Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Dini ni kwa ajili ya "Low minded people", Genius can't be trapped!

Mkuu ngoja nikuitie huyu mtu hapa
DR Mambo AMP atuambie kuna historical evidence yoyote Kama Israel washawahi kuwa utumwani misri? Kwa uchache mkuu
Naam Waisraili washawahi kuwa watumwa Misri, na Musa ndio akatimilizwa na kuwakomboa, lakini mwishowe wakamukhalifu nabii Musa isipokuwa wachache.

Kitu kingine watu wanachanganya kati ya Wana wa Israili na Mayahudi hawa ni vitu viwili tofauti.
 
Na kuhusu Rehoboam ndiye alikuwa mtoto wa suleiman aliyezaa na Naamah, binti wa Ammizabad..
Hapa uko sahihi, nilichanganya majina. Naam Rahbiam ni mtoto wa Suleyman.

Sasa Hawa Rahbiam (Mtoto wa Suleyman)na Yarbiam ndio wakaja kuwagawanya Waisraili makundi mawili. Kundi la kwanza ni lile Lilo jumuisha makabila yaliyo tokana na Yahudha naye ni ndugu yake Yusufu na kundi lingine lilikusanya Koo zilizotokana na Bin Yamin, huyu alikuwa mdogo wake na Yusufu. Vyote ni vizazi vyao.

Pakatengenezwa nchi kusini mwa Palestina iliyokuwa inaongozwa na Rahbiam bin Yusufu na mji wake ulikuwa ni Baytul Maqdis. Na yule Yarbiam aliitengeneza dola akaiita Israili (Mayahudi huiita nchi hii ya Samariiyin) na mji wake mkuu ukawa upande wa Nabulsi upande mwingine wa Palestina.
 
Israeli haikuwahi kujitenga, bali katika zile dola mbili, na kuugawanya au kuwagawanya dhuria wa nabii Yakubu. Palianzishwa dola ya Israili upande wa kusini mwa Palestina yaani hiyo dola ilikuwepo ndani ya Palestina.
Mkuu Nakuletea Historia Ya Dini ambayo naijua vizuri sana kuliko vitu vingine Israel ilijitenga katika Sehemu mbili kama nilivyokuambia kuwa Kulitokea Falme mbili Ya kwanza ni Yuda na Yapili ni Israel...
Israel ikiwa na Kabila 10 na yuda ikiwa na kabila mbili na ninaweza kuprove nachokisema mkuu sasa Sjui wewe kama unayo prove ya hicho...
Philistine (wafilisti) Walikuwepo pembezoni mwa israel..
Musa ndio alitangulia kabla ya Suleyman. Musa ameondoka Uyahudi haukuwepo. Ndio maana nikakuleta kwa wale ambao walikuwa karibu na Mayahudi ambao ni Suleyman yaani kwa kitambo namaanisha.
Kama musa alitangulia Bhasi yuda Au Yehudi au Yahudi au Yuda alikuwa zaman kabla ya hawa wote na Alikuwa Mtoto wa Yakobo..
Uyahudi ni Kabila kama nilivyokuambia ni Kabila ambalo baadae kipindi cha suleiman liliungana na kabila la Benyamini na kupatikana Ufalme mmoja wa Yuda au Judeas...
Na baadae kipindi cha Ashuru makabila mengine 10 yalitekwa na kupotea ila Uyahudi ulibaki mpaka leo ..

Sasa rudi verufy soueces yako mimi ninayo sources ya Wakristo zaidi Japo ya waislamu ipo ila sio credible sources sana
 
Hapa uko sahihi, nilichanganya majina. Naam Rahbiam ni mtoto wa Suleyman.

Sasa Hawa Rahbiam (Mtoto wa Suleyman)na Yarbiam ndio wakaja kuwagawanya Waisraili makundi mawili. Kundi la kwanza ni lile Lilo jumuisha makabila yaliyo tokana na Yahudha naye ni ndugu yake Yusufu na kundi lingine lilikusanya Koo zilizotokana na Bin Yamin, huyu alikuwa mdogo wake na Yusufu. Vyote ni vizazi vyao.

