Kwa hiyo wewe una dini ( njia mfumo)ngap? Kwa sababu unafuata katiba ya Tanzania na sheria zake kama mfumo wa maisha pia na pia unafuata uislamu kutoka arabuni kama mfumo na njia za maisha pia.Maisha still unayo Kwasababu,.. automatically usipofuata dini hiyo utafuata dini(mfumo/njia) nyingine utakayoona inafaa kwenye maisha yako.
There's no way binadamu anaweza kuishi bila dini(njia/mfumo) labda akili iwe ina shida lasivyo kuna njia tu ataamua kutumia kwenye maisha yake,...
😂😂😂Google maana ya religion...kiarabu sio lugha ya dunia sawa...na uislamu sio dictionary ya ulimwengu.. definition yenu ya dini ni yenu pekee sio ya woteTusipate shida,.. neno dini linatokana na lugha ya kiarabu" دين" lenye maana ya "njia" ama "desturi"
Kwa ujumla, neno "din" linaashiria mfumo wa sheria, imani na desturi ambazo zinaongoza maisha ya mtu.
Kwa mantiki hiyo binadamu na dini zao(njia/desturi/mifumo) zili co-exist at the same point in time..,
Au unataka kusema, Binadamu waliishi miaka na miaka bila kuwa na desturi au mfumo ulioongoza maisha yao?
Impossible.
Hio ni ad hominem fallacy...unafanya personal attack instead of kudeal na hoja...if huwezi kuwa na logical conversation then unanipotezea mdaSawa,...wewe usieamini kwenye dini hizo umevumbua kitu gani?!
Kuna scientific development yoyote tutegemee toka kwako?
😁Bac mi na Imani kwamba sisi wote tumeumbwa na ma aliens wa planet Z kwa mfano wao.Mambo ya imani hayategemei sana evidence. Bila shaka kuna mkwamo fulani kwenye maisha yako na sidhani kama naweza kukutoa hapo
Ninaposema wewe ni mfano wa Mungu simaanishi una uwezo sawa wa asilimia 100 kama alivyo Mungu.
Naomba nikuache kwa sasa sitashiriki tena majibizano ya kipumbavu nina majukumu mengine mhimu zaidi kwa ajili yangu na familia yangu
😂😂😂google religion mbona tunapotezeana mdaOf course, Dini ni utaratibu mzima wa maisha.. ndiyo maana dini iliyokamilika zaidi ni Ile ambayo ime cover all aspects of human life including social, economic, political endeavours.
Nadhani tukubaliane kutokukubaliana.... ilimradi kila mtu anaishi peaceful hakuna shida.
Dogo unaongea ujinga ganiDini iliyokamilika ina cover all aspects of human life including social, economic, political endeavours.
Ndiyo maana nikasema dini ni mfumo kamili wa maisha Kwa kuzingatia kwamba mtu au watu wanaoishi kwa kufuata kanuni fulani wataziishi kanuni zao kwenye nyanja zote za maisha uchumi,jamii na siasa.(hivyo basi hata kwenye mpira dini zinaingia... mfano utakuta mchezaji anakataa kusaini mkataba na kampuni Fulani Kwa kua kampuni hiyo biashara zake zipo kinyume na kanuni za dini yake...hivyo ndivyo dini ilivyo)
Ni ruhusa kubaki na mtazamo wako lakini.
Gravity ni theory...if it's false kajirushe ghorofani ujikute na bikra 72 mbinguni sawa...That's where you're wrong brother 😅 😅
I understand these things very much.
You don't need to force me to understand any of these theories, do you even know why are they called theories?
Brother I'm not underestimating you, but if we get to it, you can't keep up with me.
Brother Don't believe in things you can't even explain without googling.
Analazimisha definition ya mudi ndo ai apply kwa kila mtu...mudi kaidefine dini hivyo ili aweze kutunga sheria za kumfunga mtu katika kila aspects za maisha... mtu hawezi hata kusuka, sijui kupaka rangi kucha cjui Nini...Kwahiyo Atheist wana dini mkuu?
Fafanua kidogo nipate mwanga
Atheist ni mtu ambaye haamini katika supernatural(Mungu, uchawi, shetani, malaika, mbinguni dini nk)
Dini inaambatana na kutekeleza matakwa ya IMANI fulani, yaani ibada na mambo gani ufanye/usifanye ili usiikosee na upate favor kutoka kwa supernatural inayo iamini
Je unafahamu Poland 🇵🇱 Croatia has katika IT wapo mbali kuliko mataifa mengi ulaya? , nitajie nchi iliyokolea dini yenye maendeleo makubwa ? Usinitajie dubai ,Saudi, au Kuwait coz hao hakuna kitu kwenye dini ni unafki tu.Upo sahihi lakini suala la uvumbuzi ni suala mtambuka sana,..
