Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Yes, dini ni kwa ajili ya watu wasio na ufikiri sahihi. Dini ina vitu ambavyo ni vya watu wa akili za chini sana.
πŸ‘† Umemuelewa mtoa maada alichokiandika ?
 
Dini Haina shida, shida ni pale usipoielewa vizuri Kwasababu ya kukosa maarifa....
 
NAKAZIA...

Religion is a mental slavery.

Religion is a fictional identity.

Religion is the practice of training the mind to ignore facts evidences and logic.

Religion is a programming system for collecting money from people who are unable to think.

Religion is a set of dogmatic rules manipulating weak minds.

Religion is a drug, Religious leaders are the dealers their followers are the addicts.

Religion is a Scam.
 
Nakwambia hivi, sayansi haiendani na miujiza.

Ukishakubali kuna Mungu wa miujiza tu, umeshajitoa katika sayansi.

Kwa sababu, katika ulimwengu ambao unaruhusu miujiza, chochote kinawezekana na sayansi haina maana.

Ushaelewa hili somo?
 
Mwambie huyo jamaa aelewe kabisaa.

Wanasayansi wanaamini vizuri tu.

Mi mwenyewe hapa ni mwanasayansi mkubwa na nnaamini katika Mungu. Uhakika bro.
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Ukishajua na kufahamu kwamba 1+1=2, Huitaji imani ya kujuwa jibu ni mbili.

Imani inaendana na kutokuwa na uhakika (doubts)

Sayansi inaendana na facts, evidences, Logic na proofs.
 
Wewe na Da Vinci, Sir I. Newton nani ana akili?, au wewe na Galileo Galilei nani Genious?.

Hao ni baadhi ya watu wenye akili kubwa waliowekeza nguvu kubwa kwenye Dini (Imani ya Mungu).



Jumong S
Kuwekeza kwao akili kwenye Dini na imani ya Mungu, Kuna thibitisha vipi uwepo wa Mungu?

Au ni imani zao tu.

Wewe kwani huna Akili?

Hadi uambiwe Mungu huyo yupo au hayupo.
 
Msingi wa imani ni kutokuwa na uhakika.

Ukishajua na kufahamu kwamba 1+1=2, Huitaji imani ya kujuwa jibu ni mbili.

Imani inaendana na kutokuwa na uhakika (doubts)

Sayansi inaendana na facts, evidences, Logic na proofs.
Hahahahahaaaaaah pole sana.

Hujui hata hiyo 1 plus 1 ni 2 ni imani ulochagua kuamini kwamba mambo yapo hivyo!? Bahati nzuri wapo wengi wanaoamini kwamba hiyo ndiyo jibu la msingi la swali hilo

Mfano mimi hapa nina imani kwamba 1 plus 1 ni 3πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜‚. Na nimejionea mara kadhaa.

Ona H plus O is H20 a third thing is formed whenever two unique things are added together.
Man 1. plus woman 1. three people man, woman and a child. 3

Hivi unafahamu kwamba dunia inaweza kuopeerate chini ya imani kwamba 1 plus 1 kimsingi ni 3 na isionekane cha ajabu? Kwa sasa tu tumekubaliana hivyo ndio maana unaona kama ni unshackable fact kwamba one plus one ni 2 tu hata iweje. Think again.

Imani haziepukiki
 
Nadhani ingependeza zaidi ungetuambia wewe binafsi ni kitu gani umevumbua baada ya kuachana na hizo dini.

Ili tuamini kwamba kuna uhusiano hasi Kati ya dini na uvumbuzi.
[emoji23]
 
Ni elewe uongo?

Kwa hiyo kwa imani 1+1 inaweza
kuwa 5?

Na uhakika huo unaweza kuthibitisha hapa.
Inaweza kuwa 1, mfano wingu moja likiungana na wingu lingine utapata wingu moja,πŸ˜ƒ

Pia unaweza usipate jibu mfano

Lita moja ya maji ukachanganya (jumlisha)na lita moja ya mchanga (Hapa fanya hesabu za kg ? unapata 1Lt)
 
Uko sahihi....lakini YESU ndio KWELI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…