Pakatengenezwa nchi kusini mwa Palestina iliyokuwa inaongozwa na Rahbiam bin Yusufu na mji wake ulikuwa ni Baytul Maqdis. Na yule Yarbiam aliitengeneza dola akaiita Israili (Mayahudi huiita nchi hii ya Samariiyin) na mji wake mkuu ukawa upande wa Nabulsi upande mwingine wa Palestina.
Mkuu Unachanganya vitu sana Makundi yalikuwa maweili kundi la kwanza liliuwa ni kabila la Benyamini pmoja na Yuda.. na hawa walijiita Yuda au Yudean

Na kundi la pili ni Kundi la Rubein ja wengine 9 na na hawa ndo walijiita Israel
Kipindi hicho palestina ilikuwa pembeni ya kanaani kama nchi ya wafilisti (Philistine )
Kasome Vizuri sources zako
 
Naam Waisraili washawahi kuwa watumwa Misri, na Musa ndio akatimilizwa na kuwakomboa, lakini mwishowe wakamukhalifu nabii Musa isipokuwa wachache.

Kitu kingine watu wanachanganya kati ya Wana wa Israili na Mayahudi hawa ni vitu viwili tofauti.
Nimesema atakayekuja kusema walikuwa Watumwa aje na Evidence sio maneno matupu hata Evidence moja tu ntaipokea au any resonable answer..

So Jibu la Ndiyo walikuwa watumwa ambalo halina logic
 
Musa hakuwa Myahudi sababu mpaka Musa anaondoka Uyahudi ulikuwa haupo.
Unajua kuna wakati sasa nashindwa kubishana na wewe maana unaonekana unachanganya vitu Yahudi ilikuwa kabila kabla halijawa taifa na bada ya kuwa taifa likawa itikadi na Baadae kuwa njia ya maishaa...

Nakupa summary usipoelewa sasa dah
Unamjua hata Yuda au unamjua Eber..

Wa YUDA (YEHUDA) {kabila} kuungana na wa Benyamini >>>JUDEANS FALME YA YUDA>>>>JUDAISM IMANI
 
Logic ni kwamba kama kisicho kuwapo kinaweza kuwapo vp unashangaa kuwepo kwa mungu ... unataka kusema mwanadamu ni mkuu kuliko mungu
Mimi nilikuwapo mabilioni ya miaka, elements zote zilizo katika mwili wangu zimefanyika katika viini vya nyota, na nikifa zitakuwa recycled, kwa hiyo, kwanza kabisa, hoja kwamba sikuwapo miaka 200 iliyopita ni potofu. Ingawa mimi sijawahi kuwapo miaka 200 iliyopita - na dhana yenyewe ya mimi inabishiwa, there is no such a thing as a self- hizi elements zote zinazonifanya mimi leo zilikiwapo.

Zaidi, mimi kuwapo au kutokuwapo hakuthibitishi Mungu yupo, that is a logical non sequitur. Kama Mungu yupo, yupo tu, kama hayupo, hayupo tu, uwepo wangu au kutokuwepo kwangu vinathibitishaje Mungu yupo au hayupo?

Mwisho kabisa, unaposema kwamba kama kisichokuwapo kinaweza kuwapo, tusishangae uwepo wa Mungu, una maana gani?

Una maana Mungu alikuwa hayupo halafu ghafla akawepo?

Kwamba Mungu ana mwanzo huko nyuma alikuwa hayupo, halafu akawepo ghafla bin vuu?
 
Musa hakuwa Myahudi sababu mpaka Musa anaondoka Uyahudi ulikuwa haupo.
Kuna vitu unachanganya sana mkuu Tatizo linatokana na kushindwa kujibu kutumia Theology moja..
Mimi nazijua theology ya kiislamu na kikristo lakini kwenye mambo ya historia kama haya lazma utumie christian Theology maana Islamic kwenye historia sio kweli
 
Unajua kuna wakati sasa nashindwa kubishana na wewe maana unaonekana unachanganya vitu Yahudi ilikuwa kabila kabla halijawa taifa na bada ya kuwa taifa likawa itikadi na Baadae kuwa njia ya maishaa...

Nakupa summary usipoelewa sasa dah
Unamjua hata Yuda au unamjua Eber..

Wa YUDA (YEHUDA) {kabila} kuungana na wa Benyamini >>>JUDEANS FALME YA YUDA>>>>JUDAISM IMANI
Hawa wengine utasumbua kichwa tu.

Mimi kuna watu nilishawaweka ignore list hata wanachoandika sioni.

Wamepoteza privileges za kuwasiliana nami moja kwa moja.

Hiyo uliyemjibu ni mmoja wao.
 
