Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.
👆 Umemuelewa mtoa maada alichokiandika ?
Hapo umefanya logical fallacies mbili za logical non sequitur.

Kwanza, kwa muktadha wa uzi huu, umelazimisha chanzo kiwe Mungu. Hili si lazima.

Inawezekana mtu asipinge uwepo wa chanzo, lakini chanzo kikawa si Mungu.

Pili, umelazimisha chanzo kiwepo. Hili si lazima.

Katika sayansi, suala la chanzo si la lazima.

Vitu vinaweza kuwepo kwa quantum causal loop. Maana yake chanzo A kinaweza kusababisha matokeo B ambayo hayo matokeo B pia yakawa ndiyo chanzo cha matokeo A.

This is science, katika quantum physics causality breaks down na suala lako la chanzo ukilifanya la msingi, utakuwa unajionesha tu kuwa hujui quantum physics.

Kama unataka tuchambue zaidi maandiko ya kitaalamu ya sayansi kuhusu hili, naweza kukuwekea hapa.

So yes, watu walioisoma sana quantum physics wanapinga dhana nzima ya kwamba chanzo ni kitu cha msingi.

Kwa sababu dhana nzima ya cause and effect, inayokwambia kitu A ndicho chanzo kilichopelekea kitu B kuwapo, ukiitqzama hiyo dhana kwa undani at the quantum level, inavunjika katika quantum causal loop.

Google that.
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaakini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Dini Haina shida, shida ni pale usipoielewa vizuri Kwasababu ya kukosa maarifa....
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaakini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
NAKAZIA...

Religion is a mental slavery.

Religion is a fictional identity.

Religion is the practice of training the mind to ignore facts evidences and logic.

Religion is a programming system for collecting money from people who are unable to think.

Religion is a set of dogmatic rules manipulating weak minds.

Religion is a drug, Religious leaders are the dealers their followers are the addicts.

Religion is a Scam.
 
Katika kufanya vitu kisayansi na kuthibitisha fanya ujaribu kitu kimoja. 'Uexperiment'

Amua kutumia data zinazofikika na wewe binafsi, kutetea au kupinga dhana fulani fulani. Ntafafanua.

Mfano kwenye vya kuonekana achana na vya darubini; mambo ya anga za mbali, nebula na sayari. Chukua unavyoona kwa macho, kwa miwani na hata ukifika kwa hadubini ya mwanga kama seli na tishu. Lakini achana na vilivyo tata zaidi kama vya electron microscope. Tafuta ushahidi humo.

Maana unajuaje kama hakuna uwezekano elimu fulani ikawa imebuniwabuniwa tu (kama moon landing labda ingekuwa ni uongo kweli) yakaundwa ma modeli halafu yakawa hata ni sio au hayajakamilika kwa hiyo yakakupa tafsiri mbovu ya uhalisia?

Unaweza kukuta hawaioni cause ya effect kwa sababu kuna cause ambayo bado haipimiki au haijagundulika inayoviweka katika mwendo. Sayansi inakua kila siku.
Nakwambia hivi, sayansi haiendani na miujiza.

Ukishakubali kuna Mungu wa miujiza tu, umeshajitoa katika sayansi.

Kwa sababu, katika ulimwengu ambao unaruhusu miujiza, chochote kinawezekana na sayansi haina maana.

Ushaelewa hili somo?
 
Mwambie huyo jamaa aelewe kabisaa.

Wanasayansi wanaamini vizuri tu.

Mi mwenyewe hapa ni mwanasayansi mkubwa na nnaamini katika Mungu. Uhakika bro.
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Ukishajua na kufahamu kwamba 1+1=2, Huitaji imani ya kujuwa jibu ni mbili.

Imani inaendana na kutokuwa na uhakika (doubts)

Sayansi inaendana na facts, evidences, Logic na proofs.
 
Wewe na Da Vinci, Sir I. Newton nani ana akili?, au wewe na Galileo Galilei nani Genious?.

Hao ni baadhi ya watu wenye akili kubwa waliowekeza nguvu kubwa kwenye Dini (Imani ya Mungu).



