Dimba la Taifa: Yanga Africans yatakata kwa ushindi wa goli 3-0 dhidi ya Kagera Sugar

Thanks for updates
Msukuma tolori mdogo mdogo jiandae mwenye mzigo amekaribia kuuchukua mzigo wake[emoji460] [emoji460]
 
Safi yanga sukumia chini hao wanaoshangilia mwanzo wa ligi
 
Safi yanga sukumia chini hao wanaoshangilia mwanzo wa ligi
Mtajifariji sana ila hii yanga ni timu ya Kawaida kwa aliyeanglia mpira anaelewa hili na wakichukua ndoo itakuwa safi kwan kuna nguvu ya mungu inaiongoza yanga
 
Lile goili alofunga ni nani hasa jaman?
Maana linachanganya
 
Thanks for updates
Msukuma tolori mdogo mdogo jiandae mwenye mzigo amekaribia kuuchukua mzigo wake[emoji460] [emoji460]
Mkuu, unapenda sana kuquote hadi nyuzi ndefu kama hii..?
 
Mtajifariji sana ila hii yanga ni timu ya Kawaida kwa aliyeanglia mpira anaelewa hili na wakichukua ndoo itakuwa safi kwan kuna nguvu ya mungu inaiongoza yanga
Ndoo lazima iende kwa yanga hakuna ubishi hapo
 
Msisahau kesho chama la wana simba vs mtibwa sukari, hapa hapa nyumbani kwetu yaan (UWANJA WA JAMHURI)
Simba hachezi mechi yoyote mpk atoke misri, mtibwa anacheza na prisons nafkiri kesho au jumapili
 



Alaaaah, kumbe wachovu wa kimataifa walikuwa wanacheza leo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…