Naam Waisraili washawahi kuwa watumwa Misri, na Musa ndio akatimilizwa na kuwakomboa, lakini mwishowe wakamukhalifu nabii Musa isipokuwa wachache.

Kitu kingine watu wanachanganya kati ya Wana wa Israili na Mayahudi hawa ni vitu viwili tofauti.
Mkuu swali ulilisoma?
 
Hawa wengine utasumbua kichwa tu.

Mimi kuna watu nilishawaweka ignore list hata wanachoandika sioni.

Wamepoteza privileges za kuwasiliana nami moja kwa moja.

Hiyo uliyemjibu ni mmoja wao.
Huyu jmaa nataka nimweleweshe vizuri ila naona anakaza shingo nimemuandikia naomba evidence ya exodus ananiambia ndiyo imetokea..

Sasa Ndiyo ndo evidence..
 
Mkuu Nakuletea Historia Ya Dini ambayo naijua vizuri sana kuliko vitu vingine Israel ilijitenga katika Sehemu mbili kama nilivyokuambia kuwa Kulitokea Falme mbili Ya kwanza ni Yuda na Yapili ni Israel...
Israel ikiwa na Kabila 10 na yuda ikiwa na kabila mbili na ninaweza kuprove nachokisema mkuu sasa Sjui wewe kama unayo prove ya hicho...
Philistine (wafilisti) Walikuwepo pembezoni mwa israel..
Hiki ulichokiandika kimeonyesha wazi huijui Historia. Wana w Israili wamepitia katika vipindi vitatu kwa mujibu wa wanahistoria. Cha kwanza ni kipindi cha makadhi, Cha makadhi kipindi hiki kilisimamiwa na Yusha bin Nuun, kikaja kipindi cha Muluki yaani ufalme hapa wakapelekewa mfalme Jaluta kwa Mayahudi wanamuita Shauli, kipindi cha tatu ni Inqisam (Mgawanyiko) ambapo hapa walifanya mtoto wa Suleyman na yule mwingine.

Historia yako ya dini unaisoma wapi ? Nitakuuliza swali kipindi hicho unachosema Cha ufalme nani alikuwa Mfalme katika dola hizo mbili ? Leta ushahidi wako na Mimi nikuwekee ushahidi wangu.
Kama musa alitangulia Bhasi yuda Au Yehudi au Yahudi au Yuda alikuwa zaman kabla ya hawa wote na Alikuwa Mtoto wa Yakobo..
Uyahudi ni Kabila kama nilivyokuambia ni Kabila ambalo baadae kipindi cha suleiman liliungana na kabila la Benyamini na kupatikana Ufalme mmoja wa Yuda au Judeas...
Na baadae kipindi cha Ashuru makabila mengine 10 yalitekwa na kupotea ila Uyahudi ulibaki mpaka leo ..

Sasa rudi verufy soueces yako mimi ninayo sources ya Wakristo zaidi Japo ya waislamu ipo ila sio credible sources sana

Sahihi kabisa Yahudha alikuwa mtoto wa Yakubu na ni ndugu wa Yusufu Hawa walikuwa kabla ya Musa. Yusufu alipopta uongozi kule Misri akaamua kumuita baba yake na ndugu zake wakatoka Palestina kwenda Misri. Ukoo huu wa Israili (Yakubu) waliishi kwa amani sana pale Misri kipindi Yusufu yupo hai, baada ya kufariki Yusufu, Wana wa Israili waliishi kwa tabu sana na dhiki sana, ndipo akatumwa Musa kuwakomboa na kuwatoa Misri kuwarudisha kwao, kabla ya kuwafikisha Palestina Musa alifariki na Yusha bin Nuun, akalifanikisha lengo lao la kuwarudisha Palestina, kisha akawagawanya katika makundi kumi na kila kundi akaliwekea kadhi yaani mtu wa kuwahukumia majambo yao.

Kipindi cha dhuria wa Yahudha na bin Yamini, si kipindi cha Ufalme kijana ni kipindi cha mgawanyo wa dhuria wa ndugu hao wawili wa Yusufu.

Mimi natumia vyanzo vya wanachuoni wa kiislamu, vyanzo ambayo ni sahihi zaidi kuliko vyanzo vingine, sababu wamzihakiki kwa umakini Historia kuliko watu wengine wote. Hili ukitaka ushahidi pia nakupa.

