Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Hujui lolote, walichoshindwana na Kaizer Chiefs Nabi alitaka aende na technical team yake akiwemo yule manywele ni muhimu sana kwa Nabi.
Azam wamlileta kocha hata kabla ligi haijamalizika. Anaitwa Dabo kutoka Senegal.Azam semeni na Nabi ....mpira ukue Tanzania
Ni kweli Azma hawana kocha.Mkumbuke Azma hawana kocha
Ila wewe huwa unamsema Mshana Jr lakini na wewe ni kashitikina!!!!Katupiwa jini la ubishi
Hakua na muda. Huku CAFCC, huku NBCL, huku FA cup, huku Uto wanamtaka a extend mkataba akajikuta hana muda wa kutafakari vipi likitokea/lisitokee, litatokea/halitatokea nini. Alikua more optimistic.Hapa Nabi kazingua mwenyewe kwanini asingefange malizana nao kabla haja acha kazi?
Ukinionyesha mahali nimewahi kumsema viibaya nakurushia buku 10 sasa hivi. Unisichonganishe na watu tafadhali.Ila wewe huwa unamsema Mshana Jr lakini na wewe ni kashitikina!!!!
Ndio kazi ya wakala hio au anafanya kazi kama duka la mangi?Hakua na muda. Huku CAFCC, huku NBCL, huku FA cup, huku Uto wanamtaka a extend mkataba akajikuta hana muda wa kutafakari vipi likitokea/lisitokee, litatokea/halitatokea nini. Alikua more optimistic.
Na wala yeye mwenyewe hajawahi kusema anaenda Kaizer!Nazan huyu kocha ana ofa zaid ya moja mkononi ila sisi tumeijua ya keizer chif zaid
Wewe nirushie tu utakuwa umeniokoa.Ukinionyesha mahali nimewahi kumsema viibaya nakurushia buku 10 sasa hivi. Unisichonganishe na watu tafadhali.
Umeshatokea msala. Nikikurushia wewe nitakosa ya kuchangia timu kwa ajili ya kumlipa yule kocha aliyetupeleka FIFA.Wewe nirushie tu utakuwa umeniokoa.
Hiyo roho ya kuchangia timu huna naomba tu uniokoe ndugu yako Iddi ipite salama.Umeshatokea msala. Nikikurushia wewe nitakosa ya kuchangia timu kwa ajili ya kumlipa yule kocha aliyetupeleka FIFA.
Alitaka kuleta mambo ya ulaya, kocha anakuja na watu wakeHujui lolote, walichoshindwana na Kaizer Chiefs Nabi alitaka aende na technical team yake akiwemo yule manywele ni muhimu sana kwa Nabi.
Kaizer Chiefs nao wana watu wao ambao wanawakubali hawapo tayari kuwafukuza kazi kisa matakwa ya Nabi.
Kwa lugha nyingine Nabi hakuwa mtu mzuri kwa riziki za watu wengine pale Kaizer Chiefs na hata Mungu hapendi hivyo.
Yanga imejaa wachawi tupu yaani huwezi kuondoka yanga ukafanikiwa, mtamuona Feisal