Hapo umefanya logical fallacies mbili za logical non sequitur.
Kwanza, kwa muktadha wa uzi huu, umelazimisha chanzo kiwe Mungu. Hili si lazima.
Inawezekana mtu asipinge uwepo wa chanzo, lakini chanzo kikawa si Mungu.
Pili, umelazimisha chanzo kiwepo. Hili si lazima.
Katika sayansi, suala la chanzo si la lazima.
Vitu vinaweza kuwepo kwa quantum causal loop. Maana yake chanzo A kinaweza kusababisha matokeo B ambayo hayo matokeo B pia yakawa ndiyo chanzo cha matokeo A.
This is science, katika quantum physics causality breaks down na suala lako la chanzo ukilifanya la msingi, utakuwa unajionesha tu kuwa hujui quantum physics.
Kama unataka tuchambue zaidi maandiko ya kitaalamu ya sayansi kuhusu hili, naweza kukuwekea hapa.
So yes, watu walioisoma sana quantum physics wanapinga dhana nzima ya kwamba chanzo ni kitu cha msingi.
Kwa sababu dhana nzima ya cause and effect, inayokwambia kitu A ndicho chanzo kilichopelekea kitu B kuwapo, ukiitqzama hiyo dhana kwa undani at the quantum level, inavunjika katika quantum causal loop.
Google that.