Jumong S
Kuwekeza kwao akili kwenye Dini na imani ya Mungu, Kuna thibitisha vipi uwepo wa Mungu?

Au ni imani zao tu.

Wewe kwani huna Akili?

Hadi uambiwe Mungu huyo yupo au hayupo.
 
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Ukishajua na kufahamu kwamba 1+1=2, Huitaji imani ya kujuwa jibu ni mbili.

Imani inaendana na kutokuwa na uhakika (doubts)

Sayansi inaendana na facts, evidences, Logic na proofs.
Hahahahahaaaaaah pole sana.

Hujui hata hiyo 1 plus 1 ni 2 ni imani ulochagua kuamini kwamba mambo yapo hivyo!? Bahati nzuri wapo wengi wanaoamini kwamba hiyo ndiyo jibu la msingi la swali hilo

Mfano mimi hapa nina imani kwamba 1 plus 1 ni 3😆😂😂. Na nimejionea mara kadhaa.

Ona H plus O is H20 a third thing is formed whenever two unique things are added together.
Man 1. plus woman 1. three people man, woman and a child. 3

Hivi unafahamu kwamba dunia inaweza kuopeerate chini ya imani kwamba 1 plus 1 kimsingi ni 3 na isionekane cha ajabu? Kwa sasa tu tumekubaliana hivyo ndio maana unaona kama ni unshackable fact kwamba one plus one ni 2 tu hata iweje. Think again.

Imani haziepukiki
 
Nadhani ingependeza zaidi ungetuambia wewe binafsi ni kitu gani umevumbua baada ya kuachana na hizo dini.

Ili tuamini kwamba kuna uhusiano hasi Kati ya dini na uvumbuzi.
[emoji23]
 
Ni elewe uongo?

Kwa hiyo kwa imani 1+1 inaweza
kuwa 5?

Na uhakika huo unaweza kuthibitisha hapa.
Inaweza kuwa 1, mfano wingu moja likiungana na wingu lingine utapata wingu moja,😃

Pia unaweza usipate jibu mfano

Lita moja ya maji ukachanganya (jumlisha)na lita moja ya mchanga (Hapa fanya hesabu za kg ? unapata 1Lt)
 
Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.

Vitabu vyote vya dini vina michanganyo isiyohitaji hata kutumia nguvu kujua kuwa "hapa tumepigwa na tunaendelea kupigwa"

Sayansi imejibu maswali mengi sana ambayo dini ilishindwa kuyajibu na kuishia kuwaambia wafuasi waamini tu bila kuona!

Sayansi imetibu magonjwa complex ambayo dini haijawahi hata kuyagusa, inaishia kujipenyeza kitapeli tu.

Mf katika mgogoro wa leo wa Gaza, dunia imegawanyika. Watu wasio na uelewa wanaishia kuchagua upande wa dini A na dini B. Wale wanaoiunga mkono Israel kwa kisa cha dini ya ukristo wajue kuwa % kubwa ya waisrael hawaakini ktk dini na Marekani 86% hawana dini. Pale kinachogombewa ni Maslahi tu!

Dini zetu tungeachana nazo tungekuwa na maendeleo makubwa. Mf China na Nchi za Ulimwengu wa kwanza, nyingi zimeachana na mambo ya dini na zinaendelea sana.

Watu wanavumbua issues za drones, AI na mirobotic machines kibao we unakesha kanisani eti uwe millionea, sijui upate mtoto real?

Unalala na vichupa vya maji sijui chumvi na mafuta ya upako upate gari, are u serious?

Nilikua namsikiliza Shehe/Maalim mmoja anasema wale kunguni wa Ufaransa ni jeshi la Allah limekuja kuwaangamiza kisa wana madhambi...are we real serious?

Dini zina mfumo ambao Unatufanya "tuwe limited" kwenye ufikiri na uvumbuzi.

Live your live, Death is the Ending game! Dini ni ulaji wao!

Atheists make sense than who are not
Uko sahihi....lakini YESU ndio KWELI.
 
Back
Top Bottom