Tazama hizo Historia za Wakristo zimeandikwa lini na waandishi hizo Historia wametoa wapi Historia zao.

Sasa wewe ndio unatakiwa uihakiki Historia yako unayo iweka hapa.
 
Nimesema atakayekuja kusema walikuwa Watumwa aje na Evidence sio maneno matupu hata Evidence moja tu ntaipokea au any resonable answer..

So Jibu la Ndiyo walikuwa watumwa ambalo halina logic
There is a significant amount of evidence to suggest that the Israelites were enslaved in Egypt. This evidence comes from a variety of sources, including archaeological, historical, and literary sources.

Archaeological evidence:-

Archaeological evidence has been found in Egypt that supports the biblical account of the Israelites' enslavement. For example, excavations at the site of Tell el-Dab'a, in the eastern Nile Delta, have uncovered a large storage facility that is believed to have been built by the Israelites. The site also contains a large number of mudbrick houses, which are the type of dwelling that the Israelites are believed to have occupied.

Historical evidence

There are also historical records from Egypt that mention the Israelites. For example, a Merneptah Stele, which dates to around 1200 BCE, mentions the "Israel" people as one of the groups that Merneptah conquered. This stele is considered to be one of the earliest extra-biblical references to the Israelites.



Additional evidence

In addition to the archaeological, historical, and literary evidence, there is also linguistic evidence that supports the biblical account of the Israelites' enslavement in Egypt. For example, the Hebrew word for "slave" (עבד) is cognate with the Egyptian word for "slave" (ỉbd). This suggests that the two languages were in contact at some point in the past, and that the Israelites may have borrowed the word for "slave" from the Egyptians.


NB:- Kuna matukio mengi sana yaliyotokea miaka mingi iliyopita yakihusisha utumwa, vita, uvumbuzi, uhamiaji na kadhalika,,. KUKOSEKANA KWA USHAHIDI WA MOJA KWA MOJA JUU YA KUTOKEA KWA MATUKIO HAYO HAIMAANISHI KWAMBA 100% HAYAKUTOKEA.
 
Mimi nilikuwapo mabilioni ya miaka, elements zote zilizo katika mwili wangu zimefanyika katika viini vya nyota, na nikifa zitakuwa recycled, kwa hiyo, kwanza kabisa, hoja kwamba sikuwapo miaka 200 iliyopita ni potofu. Ingawa mimi sijawahi kuwapo miaka 200 iliyopita - na dhana yenyewe ya mimi inabishiwa, there is no such a thing as a self- hizi elements zote zinazonifanya mimi leo zilikiwapo.

Zaidi, mimi kuwapo au kutokuwapo hakuthibitishi Mungu yupo, that is a logical non sequitur. Kama Mungu yupo, yupo tu, kama hayupo, hayupo tu, uwepo wangu au kutokuwepo kwangu vinathibitishaje Mungu yupo au hayupo?

Mwisho kabisa, unaposema kwamba kama kisichokuwapo kinaweza kuwapo, tusishangae uwepo wa Mungu, una maana gani?

Una maana Mungu alikuwa hayupo halafu ghafla akawepo?

Kwamba Mungu ana mwanzo huko nyuma alikuwa hayupo, halafu akawepo ghafla bin vuu?
In God We Trust, Ni neno ambalo lipo kwenye pesa ya Taifa la marekani ( Dollar ), je huwa wanamaanisha nini kwa unavyoelewa ?

Kama hauelewi, Jibu tu kuwa hauelewi na kama unaelewa nasubiri majibu yako.
 
Neno roho (spirit) kisayansi ndiyo energy na mungu mwenyewe kasema yeye pia ni roho tena ni mfalme wa ulimwengu wa roho (energy)maana yake pasipo roho(energy) hata mungu hawezi kuwako

“Kasema wapi” na alimwambia nani?
 
Mungu yupi?swali gani hilo la kijinga MUNGU ni mmoja tu duniani kote aliyeumba dunia na vitu vyote vilivyomo iwe china,india,korea,nk.

Ujinga wa waafrikana ni kuamini kuwa kuna MUNGU wa wazungu aliye wa kweli na siyo wa WAAFRIKA

Shit holes

Mkuu shambulia hoja usimshambulie mleta hoja..... ana hoja ajibiwe

Kwani Yesu Mungu ndio Allah au ndio Zeus?
 
Back
Top Bottom