Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Kwahiyo Kwa upande wako Google ndiyo ina universal definitions ya vitu vyote duniani? Google haijakuachia room ya kutumia kichwa chako?

Kichwa chako unatumia kufanyia nini sasa?

Hatuwezi kukubaliana kwenye hilo,...Baki na mtazamo wako mzee
😂 Shika dictionary bac Kama hutaki google unajifanya mjinga.. Kama una definition ya mudi ya dini Baki nayo...
 
Wewe inaonenakana hata Google ikisema hujitambui,..lazima utaiamini Hahh

Nakumbuka kuna mjadala mmoja hivi nikakuambia hakuna jogoo wanaofanya homosexual ukaenda ku Google, kisha ukasema eti Google imesema wapo,... Hujioni kama una shida?

Kama hata vitu unavyoviona Kwa macho yako,unasubiri Google ikuambie kuvihusu basi una safari ndefu sana ya kujikomboa kifikra.

NB:- Wanao publish taarifa Google ni watu kama Mimi na wewe tu.
Unachofanya ni special pleading...ukitaka kujua man u na man city ngapi ngapi unaingia google unakuta 2 bila utabisha...hautabisha.. ila kitu kikipinga upuuzi wako unatukana wanaotumia google..bac achana na Mimi kama huwezi kuja na evidence unakataa kila kitu isipokuwa Cha mudi bac kaoe kitoto Cha miaka 6 Kama yeye tujue moja
 
mababu zetu waliishi zama za giza hawakumjua Mungu wa kweli mpaka walipofikiwa na injili, nuru ikawaangazia.
😂So Mungu muweza wa yote alishindwa kuwatokea hao mpaka atumie wamisheni...😂ameweza kutokea kwenye ka jangwa huko middle east...huyu Mungu mbona kama ametungwa na kusambazwa Kama novel
 
Anhaa,.. Nadhani Qur'an ipo tofauti kidogo, odds za Qur'an kuwa idea ya mtu tu ipo close to 0.00%

Lakini pia taarifa inaweza itokee popote na ikawa na usahihi,...ila ujinga ni pale unapoamini Google ina taarifa zote sahihi wakati kiuhalisia imejaa
1. Ukweli
2. Uongo
3. Propaganda za kila aina

Hivyo basi ukiingia Google unaweza ukatoka na moja Kati ya hivyo vitatu.
Sawa Quran is true .. nyota zipo mbingu ya karibu ili ziwapige mashetani wasimkaribie Mungu... na pia zinaweza anguka duniani..😂na pia jua na mwezi zinafukuzana..😂na pia mkojo wa ng'amia unatibu Magonjwa yote...
 
Tatizo Waafrika mnachanganya uwepo wa dini na uwepo wa MUNGU.

Hata nyau,kenge wakiulizwa kwanini wapo duniani wakaweza kuongea watajibu kuwa lazoma kuna aliyewaweka pamoja na mawe,miti,maziwa,nk.

Hakuna binadamu aliyeumba binadamu au miti,mawe,wanyama,nk lazima kuna muwezeshaji wa hilo ambaye makabila yooote duniani yanaamini hivyo kupitia namna tofauti.

Tuache ujinga WAAFRIKA hivi kabla ya UKOLONI na UTUMWA huo ukristu na uislam ulifundishwa wapi na kwanini haukuanza kwa siku moja duniani kote kama ilivyoanza dunia wakati wa kuiumba na uislam na ukristo ukaumbwa?
Hujaelezea why ni lazma? Pia huyu Mungu kajiumba au? Ukilazimisha hakuna kitu kinaweza tokea out of nowhere unajicontradict ukiamini kuwa Mungu kawepo bila kuumbwa
 
Sawa,. Tena sio idea ya mtu tu ni cope and paste na ku editi kidgo close rate yake ipo 100%
Nani aliye copy &paste huyo?,.. Maana for the first time aliyekua anawasomea watu wake Aya za kitabu hicho ushaambiwa He was Illiterate...

Mtu asiyejua kusoma anawezaje kucopy kitu asichokijua?

Au unamaanisha alicopy kwa namna gani..?

Ndiyo maana naona odds za kwamba kimekua copied au ni mtu tu amejitungia ni 0.00%
 
😂 Shika dictionary bac Kama hutaki google unajifanya mjinga.. Kama una definition ya mudi ya dini Baki nayo...
Usipanic..,shika definition unayoona ipo sahihi Kwa upande wako.


Au kama vipi tufanye definition yako ndiyo ipo sahihi 👊
 
Theory Ina maana nyingi...inaweza mean hypothesis...inaweza mean scientific accepted fact with principles...in evolution theory means fact with principles
Enhe umekuja ninapotaka.

Sasa Hizo "facts with principles" ebu nipe elimu bac, na mm nataka niwe kama wewe, nataka na mm nisiamini kwamba mungu yupo, nisaidie mwanang.
 
Unachofanya ni special pleading...ukitaka kujua man u na man city ngapi ngapi unaingia google unakuta 2 bila utabisha...hautabisha.. ila kitu kikipinga upuuzi wako unatukana wanaotumia google..bac achana na Mimi kama huwezi kuja na evidence unakataa kila kitu isipokuwa Cha mudi bac kaoe kitoto Cha miaka 6 Kama yeye tujue moja
Sawa upo sahihi mkuu💯
 
Sawa Quran is true .. nyota zipo mbingu ya karibu ili ziwapige mashetani wasimkaribie Mungu... na pia zinaweza anguka duniani..😂na pia jua na mwezi zinafukuzana..😂na pia mkojo wa ng'amia unatibu Magonjwa yote...
Hahh hivi upo serious kweli?

Kama umekula bangi au umetumia ulevi wowote tulia kidogo ukae sawa kisha tutajadiliana tafadhali.


Inasikitisha
 
Back
Top Bottom