Mfano kuna uwezekano nguvu za kiuchumi,kisiasa na kadhalika Kwa baadhi ya nchi ndiyo kunachochoea uvumbuzi na sio ishu ya kuwa theist au atheist.
Mfano Ulaya ambapo tunaamini ndyo kuna atheists wengi,..mbona nchi za Ulaya zisizo na nguvu kubwa kama Lithuania, Luxembourg,Poland, Croatia na kadhalika hazina uvumbuzi wowote remarkable ambao Dunia tunautambua,ukilinganisha na zile nchi zenye nguvu?
Huoni kwamba nchi hizo za Ulaya nilizotaja hapo tunakisia kwamba kuna atheists wengi lakini hakuna uvumbuzi wowote,...so Kwa mantiki hiyo possibility kubwa ni kwamba influence ya atheism kwenye uvumbuzi ni ndogo sana.
Sio lazma atheism...I don't consider myself an atheist lakini I'm not superstitious... yaani mtu ambae anaamini vitu natural kuwa supernatural..cjui mvua radi tetemeko etc ni supernatural, cjui anaona mauza uza anasema ni kweli..mtu Kama huyu hawezi kuwa na scientific reasoning nzuri ndo maana most societies ambazo Zina low level of superstitious beliefs ndo zimeendelea...na Zina amani na democracy...Upo sahihi lakini suala la uvumbuzi ni suala mtambuka sana,..
Mfano kuna uwezekano nguvu za kiuchumi,kisiasa na kadhalika Kwa baadhi ya nchi ndiyo kunachochoea uvumbuzi na sio ishu ya kuwa theist au atheist.
Mfano Ulaya ambapo tunaamini ndyo kuna atheists wengi,..mbona nchi za Ulaya zisizo na nguvu kubwa kama Lithuania, Luxembourg,Poland, Croatia na kadhalika hazina uvumbuzi wowote remarkable ambao Dunia tunautambua,ukilinganisha na zile nchi zenye nguvu?
Huoni kwamba nchi hizo za Ulaya nilizotaja hapo tunakisia kwamba kuna atheists wengi lakini hakuna uvumbuzi wowote,...so Kwa mantiki hiyo possibility kubwa ni kwamba influence ya atheism kwenye uvumbuzi ni ndogo sana.
Hawa jamaa ni vichaa zaidi wanalazimisha, wao waonekane bora zaidi ya wengne.[emoji23][emoji23][emoji23]Google maana ya religion...kiarabu sio lugha ya dunia sawa...na uislamu sio dictionary ya ulimwengu.. definition yenu ya dini ni yenu pekee sio ya wote
Mi nishaachana naeHawa jamaa ni vichaa zaidi wanalazimisha, wao waonekane bora zaidi ya wengne.
Unataka kusema kabla ya ujio wa wakoloni waafrika walikuwa hawasali kwa imani zao?kwa mwenye imani hawezi kuwaona wamisionari kama ni maajenti wa ukoloni. Wale walileta injili, inatosha kuamini hivyo. Nje na mtazamo huo ni ukengeufu wa kiimani. Ukoloni uliondoka tukapata uhuru, why missioneries wabaki hadi sasa na wapelelezi hawapo?
Hakuna siku ya Mwisho.Kama dini itatoweka duniani basi ni mwisho wake kutawala na zama za giza la kiroho kushika hatamu. Siku za mwisho watu watajitenga na kweli kwa kufuata mafundisho ya uongo
Kila mabadiliko ya kiteknologia yalipo ingia Tz hawa jamaa wa dini walisema ni freemason , sijui mwisho wa dunia na ujinga mwingi ,mwisho wa siku walijaa kwenye mfumo , wametulia kimya kama sio wao.Hakuna siku ya Mwisho.
Kwahiyo Kwa upande wako Google ndiyo ina universal definitions ya vitu vyote duniani? Google haijakuachia room ya kutumia kichwa chako?😂😂😂google religion mbona tunapotezeana mda
So, Poland na Croatia wamevumbua kitu gani remarkable kwenye IT?Je unafahamu Poland 🇵🇱 Croatia has katika IT wapo mbali kuliko mataifa mengi ulaya? , nitajie nchi iliyokolea dini yenye maendeleo makubwa ? Usinitajie dubai ,Saudi, au Kuwait coz hao hakuna kitu kwenye dini ni unafki tu.
Unafahamu Marie curie kutokea Poland?mshindi wa tuzo ya nobel mwaka 1903 na 1911So, Poland na Croatia wamevumbua kitu gani remarkable kwenye IT?
Hao wapo kama Burundi tu au nchi nyingi za Afrika,... kwenye suala zima la uvumbuzi mpaka hivi sasa wao ni watumiaji wa innovations za nchi nyingine zenye power kama tulivyo Sisi Afrika huku.
Una
Unafahamu Marie curie kutokea Poland?mshindi wa tuzo ya nobel mwaka 1903 na 1911