SimbaMpole123
JF-Expert Member
- Apr 23, 2023
- 5,501
- 4,956
😂 Shika dictionary bac Kama hutaki google unajifanya mjinga.. Kama una definition ya mudi ya dini Baki nayo...Kwahiyo Kwa upande wako Google ndiyo ina universal definitions ya vitu vyote duniani? Google haijakuachia room ya kutumia kichwa chako?
Kichwa chako unatumia kufanyia nini sasa?
Hatuwezi kukubaliana kwenye hilo,...Baki na mtazamo wako mzee
Unachofanya ni special pleading...ukitaka kujua man u na man city ngapi ngapi unaingia google unakuta 2 bila utabisha...hautabisha.. ila kitu kikipinga upuuzi wako unatukana wanaotumia google..bac achana na Mimi kama huwezi kuja na evidence unakataa kila kitu isipokuwa Cha mudi bac kaoe kitoto Cha miaka 6 Kama yeye tujue mojaWewe inaonenakana hata Google ikisema hujitambui,..lazima utaiamini Hahh
Nakumbuka kuna mjadala mmoja hivi nikakuambia hakuna jogoo wanaofanya homosexual ukaenda ku Google, kisha ukasema eti Google imesema wapo,... Hujioni kama una shida?
Kama hata vitu unavyoviona Kwa macho yako,unasubiri Google ikuambie kuvihusu basi una safari ndefu sana ya kujikomboa kifikra.
NB:- Wanao publish taarifa Google ni watu kama Mimi na wewe tu.
Achana nae anapoteza mda...Pia walio push taarifa kutokea kwenye biblia na Qur'an ni watu tu , wewe ulitaka taarifa itoke wapi ili iwe sahihi?
😂ngoja umkute Zeus akuulize mbona hukuniabudu.. utajua hujuiukifa ndiyo utajua mwisho wa siku upo
😂So Mungu muweza wa yote alishindwa kuwatokea hao mpaka atumie wamisheni...😂ameweza kutokea kwenye ka jangwa huko middle east...huyu Mungu mbona kama ametungwa na kusambazwa Kama novelmababu zetu waliishi zama za giza hawakumjua Mungu wa kweli mpaka walipofikiwa na injili, nuru ikawaangazia.
😂Na waislamu nao si wamekuletea Quran...mbona hutaki kusilimuEnendeni ulimwenguni mwote mkaihubiri injili kwa kila kiumbe. Hilo ndilo agizo wainjilisti walilofanya kuleta injili kwa wasioijua
😂U don't know meaning ya neno theory kwenye evolution ndo maana unafanya logical fallacies.Gravity has to do with our conversation.
Okay keep making excuses.
Sasa hi si physics ya fom1[emoji2089]View attachment 2810710
Sawa Quran is true .. nyota zipo mbingu ya karibu ili ziwapige mashetani wasimkaribie Mungu... na pia zinaweza anguka duniani..😂na pia jua na mwezi zinafukuzana..😂na pia mkojo wa ng'amia unatibu Magonjwa yote...Anhaa,.. Nadhani Qur'an ipo tofauti kidogo, odds za Qur'an kuwa idea ya mtu tu ipo close to 0.00%
Lakini pia taarifa inaweza itokee popote na ikawa na usahihi,...ila ujinga ni pale unapoamini Google ina taarifa zote sahihi wakati kiuhalisia imejaa
1. Ukweli
2. Uongo
3. Propaganda za kila aina
Hivyo basi ukiingia Google unaweza ukatoka na moja Kati ya hivyo vitatu.
Hujaelezea why ni lazma? Pia huyu Mungu kajiumba au? Ukilazimisha hakuna kitu kinaweza tokea out of nowhere unajicontradict ukiamini kuwa Mungu kawepo bila kuumbwaTatizo Waafrika mnachanganya uwepo wa dini na uwepo wa MUNGU.
Hata nyau,kenge wakiulizwa kwanini wapo duniani wakaweza kuongea watajibu kuwa lazoma kuna aliyewaweka pamoja na mawe,miti,maziwa,nk.
Hakuna binadamu aliyeumba binadamu au miti,mawe,wanyama,nk lazima kuna muwezeshaji wa hilo ambaye makabila yooote duniani yanaamini hivyo kupitia namna tofauti.
Tuache ujinga WAAFRIKA hivi kabla ya UKOLONI na UTUMWA huo ukristu na uislam ulifundishwa wapi na kwanini haukuanza kwa siku moja duniani kote kama ilivyoanza dunia wakati wa kuiumba na uislam na ukristo ukaumbwa?
Sawa mm sijui😅😅 haya tuanze kupeana shule bac😂U don't know meaning ya neno theory kwenye evolution ndo maana unafanya logical fallacies.
Wewe hujui chochote, na sio kwamba nakudharau, ndo ukweli.😂U don't know meaning ya neno theory kwenye evolution ndo maana unafanya logical fallacies.
After death is rotting in grave. Period.Kwanini kifo kiwe ending game? Do you believe that there is no chance of life after death?
Nani aliye copy &paste huyo?,.. Maana for the first time aliyekua anawasomea watu wake Aya za kitabu hicho ushaambiwa He was Illiterate...Sawa,. Tena sio idea ya mtu tu ni cope and paste na ku editi kidgo close rate yake ipo 100%
Theory Ina maana nyingi...inaweza mean hypothesis...inaweza mean scientific accepted fact with principles...in evolution theory means fact with principlesSawa mm sijui😅😅 haya tuanze kupeana shule bac
😂Sawa bac amini umeumbwa na udongo Kama hekaya za uyahudi...kwani mi napungukiwa niniWewe hujui chochote, na sio kwamba nakudharau, ndo ukweli.
Usipanic..,shika definition unayoona ipo sahihi Kwa upande wako.😂 Shika dictionary bac Kama hutaki google unajifanya mjinga.. Kama una definition ya mudi ya dini Baki nayo...
Enhe umekuja ninapotaka.Theory Ina maana nyingi...inaweza mean hypothesis...inaweza mean scientific accepted fact with principles...in evolution theory means fact with principles
Sawa upo sahihi mkuu💯Unachofanya ni special pleading...ukitaka kujua man u na man city ngapi ngapi unaingia google unakuta 2 bila utabisha...hautabisha.. ila kitu kikipinga upuuzi wako unatukana wanaotumia google..bac achana na Mimi kama huwezi kuja na evidence unakataa kila kitu isipokuwa Cha mudi bac kaoe kitoto Cha miaka 6 Kama yeye tujue moja
Hahh hivi upo serious kweli?Sawa Quran is true .. nyota zipo mbingu ya karibu ili ziwapige mashetani wasimkaribie Mungu... na pia zinaweza anguka duniani..😂na pia jua na mwezi zinafukuzana..😂na pia mkojo wa ng'amia unatibu Magonjwa yote...