Ushirikiano wake na Fei na taarifa kwamba alikuwa anaidengulia Yanga kusaini mkataba mpya vimewafanya mashabiki wa Yanga waanze kumtoa taratibu kwenye nafsi zao.

Wakili Jasmini hayupo tena loyal kwa Yanga, suala la Fei bado analichukulia personal dhidi ya Hersi. Anacho kitaka yeye ni kuona Hersi anafeli hivyo sio busara kuendelea kuwa na mchezaji ambae anasimamiwa na Jasmini.

Yanga will always be Yanga with or without Mayele.
upuuzi ulioandika unadhirishwa na umbumbu wako,yasmini sio wakili ni mshauri tu wa wachezaji

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Kwa jinsi mambo yanavyokwenda inaonekana hao Pyramid hawana hata shida na Mayele kihivyo. Ni hivi za nyuma ya kapeti kutoka mitaa ya jangwani ni kwamba:

1. Mpaka sasa Pyramid bado hawajaingiza hata senti tano kwenye akaunti ya Yanga kwa ajili ya malipo ya kumnunua Mayele.

2. Yanga wamewapa Pyramid siku tatu kutoka jana wawe wamesha ingiza pesa or else Yanga watafanya maamuzi mengine.

3. Pamoja na Yanga kutoa hiyo ultimaltum lakini Pyramid bado wapo kimya wala hawajafanya movement yoyote (Wanasuasua).

4. Yanga wamesha mleta Dar striker wa mabao (Emmanuel Mahop kutoka Cameroon/ ambae ndio mfungaji bora wa ligi ya Cameroon msimu ulio pita akifunga magoli kumi na tano Kati ya mechi ishirini alizo cheza plus assist tatu)

5. Pamoja na kumleta Mahop ili awe mrithi wa Mayele lakini Yanga bado hawajamsainisha Mahop kwa sababu bado hawana uhakika na dili la Mayele. Wanahofia kwamba endapo watamsaini Mahop watakuwa wamekamilisha idadi ya wachezaji wa kigeni. Ikitokea Pyramid wasipo weka mkwanja kwa ajili ya kumnunua Mayele dili la Mayele litakufa na Mayele atakosa nafasi ya kucheza Yanga so Yanga ima watalazimika kumuuza Mayele kwenye timu ambayo itakuwa na nafasi ya mchezaji wa kigeni (Azam wanatajwa kuwa tayari kumnunua Mayele endapo dili lake litabuma) au kumtoa Azizi Ki kwa Mkopo kwenda Singida FG ili wamsaini Mahop ampe changamoto Mayele au wasitishe mpango wa kumsajili Mahop.

6. Inasemekana Wakili Jasmini ambae ni msimamizi wa Mayele anataka Mayele aende Azam kuungana na Fei Toto.

Let's wait and see hii sinema inaishia wapi.

Ushauri wangu kwa uongozi wa Yanga: Msainisheni Mahop, ni mtu na nusu. Dili la Mayele kwenda Pyramid hata likibuma muuzeni Azam akaungane na Fei Toto. Endeleeni na spirit yenu ya kutomnyenyekea mchezaji kwa sababu hata hivyo hachezi bure analipwa.

Muacheni Mayele akacheze na Fei Toto kama alivyopiga kijembe kwenye instagram live juzi kwamba amemiss sana kucheza na Fei na atatamani sana kucheza na Fei plus kijembe alichopiga wiki kadhaa zilizopita kwamba eti wacongo wanapenda sana hela (kwani watu wa nchi gani ndio hawapendi hela)

Mashabiki wa Yanga wamesha move on na tayari nafsi zao zimeshakubali kuishi bila Mayele.

Ushirikiano wake na Fei na taarifa kwamba alikuwa anaidengulia Yanga kusaini mkataba mpya vimewafanya mashabiki wa Yanga waanze kumtoa taratibu kwenye nafsi zao.

Wakili Jasmini hayupo tena loyal kwa Yanga, suala la Fei bado analichukulia personal dhidi ya Hersi. Anacho kitaka yeye ni kuona Hersi anafeli hivyo sio busara kuendelea kuwa na mchezaji ambae anasimamiwa na Jasmini.

Yanga will always be Yanga with or without Mayele.
Piramidi twasubiri hela zetu za mayele. Fanyeni fasta.
 
Ur very right . Hao Pyramid wanaonekana hawana hata shida na Mayele halafu Mayele ni kama kashikiwa akili na Jasmine. Yanga wamuache aende Azam then Azam wamtoe Simba.


Nitafurahi sana Yanga wakifika Robo au nusu fainali ya Champions league bila Mayele.
Haa Haa we unajua champion league ni sawa na lile kombe lenu la loser(in manara voice) au umesahau huku kawaida ya uto ni raundi ya kwanza tu niagieni! Acha kuota ndoto za mchana
 
Mpaka kesho Fergusion anaendelea kuwa kocha bora niliye mshuhudia,aliweka misingi ya kwamba hamna mkubwa zaidi ya club na yeye ndio boss. Ndio maana yule jamaa alikuwa anapata mafanikio makubwa, kwa wachezaji wa kawaida.

Mchezaji kama haitaki club maana yake hatacheza kwa moyo, Man Utd kulikuwa na Park,Mached,Fletcher, Brown, Oshea nk.Wachezaji walikuwa wakawaida ila walikuwa na nidhamu na kucheza kwa moyo na kwa maelekezo ya kocha.

Kama hataki aende cha msingi hela yetu na kama ikiwezekana kama wakala haeleweki, uza wachezaji wake wote na usichukue mchezaji anaye milikiwa nae.

Sasa hivi tena huyo Jasminie kawaambia Yanga,gharama za Msuva mil 700,anazani anaikomoa Yanga wakati ukiingia Kongo, Zambia, Uganda unapata winga kwa dola 100k sema basi bongo hatujawekeza sana kwenye Scout.Hata huyo Bacca nae kama huyo mama akimjaza upepo wa mwache nae.
Usitunishe sana kifua. Unaweza kuja kuta hata Hersi mwenyewe yuko chini ya uwakala wa huyo ninja
 
Mpaka kesho Fergusion anaendelea kuwa kocha bora niliye mshuhudia,aliweka misingi ya kwamba hamna mkubwa zaidi ya club na yeye ndio boss. Ndio maana yule jamaa alikuwa anapata mafanikio makubwa, kwa wachezaji wa kawaida.

Mchezaji kama haitaki club maana yake hatacheza kwa moyo, Man Utd kulikuwa na Park,Mached,Fletcher, Brown, Oshea nk.Wachezaji walikuwa wakawaida ila walikuwa na nidhamu na kucheza kwa moyo na kwa maelekezo ya kocha.

Kama hataki aende cha msingi hela yetu na kama ikiwezekana kama wakala haeleweki, uza wachezaji wake wote na usichukue mchezaji anaye milikiwa nae.

Sasa hivi tena huyo Jasminie kawaambia Yanga,gharama za Msuva mil 700,anazani anaikomoa Yanga wakati ukiingia Kongo, Zambia, Uganda unapata winga kwa dola 100k sema basi bongo hatujawekeza sana kwenye Scout.Hata huyo Bacca nae kama huyo mama akimjaza upepo wa mwache nae.
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom